Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Binafsi ninahisi kuna kudhulumiana hapa.
Hawa wanaonekana ni mashujaa leo yawezekana ni miongoni mwa waluotufikisha hapo ila wameamua baada ya kusalitiana.

Mtu km Mwakyembe ana taarifa za ndani ndani kabisa lkn alikuwa katulia tu,kwa nini km siyo mnufaika wa uhovu huo?

Ni km majambazi yakisalitiana,yanatoa siri za ujambazi wao,labda atakaye saliti auliwe.
 
Wewe shoga kwani hujasikia kwenyetaarifa hiyo kwamba hizo perfume zilipelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali na akathibitisha kuwa perfume hizo zinaathiri hormone za kiume na kuongeza hormone za kike??. Nakushauri achana mchezo huo
 
Wee genta, Mbona inasemekana huyo Kahabi mwenyewe ni mke wa Yule mbunge wako mstaafu? Yule sauti ya radi kiongozi wa Covid19.
 
Wewe shoga kwani hujasikia kwenyetaarifa hiyo kwamba hizo perfume zilipelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali na akathibitisha kuwa perfume hizo zinaathiri hormone za kiume na kuongeza hormone za kike??. Nakushauri achana mchezo huo
Gasho hilo.....!!!!!!

Cc:Elli
 
Ndio maana huwa nasema TISS imelala, mtu anafanya ujinga wote huo na bado yupo huru.

Uchoko ni sehemu ya ibada za kishetani...

Serikali nyingi ulimwenguni zimejifungamanisha na ibada za kishetani...
 
Democracy" rule of people",supremacy of the people " who are the people?

Guys?elder?youth?wemon or men?

This is fucking nightmare for Africa let me tell you Demokrasia inasifa ya kuendana na utamaduni lakini tamaduni yetu umetofautiana na Marekani hivyo siyo kila jambo lao nasi tuige.


Mbona mengine hayalazimishwi
 
Popoma naona umeamua kuleta upopoma wako hapa, akili kubwa haiwez kukaa na kuanza kujadili ule utafiti uchwara wa mala¥a alieamua tu kutafta upepo wa kutokea,
Hamna mzungu anayetoka ulaya kuja kimgeuza mtu kuwa shoga na haitakaa itokee,
Ina maana hata wewe wakikukuta na kukupa mafuta na spray utaenda kuwapa mzigo, au tuseme wameamua kuweka hizo vitu vyao kwenye maduka wewe ukanunua accidentally bila kufahamu ukishatumia utatoka hapo na kuanza kutafuta mtu akushughulikie, acheni mawazo ya kipumbavu hata kwa kitu ambacho kinahitaji reasoning ya babyclass

Ushoga unaanzia kwenye familia zenu na upo tokea zamani, tawala za kichifu pia zilikua na wanaume ambao chifu anawapelekea moto vizuri kabisa ila ni kitu ambacho hutakaa uambiwe kazi kupiga kelele wazungu,
N.B Sipo katika kuwatetea wazungu ila mkijadili hili suala mjadili ukweli wake na sio kukaa na kujadili myths ambazo hazipo duniani.
 
Kumbe machogo mpo wengi hapa JF!! Lakini hamtashinda na ushetani wenu huo!!
 
FK21 We si umelianzisha,limalize mwenyewe moderator wamekaa pembeni wanaangalia ninavokupaka mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…