Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Watu wanakosoa kazi ya Muumba, aliweka sehemu ya kutolea hewa chafu na vitu ambavyo havihitajiki mwilini, ninyi mnaenda kinyume na Mungu. Mungu anawaona!!
Eti hebu wazia hilo tendo tu halafu mtu anakwambia ni biologically made.... Wakati ni ugonjwa wa kiakili.
 
Wewe umeyajuaje haya....
 
Hapana umekosea kumshambulia anachosema ni kitu sahihi kwanini umbague ndugu au mwanao kisa amekuwa hivo?? Kuna wengine kweli ni hormones so hapo kumuweka karibu na ikiwezekana hta kumpa treatment za kibaiolojia ili iweze kumuongezea testosterone with time character za kike zitapungua na atakua wa kiume pure. Ila kunyanyapaa ndio kunapelekea tatizo kukua tu maana ataangukia in wrong hands.

Na hapa niseme tu tatizo ni sisi wenyewe.... Kuna jamaa niliona mahala anarubuni madogo wa miaka 10-14 kufanya hizo mambo kule Mbezi Beach ssa unakuta mtoto mdogo hivo akizoeshwa mambo ya ajabu by the time anafika 20 anawezaje kuacha!! Na sio ushoga tu hta watoto wa kike unakuta anaingiliwa akiwa na miaka 10 tena na wajomba zake unadhani akifika miaka 20 atakua anashikika tena??

Ukitaka kujua tatizo la ushoga ukikaa nao hta 5 watakwambia walianzwa na watu wa karibu whether mjomba au jirani n.k . so kabla ya kulaumu mashoga tujilaumu sisi wazazi wenyewe je hatuzalishi hili tatizo??
 
Mkiambia msitumie modern FP mnasema watu wazushi na bdo shughuli ndio kwanza imeanza
 
Tanzania na JamiiForums pekee ndo unakuta wanachukia ushoga ila kila siku wanaandika nyuzi kuhusu ushoga...Mtakuwa mnaupenda huo ushoga mpaka mnauzungumzia
 
Sio kweli. Ukipata muda ukamuona kijana shoga hebu keti nae na anza kumhoji kuhusu makuzi yake na namna ameanza hayo maswala utajifunza kitu.
 
Dar
Zanzibar
Arusha
Dodoma
Moshi
Mwanza
Tanga
Iringa
Mbeya
Kahama
Morogoro

Ogopa sana hiyo mikoa watoto wakiume wanatoa kisamvu cha kopo balaa
 
Kwani chips Mayai hutekenya mkudu?
 
hata humu JF pia mash**Ga wapo
ukisoma tu comment utajua uyu ni miongoni mwao
rudi tu juu zile comment za mwanzo mwanzo uta uona mchicha mwiba una justify uwepo wa ushopa kua ni halali..
 
you are only free if and only if your freedom does not affect others. I hate home sexuals but since they dont affect my freedom its always non of my business.

Mambo mengine ni ya kuachana nayo tu. Huwaga nafikiria hata hao wanaume wenye moyo wa kuwapumulia wanaume wenzao mgongoni wana tofauti gani na hao mashoga?
 
Na kiuhalisia ushoga ni tatizo la akili na saikolojia.
 
Kuna kipindi shirika la JHPIEGO lilikuwa na mradi "unaitwa sauti programm" ule mradi ulikuwa unafanya kazi karibu kila mkoa na project yao ilikuwa ni 5 yrs. Jamaa walikuwa wanadili na mashoga walikuwa wanawapa vilainishi na hela. Yan kijana ilikuwa akienda kwenye ofisi zao akasema yy ni gasho alikuwa anapewa 15000tsh na ky. Wale jamaa nao walichangia kuharibu hiki kizazi
 
Inasikitisha sana .na pia media zimekuwa ziki push hii agenda kwenye mind za watu kijanja sana. Unakuta sasa hivi mwanaume anaigiza kama ke kwenye hizi comed
Duh,umenishtua hii nayo sio nzuri aisee
 
Chief na hizi tamthilia zilizoongezeka sasa za kusapoti haya mambo, ukigeuka huku kuna yule mtoto Dullyvan, huku instagram kina Juma yule kwisa, noel kale n.k

Issue sio malezi tu, huu upuuzi unapigiwa debe sana sasa hvi, hali inasikitisha sana, unaingia bar kupata starehe zako anakuja mtoto wa kiume anakurambia midomo nae eti anadanga, dah unaeza jikuta unapata kesi na jamhuri hivi hivi

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…