Vitendo ambavyo binadamu ukifanya lazma ukunje sura na kukaza mwili

Vitendo ambavyo binadamu ukifanya lazma ukunje sura na kukaza mwili

Hakika, umenena sahihi.

Tiba yako i njiani, yaja. 😘😘

Wuuuhuuuuuu......πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Yeeeeheeeeeee.......😍😍😍😍😍😍

Acha nifurahi mimi, nicheke ngozi yangu ikunjuke, magego yapate hewa, tabasamu la ladha ya ukwaju kwa mbaaaliiiii.....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ukijua tiba inakuja, unapona hata kabla tiba haijaanza....

Eeeeh hebu niache vurugu, nitulie niwe mpoleeeee kama binti Sayuni 😊.
 
Wuuuhuuuuuu......πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Yeeeeheeeeeee.......😍😍😍😍😍😍

Acha nifurahi mimi, nicheke ngozi yangu ikunjuke, magego yapate hewa, tabasamu la ladha ya ukwaju kwa mbaaaliiiii.....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ukijua tiba inakuja, unapona hata kabla tiba haijaanza....

Eeeeh hebu niache vurugu, nitulie niwe mpoleeeee kama binti Sayuni 😊.
Kama wapona baada ya kusikia tiba i njiani, basi tabibu hatokuwa na kazi kubwa akifika. 😊😊😊😊

Jiandae kupokea uponyaji
 
Kama wapona baada ya kusikia tiba i njiani, basi tabibu hatokuwa na kazi kubwa akifika. 😊😊😊😊

Jiandae kupokea uponyaji

Nacheka, nafurahi, nimetabasamu baada ya kusoma ujumbe wako, asante.

Japo nilijawa na huzuni ya yule muenda kwa miguu aliyepata ajali ya mwendokasi leo alfajiri, basi kafuraha kamereja tena baada ya kukuona hapa 😊😊.
 
Nacheka, nafurahi, nimetabasamu baada ya kusoma ujumbe wako, asante.

Japo nilijawa na huzuni ya yule muenda kwa miguu aliyepata ajali ya mwendokasi leo alfajiri, basi kafuraha kamereja tena baada ya kukuona hapa 😊😊.
Nashkuru nimeifanya jioni yako walau iwe na furaha japo kidogo. Yule mwenda kwa miguu amenihudhunisha hata Mimi, japo sijajua hazmat ya yule aliyekuwa amekaa kwenye kiti.

Anyway, am happy you're happy Kasie Matata 😊
 
Nashkuru nimeifanya jioni yako walau iwe na furaha japo kidogo. Yule mwenda kwa miguu amenihudhunisha hata Mimi, japo sijajua hazmat ya yule aliyekuwa amekaa kwenye kiti.

Anyway, am happy you're happy Kasie Matata 😊

Ahahahahahhaaa furaha ya pamoja πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Hivi ile Toyo ya Tized bado ipo?
Nimemiss vibe la Toyo....πŸ˜‹πŸ˜‹

Miguu inaniwasha kwa safari.
 
Ahahahahahhaaa furaha ya pamoja πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Hivi ile Toyo ya Tized bado ipo?
Nimemiss vibe la Toyo....πŸ˜‹πŸ˜‹

Miguu inaniwasha kwa safari.
Tized amekuwa busy kidogo na majukumu, ila nina uhakika, akiingia online lazima akupe tabasam la muda mrefu
 
Lengo hasa la uzi huu ni hiyo point ☝️ namba mbili, hayo mengine ni kufunika mtego tu.... πŸ€”
 
Tized amekuwa busy kidogo na majukumu, ila nina uhakika, akiingia online lazima akupe tabasam la muda mrefu

Aahahahhaa au nimfate hukohuko alikoooo....!!???

Naona hajapata ni kwa namna gani namhamu....😜😜
 
Aahahahhaa au nimfate hukohuko alikoooo....!!???

Naona hajapata ni kwa namna gani namhamu....😜😜
Yafaa umsubirie tu, ili akute hamu bado ipo juu, asijepata tabu kuipandisha upya.

Raha ya mwali, umkute yu tayari. Akaa vyovyote umuambiavyo. Farasi mkongwe hupenda safari, hana tashwishwi muda wa kumpanda.

Kasie Matata yu tayari, angojewa Tized aliyembali. Afanye hima asije muuzi, likamuondoka tabasam, yabaki mashauzi.
 
Yafaa umsubirie tu, ili akute hamu bado ipo juu, asijepata tabu kuipandisha upya.

Raha ya mwali, umkute yu tayari. Akaa vyovyote umuambiavyo. Farasi mkongwe hupenda safari, hana tashwishwi muda wa kumpanda.

Kasie Matata yu tayari, angojewa Tized aliyembali. Afanye hima asije muuzi, likamuondoka tabasam, yabaki mashauzi.

Nimetii maneno yako...
Nafanya subira kumngojea Tized....

Wacha niimbe kidoogooo....

Laaambwaaa laambwaaa, lambwatikaaa,
Maharage yako jikoni nimeshayapikaaa,
Nangojea futari ya Bwanaa, haijafikaaa...😍

Vumiliaa shemeji usijentonesha kidooondaaaa......
Dakitari huyo yuaja, dakitari mie namngoja, aja kitia dawa kidonda....πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Kachiiiiriii kachiriiiii
Mume wangu kasafiriii....
Kaniachia.....
Na mtindo wa hariiriii
Kachiri sagaaa ntie gomaaa....😝😝😝 waahaalaaaa......

Ila nawe u mtunduu...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Umejifunzia wapi na lini kudondosha vina na mizani....

Shairi zimesimama kuliko mkuki...😜.
 
Nimetii maneno yako...
Nafanya subira kumngojea Tized....

Wacha niimbe kidoogooo....

Laaambwaaa laambwaaa, lambwatikaaa,
Maharage yako jikoni nimeshayapikaaa,
Nangojea futari ya Bwanaa, haijafikaaa...😍

Vumiliaa shemeji usijentonesha kidooondaaaa......
Dakitari huyo yuaja, dakitari mie namngoja, aja kitia dawa kidonda....πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Kachiiiiriii kachiriiiii
Mume wangu kasafiriii....
Kaniachia.....
Na mtindo wa hariiriii
Kachiri sagaaa ntie gomaaa....😝😝😝 waahaalaaaa......

Ila nawe u mtunduu...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Umejifunzia wapi na lini kudondosha vina na mizani....

Shairi zimesimama kuliko mkuki...😜.
Ushahiri auhitaji mafunzo, Nia ni kukupa tulizo.
Ili ajapo waubani wako, akute umenona kunako.
Nami nakuahidi yukaribu kufika, njiwa wako salam kafikisha.
Nena jingine ntafikisha, kabla hata ya usiku kwisha.


Sema choices ya nyimbo zako, inaonesha u-mkongwe πŸ™ˆ
 
Ushahiri auhitaji mafunzo, Nia ni kukupa tulizo.
Ili ajapo waubani wako, akute umenona kunako.
Nami nakuahidi yukaribu kufika, njiwa wako salam kafikisha.
Nena jingine ntafikisha, kabla hata ya usiku kwisha.


Sema choices ya nyimbo zako, inaonesha u-mkongwe πŸ™ˆ
Aahahahhahaaa hujakosea hata kidogo,

Na ndo dawa ilipokalia hapo kwenye ukongwe.....

Tena umenikumbusha ngoja nikashushe santuri za Bi Kidude nizisikilie.....

Yaani leo hadi usingizi unichukue, ntakuwa nimelowa jasho kwa kuyarudi madogoli ya Mtemi Lunyamila...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Wanyamwezi hoyeeeeee......πŸ˜›πŸ˜›

Nisamehe tuu mwanawane, ukiwa mtu wa kale (kikongwe) kuna mambo/kumbukumbu ikija unambukuka meengiiiii hadi rahaaa yaani.
 
1. Kunywa kitu kichungu au kikali
Vitu hivi ni kama ndimu, limao na hata pombe kali
2. Kufika kileleni, hii ni kwa wote lazma ukaze mwili kwelikweli, na njia rahisi ya kujua kama unamkojoza mkeo ni hisia hizi.
3. Kupiga mpira kichwa
View attachment 2525373
Hakuna binadamu aliwahi kupiga mpira kichwa ukaona anarembua.
4.....ongea
InawezekaN kweli hii ya mwisho
Reference mwenyewe
 
Jungu Kuu halikosi ukoko, siku moja moja uwe unatupa story, how life was back then. Tuna vingi vya kusikia toka kwako 😊

Na nnavyopenda kusimulia sasa.....aahahahahhaaa

Uwe na sikio tuu la kusikiliza.

Alfulela ulela za Bi Kasinde huwa haziishi, ni bandika bandua na vicheko juu...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huyo daktari wa niuro aka niurosajoni sijui anafika saa ngapi.....πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Mwenzie ntachoka kusubiri atii, ngoja ngoja yaumiza matumbo japo mvumilivu hula mbivu...πŸ™‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒ.
 
Na nnavyopenda kusimulia sasa.....aahahahahhaaa

Uwe na sikio tuu la kusikiliza.

Alfulela ulela za Bi Kasinde huwa haziishi, ni bandika bandua na vicheko juu...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huyo daktari wa niuro aka niurosajoni sijui anafika saa ngapi.....πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Mwenzie ntachoka kusubiri atii, ngoja ngoja yaumiza matumbo japo mvumilivu hula mbivu...πŸ™‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒ.
Me nadhani mvumilivu hula mbivu ndio yafaa. Wahenga walisema "Mambo mazuri hayataki haraka" kuwa na subira Bi. Kasie, utafurahi akija.😊
 
Me nadhani mvumilivu hula mbivu ndio yafaa. Wahenga walisema "Mambo mazuri hayataki haraka" kuwa na subira Bi. Kasie, utafurahi akija.😊


Nimekubali subira yavuta kheri...πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Wacha nihifadhi bashasha nililonalo ili nije kufurahi baadae akija daktari mahiri wa niuro..😊.
 
1. Kunywa kitu kichungu au kikali
Vitu hivi ni kama ndimu, limao na hata pombe kali
2. Kufika kileleni, hii ni kwa wote lazma ukaze mwili kwelikweli, na njia rahisi ya kujua kama unamkojoza mkeo ni hisia hizi.
3. Kupiga mpira kichwa
View attachment 2525373
Hakuna binadamu aliwahi kupiga mpira kichwa ukaona anarembua.
4.....ongea
Kuvunjwa bikra
 
Nimekubali subira yavuta kheri...πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Wacha nihifadhi bashasha nililonalo ili nije kufurahi baadae akija daktari mahiri wa niuro..😊.
Just prepare yourself for a surgery. U gonna like it 😊😊
 
Back
Top Bottom