Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Acha kuchafua watu na story zako za kijinga. Steve Jobs hakuwahi kuwa shoga na alikuwa na mke na watoto watatu, wa kiume akiitwa Reeds. Hebu leta uthibitisho hapa wa andiko alilojitangaza yeye Ni shoga..
Mkuu mashoga wana familia, asikudanganye mtu akakana hajihusishi na ushoga sababu ana mke na watoto.

Kuna wanaume wana wake ila ni wake za watu pia.
 
Mkuu mashoga wana familia, asikudanganye mtu akakana hajihusishi na ushoga sababu ana mke na watoto.

Kuna wanaume wana wake ila ni wake za watu pia.
Wamuulize afande rama, tena ana wake wawili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii vita ni ngumu kuishinda

Ili tuishinde twapaswa kataa miziki ya Singeli, Bongo Flavor.
Instagram
TikTok
Facebook
Telegram
Etc
 
Uzi ushavamiwa. Naionea huruma sana JF kupoteza mvuto. Choko anatamba kila uzi na hakuna cha kumfanya, Hadi inafikia hatua anapewa ushindi na tuzo

Msiba huu
 
Mshana huwa nakuheshimu sana ila leo umeingia chaka na umeandika makala inayopotosha jamii.

Kuhusisha mazoezi ya mwili na ushoga unakosea sana.

Hawa vijana wenye miili ilioumuka kwanza hata hawashindi qym kama unavyodhani. Nitakutoa tongotongo kuhusu hilo sababu mimi ni trainer wa haya mazoezi pamoja na yoga.

Kuna vitu kama dawa hv au poda ambazo huwa na mchanganyiko wa protein na homoni za kiume hawa vijana wanakunywa ili kukuza misuli, wakinywa hapo yeye atanyanyua chuma kdg tu ila mwili wake unajibu fasta na kuumuka wanavyotaka. Hawa wengi hawana nguvu na persistence kama mtu anavyoweza kudhan. Kwa mfani wengi utakuta wanalinda bars usiku na hawawezi chukua malindo nje ya bar au kumbi za starehe sababu wanajua uwezo wao ni mdg sana.

Lkn mwili wa binadam una balance mambo, kila binadamu ana kiasi fln cha homoni za kiume na za kike aidha awe mwanaume au mwanamke. Sasa hawa vijana wakijiongezea homon za kiume mwili unabalance mambo kwa kugenerate homoni za kike na hapo ndipo tatizo linapoanzia. Siku akishikwa tako tu atasisimuka na baadae maafa zaidi yanaweza kutokea.

Nitafungua uzi siku moja kuongelea hili swala in deep, lkn naomba uache kupotosha jamii, ni bora useme mabaunsa wanaitumia dawa ndio wana hatari ya kufikwa na ushoga kuliko kusema mazoezi ndo yatamfanya mtu kuwa hivyo
Sijui kuhusu uekewa wako, lakini naonekana ulianza kumpinga Mshana Jr tangu ulipoanza kusoma mstari wa kwanza wa bandiko lake.
Kama ungeruhusu utulivu wa akili usingeweza kumjibu kwa namna ulivyoandika hapa.
 
Wakuu
Nimekua kimya kama sio kujiepusha na hizi mada za ushoga ushoga humu jukwaani maana hakuna kitu tunafanya tunalia lia tu na hakuna kitu inasaidia

Mimi nadhani tuachane na mijadala ya ushoga!!Ni kama tunaupa kiki ushoga tu halafu kuna kitu sikielewi labda mnisaidie huenda hata wanaojifanya kupost sana hizi mada nao ni wale wale tu ni hisia zangu zinanituma kuwaza hivyo

Hata yule dada anayemsaidia Mwakyembe anayeitwa Catherine Kahabi nina mashaka nae huenda nae ni wale wale tu ila nampongeza kwa kazi nzuri aliyofanya kiukweli hali ni mbaya sana kulingana na takwimu zake alizotoa kwamba shirika moja tu linaweza tengeneza mashoga 3000 kwa mwaka sasa tz kuna NG'os ngapi zenye ajenda za siri?Hali ni mbaya sana

Kinachonipa wasiwasi ni unafiki pia wa watu nakumbuka ndugu yetu yule wa vyeti batili aliwahi naye kutangaza vita dhidi ya mashoga, lakini behind the scene na yeye ni wale wale tu maana rekodi zake watu wake wa karibu wanakiri hivyo sio maneno yangu!!Pamoja na msimamo nzuri alochukua kipindi kile

Kwakweli naunga mkono hii vita ila wasiwasi wangu ni unafiki wa watu unaweza ukaingia vitani na wanajeshi wako mnapigana vita kumbe hao hao wanajeshi ni hao hao wazee wa ajenda kwa hiyo ni ngumu mno hili jambo maana unafiki ni mwingi sana

Nije kwenye mada yangu sasa, kiukweli kuendelea na mijadala ya ushoga ndo tunapromote ushoga kuupa kiki na kuukuza nadhani tuachane na mada za ushoga kabisa yaani tuzikatae kabisa humu jukwaani na mitandaoni kabisa

Serikali wangekuja na utaratibu wa kukataza maudhui yote ya kishoga,mada au chochote kile chenye kahisia ka ushoga iwe ni marufuku popote pale Tanzania hususan mitandaoni hii ingesaidia sana

Pia hili suala ni la kudeal nalo kimya kimya mfano serikali au TISS inaweza kutengeneza kikosi kazi cha kudeal na mashoga, mabasha na waeneza ushoga kimyakimya na kisirisiri, kuwamaliza taratibu huku tukiendelea kuchapa kazi na kulijenga taifa bila kuongea ongea sana maana maneno bila vitendo ni sawa na bure

Kikosi kazi hiki kingekua kama wasiojulikana hivi kazi iwe ni kudeal na hili tatizo na kuwamaliza taratibu mmoja baada ya mwingine huu mkakati ungesaidia sana

Pia ushauri mwisho ni humu JF tusilie lie sana wapo humu ambao wanajitangaza live au wanaunga mkono haya mambo na wanaonyesha ni watiifu nadhani pia Mods waliangalie hili, ID zote zinazounga mkono ushoga zianza kuondolewa humu JF na maudhui yote yenye nia ya kuunga mkono ushoga yawe yanafutwa kabisa

Ni mtazamo wangu huo!!
 
Ushoga..
Kuvunjika kwa Ndoa..
Talaka..This was written in 1989
Screenshot_20230330-144040_1680176450446.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MNIUEE TU, NGOJENI NIWAPE ISHARA ZAO MASHOGA ZA KUJITAMBULISHA:-
Sikuhiz ukiona baunsa kaa makini wengi ni mshoga... Ukiona wanaume wanaopenda kufuga ndevu nyingi wanapaka hadi mafuta kaa makini wengi ni mashoga... Ukiona mwanaume anapenda kuvaa vikaptula ujue wengi ni mshoga... Ukiona mwanaume anapenda kuvaa visuruali vinabana vifupi ujue wengi wao mashoga... Ukiona mwanaume anapenda kuvaa nguo t-shirt au shati za kumeremeta ujue ni mashoga... Ukiona mwanaume anapenda kuvaa visendoz na soksi za rangi rangi ujue mashoga... Ukiona mwanaume anaambatana sana na wanawake uje ni shoga... MWISHO SI KWA UMUHIM UKIONA MWANAUME ANASEMA USHOGA UNAKUZWA TU UJUE NI SHOGA HILO...
Duh mbona sa tuimeisha, hiyo list means mabishoo wote ni upinde
 
Wanaume hatuwezi kuisha mkuu hizo mambo zilikuepo enzi na enzi.

Sema tu sasa hivi ni kama watu hawaogopi kuyafanya hadharani na hata wakigundulika hawaoni jau kwasababu wengi wanajua hayo mambo yapo. Mfano ni huyu kiumbe wa jf, anaefata watu PM.

Usiogope kuzaa mtoto wa kiume mkuu, kitu wanachokosea kinamama wengi ni ile ana mtoto wa kiume maybe wa miaka 8 au 9 na anamchukua kwenda kupiga umbea na mashoga zake.

Mtoto wa kiume kushinda na wanawake mda mrefu hua inawaathiri sana, mwache akacheze na wakiume wanzie aige tabia za kiume na sio zako wewe mama yake. Na kikubwa zaidi tumuombe Mungu.
Na wengi wao hawana wanaume ni masingle mother ndo wanaaribu watoto wao wa kiume maana hawana role model wa kiume kwenye familia
 
Back
Top Bottom