Vitendo ambavyo binadamu ukifanya lazma ukunje sura na kukaza mwili

Ujue kila nikikuona nakumbuka ....
Truth OR Dare....[emoji28][emoji28][emoji28]

Haya kaa mkao wa kutekwa..... ila tuu usipige yoweee wakati wa kutekwa....[emoji1][emoji1][emoji1]

Happy New Year 2023.
Happy new year..

Truth or Dare..daah kumbe bado unakumbuka Bibie??
 
Happy new year..

Truth or Dare..daah kumbe bado unakumbuka Bibie??

Saa nyingine nyakati hutokea kwa ajili ya kufurahi pamoja.

Sio tuu kukumbuka na kicheko juuu....πŸ˜†πŸ˜†πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚.
 
Ujumbe murua, na hakika Salam lazima nifikishe. Mjomba Tized tafadhalia pitia hapa. Usiache kusema neno lolote zuri, walau Kasie apone, maana Yu taaban, hajiwezi sababu yako 😘😘
 
Kukosea kutuma Hela. Halafu hela yenyewe ya kodi ya nyumbaπŸ₯΅πŸ₯΅πŸ₯΅
 
Ujumbe murua, na hakika Salam lazima nifikishe. Mjomba Tized tafadhalia pitia hapa. Usiache kusema neno lolote zuri, walau Kasie apone, maana Yu taaban, hakuwezi sababu yako 😘😘


Aahahahahhaaaa 😍😍

Hakika dunia ni sehemu salama ya kuishi, pale upatapo wako muhibu....πŸ₯°πŸ₯°
 
Mbona kutahiriwa kavu kavu haujaorodhesha?
 
Wahuni wakikupaka Vaseline sehem za Siri kwa mara ya Kwanza,,

Lazima ukaze sura.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Namba 2 huwa unajipunja sana kumwaga huku umefumba macho na kukaza magego!

Mwaga huku umekodoa jicho kumuangalia mnyonge wako jinsi unavyomdunga sumu!

Wengine kukojoa huwa kunawapelekesha sana tu, nadhani ni wazimu hupatwa, stage zote hizo uzipitie zisitoshe mtu mpaka anajinyea kweli!
 
Apo kwenye kufika kilelen niuwongo mbona mm sikazi sura
 
Mbona Ntibazonkiza anapiga mpira kichwa huku anacheka....
Au kucheka hakuhusiani na kukaza mwili..?
 
Uzi tyr
 
Aahahahahhaaaa 😍😍

Hakika dunia ni sehemu salama ya kuishi, pale upatapo wako muhibu....πŸ₯°πŸ₯°
Bibi mtata...πŸ˜…

Kuna mabaharia wakorofi ujue..!
Hawatajali una umri mkubwa.
 
Aahahahahhaaaa 😍😍

Hakika dunia ni sehemu salama ya kuishi, pale upatapo wako muhibu....πŸ₯°πŸ₯°
Hakika, umenena sahihi.

Tiba yako i njiani, yaja. 😘😘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…