Kuvaa sketi wanaume inategemea utamaduni. Kabila la wa "Scott" lina utamaduni wa kuvaa sketi tena za rangi maalumu. Huu ni utamaduni wao, haina maana ni mashoga. Mbona Wapemba/Wazanzibari?Waarabu wanavaa misuli kama vazi la kiutamaduni, ama na lenyewe ni la kishoga!TUTOLEE MFANO:-
ZAMANI WATU WANAUME WALIKUWA WANAVAA SKETI...ILA IMETOKEA SASA HIVI WADADA WANAZIVAA...VIPI UTAENDELEA KUVAA SKETI KWA KUSEMA HAIATHIRI KWA SASA HIVI WANAWAKE KUVAA SKETI..?
Nimeliona hilo, inazingua sana...Hii post ya ushoga na usagaji ukiandika upya Mods wanakuingiza kwenye uzi huu huu wa zamani sijajuwa kulikoni?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Unazingua wapi aliporuhusu?Tatizo uwasilishaji ..kipengere.. inamaana ushoga umeruhusiwa Tanzania isipokuwa watoto/ Daah tuko na Viongozi wa Wasio kuwa na msimamo aswa nilitegemea nisikie kauli moja (Ushoga Marufuku) ila wafanyane wao wanaosema ni haki ila sio Watoto 😭
Huu ni msiba kiukweli, afu wanawake wanachekelea hawajui watoto wakiume wanapungua kwa kasi ya ajabu aisee. Mkuu wa Nchi anaongea wanawake wanachekelea. Tanzania moto sio punde Nchi ya Amani na huru ....
Clip umesikiliza au badoUnazingua wapi aliporuhusu?
Mods washaunganisha uziClip umesikiliza au bado
Kuhara ndo period zenuI'm a Top gay.ila kusema kweli wengi wanaingia kwenye uchoko wa kutiwa wanaanza kama Mimi,hua wanaanza kua mabaasha,then unaona kawaida hata wewe kuliwa. Ila most of people nowdays are bisexual.
Uhuru upi asee [emoji1787]Nchi imefunguka. Miaka ile mitano ilitunyima uhuru.
Sana, kwasababu hata serikali inashindwa ifanyaje kuhusu hawa watuUnaweza ukawa kauzu kwa sheria kali lakini kiuhalisia mambo ni mabaya zaidi.
Na mara nyingi sehemu kama hizo walizoruhusu huwezi kuta mambo hayo yanafanyika hadharani,ila huku kwetu kwenye sheria kali ndio watu wako free zaidi.Sana, kwasababu hata serikali inashindwa ifanyaje kuhusu hawa watu
sio sawa na aliyehalalishaUnaweza ukawa kauzu kwa sheria kali lakini kiuhalisia mambo ni mabaya zaidi.
DohHuko sasa ndio pa kwenda kuishi, halafu sikujua kama na Congo wamekataa unafki nitawatembelea pia,
Vipi na hali ya Ndoa wanafungisha pia? ndugu mleta habari.