Huna unachojua tulia nikupe elimu.
Illuminati ndo baba lao ushoga na mambo mengine ni part ya illuminati. Illuminati ni organization kubwa sana worldwide nazungumzia. Humu kuna matajiri wakubwa sana nazungumzia Rockefellar family, Rothchild, Russel, Collins etc. Hawa ndo matajir illuminats wenyewe walioshikilia dunia. Kuna zaid ya familia 13 top illuminats.
Haya mambo ya ushoga ni moja ya Agenda za Illuminats katika depopulation nazungumzia (NWO). Tafuta kitabu cha Ralph Epperson kisome utapata mwanga. Ushoga ni kitu kidogo sana, unacompare Illuminats na ushoga???. Sponsor wa ushoga ndo hao illuminats wenyewe.