Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Siwezi bishana na wewe,
Swali kwanza mashoga huwa wanazaliana? Sitaki jibu la uongo (kumuadopt mtoto).

Alafu Elimu ipi unayosema hatuna, hili swala la ushoga ni kuporomoka kwa maadili Moral deteriorations that is one of the bad behavior yaani tabia za kuiga kwenye ukuaji.

Mnaiga western culture za kiniggah zile za wahuni wa marekani na wale walondon [emoji28] Why not get into real civilization alafu useme sisi ni wapumbavu hatuna Elimu.

Swali la mwisho Wewe Elimu unayosema hatuna ni ipi? Ushoga ni poor civilization za wazungu.

Bora udinye demu au mke wako nyuma lakini si mwanaume mwenzio walah tena mdinyane kwa starehe siyo kuumizana misuli ya mku* hapo ndiyo naweza nikasema umeelimika yaani you got that western culture. Ila ushoga wa men to men that is really bad.
U nailed it. [emoji3514][emoji298][emoji1634][emoji457][emoji966][emoji471] Umesema vema sana na sahihi.......
 
Hili tatizo ni la Dunia nzima kwa ujumla ila sasa hv wanataka uhuru wao
 
Naskia na huko Zanzibar imekua baada ya nyumba Kuna shoga1,baada ya nyumba shoga nikweli????
Leo kwanza tunazungumzia Dar, Zanzibar ngoja kwanza kuna kipindi chake kitakuja.
 
Mkuu mbona kama unawatetea yaani unaona ni sawa?! Hilo unalotetea ni tatizo la kiakili na hapa tunakemea hatujaja kusapoti. So why unatia efforts kutetea na si kukemea.

Hakuna mtu anachukia binadamu hapa tunachukizwa na tabia
Kama unafikili ni tatizo la kiakili jaribu kumbadilisha shoga aache ushoga kama utaweza. Ukielewa kuwa hilo ni tatizo la kibaiolojia huwezi kuhangaika nao. Kwani wao ni viumbe wameshushwa angani au ni kaka zako binamu zako watoto wa mama zako na dada zako? Hata wewe unaweza ukazaa mtoto umemlea kwa maadili makubwa ila kama hormones zake ni tofauti na jinsia yake yani hata ufanyeje utapiga utaua, kama ni mwanaume ila hormones zake zinampa mihemuko ya kike atavutiwa na wanaume wenzake tuu hata ufanye nini yani ndo kazaliwa ivyo iko kwenye DNA yake.
Acheni ulimbukeni kama ni watoto wenu wamezaliwa hivyo muwape sapoti na siyo kuwahukumu na kuwafukuza. Mashoga wengi wanaonekana vituko kwakuwa ndugu zao wanawafukuza na wanaishia mitaani bila muelekeo wa maisha wanaishia kujiuza kujisapoti kimaisha kitu ambacho kinashusha utu wao. Wapeni sapoti ndugu zenu wakiwa wamezaliwa na viashiria vya ushoga ili wajistiri waweze kuishi kistaarabu kama binadamu wengine.
 
Mtaa niliokulia ilikuwa mtu hata akisimama tu nyuma yako mnagombana. Mtaa watoto wagumu watukutu balaa.

Kuna Dogo mmoja tu alikuwa anawekwa na tulikuwa tunamtenga madogo wote. Na sababu ilikuwa ukiwa mnyonge imekula kwako. Ukipigana ushinde.

Sasi Supu! Sababu anatoa supu. [emoji1787][emoji1787]
 
Haya ni mawazo potofu kabisa. Ushoga siyo tabia ni jinsia mtu anazaliwa shoga, hajifunzi kuwa shoga hata aishi na mashoga, tena ulaya mashoga wanaoana na wanaruhusiwa ku adopt mtoto na analelewa na wazazi mashoga na anakuwa mtu wa kawaida kabisa siyo shoga.

Kama hamjasoma biolojia hata ya form 2, ni kwamba binadamu anazaliwa kwa maelekezo ya DNA ambazo zinabeba chromosomes x na y ambapo male wana xy na female wana xx, ambapo ikitokea confusion kwenye chromosomes basi tatizo litaweza kusababisha imbalances hata kwenye sexual hormones ambapo male wanatakiwa wawe na testosterone na female wanatakiwa wawe na estrogen na progesterone badala yake unakuta male ana testosterone na estrogen na progesterone au female ana estrogen, progesterone na testosterone.

Sasa ikitokea kwenye DNA mimba imetungwa na mtoto wa kiume ana hormones za estrogen na progesterone huyo ni mwanaume kwa umbile ila mihemuko yake yote na hisia zake ni za kike , na ikitokea mtoto wa kike kazaliwa na hormones za testosterone basi huyo ni umbile la kike ila mihemuko yake na hisia ni za kiume.

Kwahiyo ushoga siyo swala la tabia za kuiga wala malezi ni hormones za kuzaliwa nazo yaani hata upige ugalagaze huwezi kumbadili tabia shoga awe mwanaume kama wengine ni sawa na kumpaka rangi albino awe mweusi haiwezekani ni swala la kibailojia.
Simple mathematics:
Chromosome X + Chromosome Y = XY (Male)
Chromosome X + Chromosome X = XX (Female)
Chromosome X + Chromosome X + Chromosome Y = XXY (Klinefelter's syndrom)
Chromosome X + Chromosome Y + Chromosome Y = XYY (Jacob's syndrome)

Kati ya hizo zote hapo huu hakuna gay. Hebu tueleze hiyo confusion inayoleta mashoga inatokeaje.
 
Mtaa niliokulia ilikuwa mtu hata akisimama tu nyuma yako mnagombana. Mtaa watoto wagumu watukutu balaa.

Kuna Dogo mmoja tu alikuwa anawekwa na tulikuwa tunamtenga madogo wote. Na sababu ilikuwa ukiwa mnyonge imekula kwako. Ukipigana ushinde.

Sasi Supu! Sababu anatoa supu. [emoji1787][emoji1787]
Sijaelewa
 
Wakuu naona mnazungumzia san kuhusu dar,

Vp mkishawah kuja na huk zanzibar mkafanya utafit..[emoji3166]
 
Mlikuwa mnawatenga waliokuwa 'wanamuweka' pia ?
Mtaa niliokulia ilikuwa mtu hata akisimama tu nyuma yako mnagombana. Mtaa watoto wagumu watukutu balaa.

Kuna Dogo mmoja tu alikuwa anawekwa na tulikuwa tunamtenga madogo wote. Na sababu ilikuwa ukiwa mnyonge imekula kwako. Ukipigana ushinde.

Sasi Supu! Sababu anatoa supu. [emoji1787][emoji1787]
 
Alafu hii tabiaya kukaa kujadili mashoga kama vile wao siyo watu acheni kuishi zama za kale, sikuhizi kila mtu ana haki za kuishi maisha yake anavyopenda yeye.

Nyie mkienda ulaya au china mkaambiwa nyie Weusi siyo watu ni nyani muuwawe mtafurahi? Mbina mnapenda kunyanyasa wenzenu wakati nyie pia hampendi kunyanyaswa?

Kuna wazungu wanaamini mtu mweusi siyo binadamu kabisa anafaa auwawe. Yaani watu tuko katika zama za kupambana na unyanyasaji wa haki za muafrika na binadamu wote kwa ujumla kuna matakataka yapo humu yanajadali kama mashoga wauwawe au siyo watu.

Hebu acheni mawazo mgando, mimi naweza nisikubaliane na style ya maisha ya mtu mwingine lakini ninaelewa haki za kila binadamu kuishi kwa jinsi mungu alivyomuumba. Awe shoga awe straight siyo nafasi yangu kumpangia mtu style ya maisha yake. Acha mungu awe hakimu wa kila mtu mwisho wa maisha yake.
Bora ufute hamna Point Mkuu ,Mambo ya ushoga Hatusupport lazima tupinge
 
Alafu hii tabiaya kukaa kujadili mashoga kama vile wao siyo watu acheni kuishi zama za kale, sikuhizi kila mtu ana haki za kuishi maisha yake anavyopenda yeye.

Nyie mkienda ulaya au china mkaambiwa nyie Weusi siyo watu ni nyani muuwawe mtafurahi? Mbina mnapenda kunyanyasa wenzenu wakati nyie pia hampendi kunyanyaswa?

Kuna wazungu wanaamini mtu mweusi siyo binadamu kabisa anafaa auwawe. Yaani watu tuko katika zama za kupambana na unyanyasaji wa haki za muafrika na binadamu wote kwa ujumla kuna matakataka yapo humu yanajadali kama mashoga wauwawe au siyo watu.

Hebu acheni mawazo mgando, mimi naweza nisikubaliane na style ya maisha ya mtu mwingine lakini ninaelewa haki za kila binadamu kuishi kwa jinsi mungu alivyomuumba. Awe shoga awe straight siyo nafasi yangu kumpangia mtu style ya maisha yake. Acha mungu awe hakimu wa kila mtu mwisho wa maisha yake.
Hizo haki za kuwa shoga Zimeandikwa wap
 
Hivi mashoga hawaujui utamu wa K ,kwanini wanakubali kukanyagwa?
Nalog off
 
Hivi mashoga hawaujui utamu wa K ,kwanini wanakubali kukanyagwa?
Nalog off
Nani kakuambia mashoga hawagongi k mzee? Tena usikubali mke wako awe na rafiki shoga wale jamaa wanapiga mashine kama kawaida ila wanapenda kupiga wanaume wenzao, ila ukiona demu wako yuko karibu nao jua huwa anapashwa pashwa mara mojamoja ila siyo starehe zao wanawake.
 
Nani kakuambia mashoga hawagongi k mzee? Tena usikubali mke wako awe na rafiki shoga wale jamaa wanapiga mashine kama kawaida ila wanapenda kupiga wanaume wenzao, ila ukiona demu wako yuko karibu nao jua huwa anapashwa pashwa mara mojamoja ila siyo starehe zao wanawake.
Siwezi ruhusu mke wangu awe na ukaribu na mashoga.
Nalog off
 
Back
Top Bottom