Vitendo ambavyo binadamu ukifanya lazma ukunje sura na kukaza mwili

Vitendo ambavyo binadamu ukifanya lazma ukunje sura na kukaza mwili

Ujue kila nikikuona nakumbuka ....
Truth OR Dare....[emoji28][emoji28][emoji28]

Haya kaa mkao wa kutekwa..... ila tuu usipige yoweee wakati wa kutekwa....[emoji1][emoji1][emoji1]

Happy New Year 2023.
Happy new year..

Truth or Dare..daah kumbe bado unakumbuka Bibie??
 
Namtafuta huko alike aseme...

Kama nimemkosea aseme....

Kama nimemuudhi aseme, Kama amenisameeheee....

Malaika nawatuma, mwambieni nampenda,
Hakuna neno zuri kwangu, Kama neno nampenda...

Mwambieni nampenda, mwambieni sijamtenga, mwambieni nampenda, mwambieni nimemkumbuka....😍😍😍

Ujue umenikumbisha mbali sana, enzi zile tunapeana signal kwenye foleni kutoka Maktaba mjini hadi Morocco..... it was sweet free life.....

Tized poppte ulipo salamu zikufikie....

Sijui kama huyu binamu yako atazifikisha...🤷‍♀️

Wacha niendelee kuimba.....

Eeweee njiwaa eeweee njiwaaaa... 🐦
Peleka salamuuuuu
Kwaa yuuleee kwaa yuleeee
Wangu muhibuuu....😊.

Sijambo Analyse, ila hali yangu imekuwa taabani ghafla kwa kunikumbusha Tized......

Ukifikaaaaaa mueleezeeeee.....

Kwamba nnapata taabuuuu....😌😌😌.
Ujumbe murua, na hakika Salam lazima nifikishe. Mjomba Tized tafadhalia pitia hapa. Usiache kusema neno lolote zuri, walau Kasie apone, maana Yu taaban, hajiwezi sababu yako 😘😘
 
Kukosea kutuma Hela. Halafu hela yenyewe ya kodi ya nyumba🥵🥵🥵
 
Ujumbe murua, na hakika Salam lazima nifikishe. Mjomba Tized tafadhalia pitia hapa. Usiache kusema neno lolote zuri, walau Kasie apone, maana Yu taaban, hakuwezi sababu yako 😘😘


Aahahahahhaaaa 😍😍

Hakika dunia ni sehemu salama ya kuishi, pale upatapo wako muhibu....🥰🥰
 
1. Kunywa kitu kichungu au kikali
Vitu hivi ni kama ndimu, limao na hata pombe kali
2. Kufika kileleni, hii ni kwa wote lazma ukaze mwili kwelikweli, na njia rahisi ya kujua kama unamkojoza mkeo ni hisia hizi.
3. Kupiga mpira kichwa
View attachment 2525373
Hakuna binadamu aliwahi kupiga mpira kichwa ukaona anarembua.
4.....ongea
Mbona kutahiriwa kavu kavu haujaorodhesha?
 
Wahuni wakikupaka Vaseline sehem za Siri kwa mara ya Kwanza,,

Lazima ukaze sura.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
1. Kunywa kitu kichungu au kikali
Vitu hivi ni kama ndimu, limao na hata pombe kali
2. Kufika kileleni, hii ni kwa wote lazma ukaze mwili kwelikweli, na njia rahisi ya kujua kama unamkojoza mkeo ni hisia hizi.
3. Kupiga mpira kichwa
View attachment 2525373
Hakuna binadamu aliwahi kupiga mpira kichwa ukaona anarembua.
4.....ongea
Namba 2 huwa unajipunja sana kumwaga huku umefumba macho na kukaza magego!

Mwaga huku umekodoa jicho kumuangalia mnyonge wako jinsi unavyomdunga sumu!

Wengine kukojoa huwa kunawapelekesha sana tu, nadhani ni wazimu hupatwa, stage zote hizo uzipitie zisitoshe mtu mpaka anajinyea kweli!
 
1. Kunywa kitu kichungu au kikali
Vitu hivi ni kama ndimu, limao na hata pombe kali
2. Kufika kileleni, hii ni kwa wote lazma ukaze mwili kwelikweli, na njia rahisi ya kujua kama unamkojoza mkeo ni hisia hizi.
3. Kupiga mpira kichwa
View attachment 2525373
Hakuna binadamu aliwahi kupiga mpira kichwa ukaona anarembua.
4.....ongea
Apo kwenye kufika kilelen niuwongo mbona mm sikazi sura
 
Mbona Ntibazonkiza anapiga mpira kichwa huku anacheka....
Au kucheka hakuhusiani na kukaza mwili..?
 
1. Kunywa kitu kichungu au kikali
Vitu hivi ni kama ndimu, limao na hata pombe kali
2. Kufika kileleni, hii ni kwa wote lazma ukaze mwili kwelikweli, na njia rahisi ya kujua kama unamkojoza mkeo ni hisia hizi.
3. Kupiga mpira kichwa
View attachment 2525373
Hakuna binadamu aliwahi kupiga mpira kichwa ukaona anarembua.
4.....ongea
Uzi tyr
 
Aahahahahhaaaa 😍😍

Hakika dunia ni sehemu salama ya kuishi, pale upatapo wako muhibu....🥰🥰
Bibi mtata...😅

Kuna mabaharia wakorofi ujue..!
Hawatajali una umri mkubwa.
 
Back
Top Bottom