Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Huu upepo unavuma kwa kasi ya ajabu sana, tanzania itaponea wapi? Tanzania ikatae utamaduni huo wa mapenzi ya jinsia moja na isilazimishwe kuunga mkono ushetani huo
Inakataa lakini watu wanakunjana kwa kasi sana, hapo ndipo tatizo lilipo,
 
Huu upepo unavuma kwa kasi ya ajabu sana, tanzania itaponea wapi? Tanzania ikatae utamaduni huo wa mapenzi ya jinsia moja na isilazimishwe kuunga mkono ushetani huo
Untitled.png
 
Sie bado twajifanya popo,huku twapinga kisha twaambiana kama "kulegezana tulegezane wakubwb watoto tuwache".Upi ni msimamo wetu kitaifa?Au ndio maskini hana chaguo?Remember God created Adam&Eve not Adam&Stive.Nice Easter monday
 
Hii issue iko tricked na ina macho makali ya mbali,watu wakae kwa tahadhari pana. Sijui sn lkn nionavyo itakuja ing'oke na watawala na vyama vya siasa vimetawala miaka mingi (hasa wataojifanya rigid).

Nijuavyo wale jamaa hajawah ku fail wanapolitaka jambo lao.
Kwa mbalii nayaona yakirejelea ya kina Saddam,Gadaf.

Ndiy maana Mama Mkulu wetu hapa anaiongelea kijanja sana
 
We si ulikuja hapa kujutia kuwa msagaji Naona Pepo limekurudia tena

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Asee ni ngumu sana kwa watu hawa kuacha tabia hizo, tumeshajaribu kumwachisha ndugu yetu wa kiume imeshindikana kabisa, tulitumia njia zote, mpaka polisi tumempeleka lakin cha ajabu dogo yule akawa mke wa afande kufika kule akaliwa tena ikabidi tumwache, dogo ni handsome inafikia mahali tunamkabizi kwa Pastor lakini ajabu Pastor anamla tena, sisi tunasubiri majibu Pastor kimya, polisi kimya, tukakata tamaa
 
Back
Top Bottom