The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Kama nimeelewa vizuri, cha msingi na muhimu zaidi, mtu kuwa na wazo la biashara lenye tija au kuwa na biashara inayoendelea inayohitani kuongeza mtaji ili ikue au kuboresha huduma.
Unapopewa mkopo huku, kunakuwa na nafasi ya majadiliano kuangalia kwamba faida inapatikana vipi, kiasi gani na endapo mtu atawekeza, kukopesha, mtagawana vipi hiyo faida?
Hii ni tofauti na riba za sehem nyingine, wao ukichukua pesa, iwe ni matibabu, au kumidhi shida yeyote ile hata kama sio biashara, wameshaweka riba iko palepale haujadiliani nao.
Nafikiri hii kwa ufupi ndio tafsiri ya mkopo bila riba, hapo mwalimu wangu wa muda wote FaizaFoxy atanisahihisha na kuongezea mapungufu.
Unapopewa mkopo huku, kunakuwa na nafasi ya majadiliano kuangalia kwamba faida inapatikana vipi, kiasi gani na endapo mtu atawekeza, kukopesha, mtagawana vipi hiyo faida?
Hii ni tofauti na riba za sehem nyingine, wao ukichukua pesa, iwe ni matibabu, au kumidhi shida yeyote ile hata kama sio biashara, wameshaweka riba iko palepale haujadiliani nao.
Nafikiri hii kwa ufupi ndio tafsiri ya mkopo bila riba, hapo mwalimu wangu wa muda wote FaizaFoxy atanisahihisha na kuongezea mapungufu.