Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Blah Blah Blah,

Mashoga walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo, ukiona mtu anashindwa kutengeneza hata sindano lakini yupo busy kuwafanyia utafiti Mashoga basi kizazi chake kina hasara mno.
[emoji848]
 
Tuwe wabobezi na wajuzi katika vitu vya watoto iwe nguo au chochote kile saiv dunia imebadilika watu wanapromo vitu mbali mbali vya kishoga waziwazi bila kuwa mjuzi unaeza jikuta unamvisha mtoto mambo ya ovyo ovyo.

Wazazi tuwe makin sana na vitu tunavyowanunulia watoto wetu iwe nguo au vitu vya kuchezea
 
Waache kununua cheap diapers🤗
 
Hiyo diaper ina nini kwani?
 

Kwa hivyo hiyo nembo hapo inamfanya mtoto awe shoga? hivi hizi akili ni zenu kweli mbona kama inashangaza?
 
Umenenaaa haswaaaaaa, na wengi wa aina hii huingia ktk gaysim kutafuta furahaa, wanatengwaaaaa,

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] hadi chozi linatokaaaa, umenigusaa sanaaaa.
 
Mi nilikamata muuni ananyonya ndonga ya mwenzake kiroho safi[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uboyzini watu wanageuzana sanaaa, hasa mida ya prepo watu wanazamaa mafichoni kupakuanaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uboyzini watu wanageuzana sanaaa, hasa mida ya prepo watu wanazamaa mafichoni kupakuanaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na shule ya jirani ilikua ya madem niliskia walikua wanasagana sana usiku hostel.....na wanaiba vitesttube wanaenda kupasha[emoji23]
 
Kwa hivyo hiyo nembo hapo inamfanya mtoto awe shoga? hivi hizi akili ni zenu kweli mbona kama inashangaza?
Kwa sababu hiyo nembo inawakilisha mambo ya ushoga ni wazi kuna uwezekano mkubwa zikawa zimetengenezwa na viambata vinavyo sababisha mtoto ku generate homoni za jinsi tofauti na ya mtoto mwishowe anakuwa anagegeduliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…