Shut up wewe hujui kitu,kama nimeandika hapa unadhani sijui nilichoandika?Gays gan wa kibongo walipewa kazi huko UN? hizi story za vijiweni peaneni vizuriii khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mna akili kisoda saana Watanzania! Mna akili za kuku! Soma uelewe nilichoandika acha kurukarukaAcha kutetea Ushoga wewe
duh aisee1. Serikali imkamate upesi huyu Raia wa Marekani Bwana David ( Mpumbavu na Shetani ) na ahojiwe kwanini ameshatuharibia Kizazi cha Vijana wengi wa Kiume Mkoani Dar es Salaam?
2. Kama Serikali inaogopa Kukabiliana nao Kimedani basi iseme tu kimya kimya Kwetu Wananchi wenye Hasira ( Wakiongozwa nami GENTAMYCINE ) tumalizane nao ( Kimkakati ) kama ambavyo tumemalizana na Wezi / Vibaka Sugu Mwananyamala, Manzese na Msasani.
3. Upesi sana wakamatwe Watanzania wanaomsaidia huyu Mpumbavu Mzungu Mmarekani David kufanya huu Upumbavu wake mkubwa Usiovumilika kwa Watanzania Wenzetu ambapo GENTAMYCINE nimetajiwa Majina yao wakiwemo baadhi ya Wakubwa, Watendaji wa Wizara, Wastaafu fulani, Wasanii, Waandishi wa Habari ( Watangazaji maarufu wakiwemo ) na hata Viongozi wa Dini ( Wahubiri Wakubwa ) tu nchini.
4. Wamiliki wa Kumbi zote za Starehe na Hotels Kubwa mpaka na Appartments za Mbezi Beach zilizotajwa na Investigative Journalist Catherine Kahabi Wakamatwe, Wahojiwe kwa Kina na Washtakiwe.
5. Ile Barua ya Wizara ya Mambo ya Nje iliyotolewa wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiwa Paul Makonda iliyoonyesha kuwa Serikali haikumtuma Paul Makonda Kupambana na Ushoga nchini ikanushwe haraka sana na Serikali ( Mamlaka ) kwani kumbe kuna Watu wanaitumia hiyo Barua ya Wizara katika Kuwaambia Mashirika Matajiri ya Kizungu yanayojihusisha na Ushoga duniani kuwa Serikali ya Tanzania inaruhusu Ushoga na Wao kuwa Mawakala wao na Kujipatia Fedha nyingi mno.
6. Ifanyike Tathmini Kubwa na ya haraka ni Kiasi gani huyu Mzungu Mmarekani Shetani David na Mtandao wake Wameharibu Watoto wa Shule za Msingi ( Primary ) na Upili ( Secondary ) kwa Ushoga kwani tayari GENTAMYCINE namalizia Kukamilisha Uchunguzi wangu Binafsi juu ya Mwanafunzi wa Darasa la Sita ( Shule naihifadhi kwa sasa ) ambaye ni Shoga na ameshaharibu karibia 35% ya Wanafunzi wa Kiume wa hiyo Shule yake anayosoma.
7. Wanaume Wenzangu kuweni makini na Mazingira mnayokuweko, Vinywaji mtumiavyo mkiwa katika Kumbi za Starehe na Watu wanaowazungukeni kwani kwa mujibu wa Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) ni kwamba huyu Mzungu Mpumbavu na Shetani David na Mtandao wake wana Dawa Maalum, Manukato na Nguo ( hasa hasa Jezi za Timu za Mpira Kubwa nchini na zile za Ulaya ) ambapo wakikupa tu na Kunywa, Kupakaa na Kutumia basi Wewe Mwenyewe kwa ridhaa yako unamtafuta Shetani David Mmarekani popote alipo aje afungue Utepe wa Marinda yako kwa Kuyafumua bila Huruma na Kunakotukuka
GENTAMYCINE nimalizie kwa kumpa pongezi zangu nyingi mno Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) na Wasaidizi wake kwa Kazi Kubwa aliyoifanya kwa kutuletea hii Special Report yake ambayo Kiukweli imetufungua mengi zaidi.
Ombi langu tu Kwake Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) na Dk. Harrison Mwakyembe walioamua Kuvaa Mabomu na Kujilipua Kupambana na hawa Mashoga na Mtandao kuwa kuanzia sasa wawe Makini na Usalama Wao, Serikali iwalinde kwani wameamua Kupambana Vita ambayo ni Kubwa, Chungu na ya Hatari Kwao huku Sisi Wengine tukiwaombea Ulinzi mkubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Hali ya Ushoga ni mbaya Tanzania!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa uwasilishaji wake umekaa ki comedy sana[emoji23][emoji23]kwamba ukivaa au kunywa unafuata mwenyewe akufumue marinda.Nimecheka
Hiyo ripoti iko wap mkuu na mm niipitiee
Shetani amesogea karibu zaidi.Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao
Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu
Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8
Hali ni mbaya sana hapa Dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume, Mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?
Unajua Sodoma na Gomora Biblia inasema ilikuwa miji kama Dar na Tanga, sasa hivi ni worldwide aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utamaduni gani huo wa Mwafrika unazungumzia? Tulieni mletewe vilainishi kuliko mnavyochubuana Kwa sasaDemocracy" rule of people",supremacy of the people " who are the people?
Guys?elder?youth?wemon or men?
This is fucking nightmare for Africa let me tell you Demokrasia inasifa ya kuendana na utamaduni lakini tamaduni yetu umetofautiana na Marekani hivyo siyo kila jambo lao nasi tuige.
Mbona mengine hayalazimishwi
Kwa namna flani mtizamo wako uko sahihiNani Kati yenu anamjua shoga yeyote personally achana na hawa wa mitandaoni na maarufu? Probably hakuna. Mnaangalia na ishu non-existent wakati Kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili. Miafrika inawaza ngono tu.
Kwanza ijulikane estrogen (female hormone) hata wanaume wanazo naturally and vyakula vya Kila siku vina ongeza estrogen kwa wanaume na bado wengi tu sio mashoga. Haiwezekani a one time dosage tena ya toothpaste na perfume imfanye mtu awe shoga. Haiwezekani. Halafu wewe mwanaume na ndevu zako unakubali zawadi ya perfume na toothpaste kweli? It will take a truckload of it kumgeuza mtu awe shoga.
Hivi mizungu iwafanye nyie muwe mashoga kwa umuhimu gani hasa?
Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level. No more, no less. Msikimbie majukumu yenu. Mashoga wengi wameanza hii michezo majumbani mwao sio shuleni wala sehemu nyingine.
Kila research Ina agenda yake sijui huyu dada agenda yake ni ipi. Itakua kasoma upepo kaona mitanganyika inapenda story za ushoga kajiongeza.
CC: BICHWA KOMWEE Dr. Mariposa
Pokeeni vifiro enyi watanganyikaUtamaduni gani huo wa Mwafrika unazungumzia? Tulieni mletewe vilainishi
Kina James Delicious, B12, lokole, Aggrey etc hawajasubiri sheria.Pokeeni vifiro enyi watanganyika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wanachekesha mnoo.Wapo bize kabisa, na hapo anaamini mtu alipewa kazi ili awe shoga[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnawasema juani mnawatafuna kizani. Hasira ya Mungu na iwashukie Wanafki nyiee