Eti hebu wazia hilo tendo tu halafu mtu anakwambia ni biologically made.... Wakati ni ugonjwa wa kiakili.Watu wanakosoa kazi ya Muumba, aliweka sehemu ya kutolea hewa chafu na vitu ambavyo havihitajiki mwilini, ninyi mnaenda kinyume na Mungu. Mungu anawaona!!
Huyu kijana anatilisha mashaka sana.Hizo haki za kuwa shoga Zimeandikwa wap
Wewe umeyajuaje haya....Nani kakuambia mashoga hawagongi k mzee? Tena usikubali mke wako awe na rafiki shoga wale jamaa wanapiga mashine kama kawaida ila wanapenda kupiga wanaume wenzao, ila ukiona demu wako yuko karibu nao jua huwa anapashwa pashwa mara mojamoja ila siyo starehe zao wanawake.
Hapana umekosea kumshambulia anachosema ni kitu sahihi kwanini umbague ndugu au mwanao kisa amekuwa hivo?? Kuna wengine kweli ni hormones so hapo kumuweka karibu na ikiwezekana hta kumpa treatment za kibaiolojia ili iweze kumuongezea testosterone with time character za kike zitapungua na atakua wa kiume pure. Ila kunyanyapaa ndio kunapelekea tatizo kukua tu maana ataangukia in wrong hands.Wewe kijana nina mashaka makubwa sana na wewe. Aidha unajihusisha nao kwa kufanya au unashughulika na zile taasisi za siri zinazopromote homosexuals.
Ila unaonyesha wazi wewe sio m'moja wetu.
So koma tena ukome ukomae kujiingiza katika mijadala ya watanzania tunaokemea hilo tatizo la kiakili. Wewe kama haya mambo yanakufurahisha nenda ubalozi wa mataifa yanayoruhusu uende ukale bata na hao mnaosapoti ila usituletee hizi stories za kipuuzi.
Tena ukome ukome na ukomee.
Mkiambia msitumie modern FP mnasema watu wazushi na bdo shughuli ndio kwanza imeanzaMiaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao
Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu
Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8
Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Ziko muvi nyingi tu mbona hadi majike dume yanapiga mitiWewe umeyajuaje haya....
Sio kweli. Ukipata muda ukamuona kijana shoga hebu keti nae na anza kumhoji kuhusu makuzi yake na namna ameanza hayo maswala utajifunza kitu.Wale wanazaliwa hivyo hivyo hakuna cha ukatili mkuu, wana ulemavu na walemavu kama walemavu wengine.
Katika hali ya kawaida tu mwanaume ambaye uko sawa kabisa, huwez kubali kupumuliwa kisogoni kwanza ni udhalilishaji usio na mfano aisee.
Sasa wewe jiulize inakuwaje mtu atake kabisa kupumuliwa kisogoni hata ile aiubu yeye haioni.
Ndo maana nasema ni ulemavu kama sio wa kihisia basi kiakili.
Kwani chips Mayai hutekenya mkudu?Hata humu tunaye mmoja! Amemfuata dada wa watu pm, akamuomba amtafutie eti mtu wa kumtekenya......! Inawezekana ikawa kweli aisee!!
Na hizo chips yai mnazoshindia huko Dar, ndiyo zinawaongezea matatizo zaidi. Poleni sana. Huku Vijijini tuliko, kuna unafuu sana.
Na kiuhalisia ushoga ni tatizo la akili na saikolojia.Huyu instagram ni muongo nambari moja. Mwambie alete hapa ushahidi wenye vielelezo.
Kwa nijuacho mimi hakunaga remix ya jinsia hata iweje. Mwanamke ni mwanamke tuu na mwanaume ni mwanaume tuu.
Kinachotokea ni matatizo ya mvurugo wa kimalezi na makuzi inayokuja kudhuru tabia za watu......
Mbona hata babaako analiwa tako
Duh,umenishtua hii nayo sio nzuri aiseeInasikitisha sana .na pia media zimekuwa ziki push hii agenda kwenye mind za watu kijanja sana. Unakuta sasa hivi mwanaume anaigiza kama ke kwenye hizi comed
Chief na hizi tamthilia zilizoongezeka sasa za kusapoti haya mambo, ukigeuka huku kuna yule mtoto Dullyvan, huku instagram kina Juma yule kwisa, noel kale n.kWanaume hatuwezi kuisha mkuu hizo mambo zilikuepo enzi na enzi.
Sema tu sasa hivi ni kama watu hawaogopi kuyafanya hadharani na hata wakigundulika hawaoni jau kwasababu wengi wanajua hayo mambo yapo. Mfano ni huyu kiumbe wa jf, anaefata watu PM.
Usiogope kuzaa mtoto wa kiume mkuu, kitu wanachokosea kinamama wengi ni ile ana mtoto wa kiume maybe wa miaka 8 au 9 na anamchukua kwenda kupiga umbea na mashoga zake.
Mtoto wa kiume kushinda na wanawake mda mrefu hua inawaathiri sana, mwache akacheze na wakiume wanzie aige tabia za kiume na sio zako wewe mama yake. Na kikubwa zaidi tumuombe Mungu.
Aisee[emoji848]Yesu atusaidieTanga nyumba shoga nyumba mganga wa kienyeji
[emoji23][emoji23]Unakutana na jamaa mwili mkubwa ...sasa subiri liongee unaweza jua unaongea na kajala[emoji16][emoji16]