Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Mwamposa yupo live channel ten

Anapondea Demokrasia kuwa inaleta ushoga Tanzania

Anasema tuwe makini na misaada ya Wazungu kwani Ina vipengere vinavyochochea ushoga

Ansema ushoga ni ushenzi na kama Wazungu watshindwa kuzipeleka injili mbele yeye na wachungaji wenzie weusi wataipeleka hiyo injili huko Kwa Wazungu ilko tokea

Ansema muwe makini na Biblia za siku hizi kwani nyingi zinapromoti ushoga kwani nyingi zina delete maneno "Baba" pale inapoamtaja Mungu Ili ionekane Mungu hana jinsia

Demokrasia huleta Devilgrasia

Nini maoni Yako!?
 
Yupo sahihi lakini masikini Hana chaguo. Viongozi wanaopinga ushoga tunaona ni madikteta Tena Kwa kushinikizwa na mataifa ya maghalibi tunawapiga mawe. Wanapoingia Hawa akina sisi tunafurahia lakini nyuma ya pazia wanashindwa kukemea uovu huu kwenye jamii Kwa kuhofia kukosa misaada na mikopo nafuu. Mchungaji yupo sahihi na anamawazo sahihi lakini anaongea katika eneo asilosahihi na wakati usio sahihi akitaka ufafanuzi amuone Gwajim.
 
Uko sahihi
Siku tukiachana na hiyo misaada yao tutafika mbali sana
 
kuna mada ililetwa huku kwamba waumini wake wanalala chini ya miti/mbuyu.... ivi ashawasaidia ama bado?
 
Naona Mungu akiwa na jinsia basi na wanawake watadai Mungu wao. Tumuite tu "Muumba wa vyote".
Na wakifika hapo watauliza kama ni Muuba wa vyote vya kike na kiume basi aweza kuwa KE au ME

Wale wa upinde wataunda Mungu wao na hakuna atakayewafanya chochote

Huko mbele nii giza
 

Hasa biblia za Kiroman ushenzi mtupu [emoji706][emoji706]
 
Mashoga wanakua na hiyo tabia toka utotoni sema wakija shule wanaanza kutafuta kama kuna wengine ndo wanajipendekeza kwa wasio mashoga....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakuta m1 anapigwa na wanafunzi zaidi ya wawili,

Tena ikiwa advance ndo kabisaaa, wanapozea upwiru kwa O level.
 
Mimi nawaweka mashoga makundi haya:

1. Waliozaliwa na hali hiyo
2. Waliojiingiza

Hawa wa aina ya pili, sitapenda kuwaongelea sana kwa sababu ni suala la kujitakia. Wengi wao ni tamaa za kifedha na hawa wengi ni wale wanajiona wana miili ya kuvutia lakini mifukoni na vichwani ni watupu.

Kuna wengine wanaingia si kwa sababu ya fedha lakini tu kashawishiwa na kajiingiza na kanogewa, hawa wengi ni watu wasomi na wana kazi na familia zao pia. Pia sitawaongelea sana, wamejitakia.

Ila kuna hawa wa kundi la kwanza, waliozaliwa hivyo, hawa wanahitaji kupewa jicho la pekee, kwa sababu wao wakidhibitiwa ni rahisi kupunguza tatizo.

Hawa huonyesha dalili mapema, ni wale watoto tangu wadogo wanakuwa na tabia tofauti na zile za kawaida za watoto wa kiume, michezo yao ni tofauti na mara nyingi hupendelea kukaa na watoto wa kike, dada na Mama zao. Huwakwepa kaka na baba zao.

Wanajiona hawako daraja moja na watoto wengine wakiume. Hizi dalili huwa tunaziona lakini zinapuuzwa, kumbe ni wakati muafaka kuzifanyia kazi.

Huyu akiwa kijana anajikuta hatamani wanawake, hana swaga za wakiume, haelewi hisia zake, ndio msongo wa mawazo huanza na kujitenga. Bahati mbaya sisi huwa tunawasema vibaya, hivyo amani wanaipata kwa kukaa na wasichana, na ndio wanazidi.

Ni rahisi kumsema na kumtukana akiwa wa watu ila akiwa kwenye familia yako ni kitu tofauti. Hakuna namna utamuondosha katika familia, ila akipata msaada anaweza kusaidika.

Wakina baba wanaweza kusaidia kiasi kikubwa, kuwa mtoto akionesha dalili tofauti wawe wanakaa nao mara nyingi, itasaidia mtoto kupambana na ile hali anayohisi...

Afundishwe kukubali kuwa hata walemavu wameumbwa na Mungu, lakini hapaswi kujisusa, zaidi kukaa karibu na Mungu na kupambana.

Hivi anaweza kushinda hisia, na hatimae akawa ni kijana wa kiume kawaida.

Kosa kubwa tunalifanya ni kusemea hivi vitu kwa ushabiki bila hata kuelewa, ila tunapaswa kurudi kwenye ngazi ya familia kupambana na hii hali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…