Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Huyo mbunge wako wa ccm kutwa kujadili ngono tu
 
Ushajiuliza ya licha haya, kwa nini kuna jamaa wanaacha wake zao na kuchepuka na hawa raia?
 
Religion ni philosophy

Sexual orientation sio belief ni nature

Comparing two entities with null resemblance even on their ground ideas that's grammy award bullshit [emoji16][emoji16][emoji16]

Sema everyone yuko entitled with his or her own ideas
Kweli JF ina mashoga wengi, ngoja nitoke kwenye hii thread, naona ni mtumbwi vibwengo
 
Akiongea kupitia clouds tv Tariq Kipemba ameelezea chanzo kizima cha kumwagiwa Tindikali kua mtuhumiwa alikua anamtaka kimapenzi, na Tariq akakataa!!
chanzo Clouds tv


 
Watoto wadogo kabisa tena chini ya miaka 18+ wanafanya biashara za ngono vingunguti.

Vijana taifa la kesho na nguvu kazi ya taifa wametumbukia kwenye janga la ushoga...
 
Watoto wadogo kabisa tena chini ya miaka 18+ wanafanya biashara za ngono vingunguti.

Vijana taifa la kesho na nguvu kazi ya taifa wametumbukia kwenye janga la ushoga...
Naskia Hyo mitaa ndio makao makuu ya JAMHURI YA WATU WA SOGODO
 
Kila siku anakuja na kisa kipya, baada ya kumwagiwa tindikali alisema alikua ana ugomvi wa kawaida na jirani yake na anahisi ndo kamfanyia hivo, wajanja tukakataa hii nadharia, mtu mpaka asuke mipango ya kukumwagia tindikali haiwezi tu kua eti mmepishana kauli, big NO!!!

Mtu mpaka aitafute tindikali aipate afanye mipango ya kukushambulia lazima Kuna kitu kikubwa Sana baina yenu (pesa au mapenzi nadhani ndo driving factor kubwa sana)

Sasa kaja tena na mambo ya ushoga, kwa io shoga kamtongoza kamkataa akaenda to the extent ya mpaka kummwagia tindikali, doesn't make sense at all
 
Kila kitu Serikali inafahamu maana walioko kwa serikali wote wanatoka kwa jamii yetu so wanaelewa kinachoendelea kwenye jamii na taifa kiujumla.

Je 'kwanini serikali haitushirikishi sisi wananchi kwenye hiyo mikataba maana matatizo yanakuja kutukumba sisi.
.. kwakuwa viongozi wengi wa serikalin hawana hata watoto wanaona safi tu watafune vijana wetu
. Matikiti yanalipa...


YAPI MAONI YAKO.....
 
Kama kuna kundi linalopaswa kupambana kwa nguvui kubwa na ushoga, basi ni wanawake.

Ushoga unapunguza idadi ya wanaume wenye uwezo wa kuoa na kujamiiana na wanawake. Hivyo kupelekea wanawake wengi kukosa wapenzi wa kiume ama waume.

Madhara ya ushoga yatapelekea wanawake wengi siku za usioni kujiingiza kwenye tabia za kusagana
na uraibu wa kutumia uume bandia ili kujiridhisha.

Wanawake mpo? Piganeni kwa nguvu na ushoga ili na wanenu wa kike waje kupata raha ya kuolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…