Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Huu upepo unavuma kwa kasi ya ajabu sana, Tanzania itaponea wapi?

Tanzania ikatae utamaduni huo wa mapenzi ya jinsia moja na isilazimishwe kuunga mkono ushetani huo
sheria ya ulawiti tz imekataza hayo yote....
 
Mh tunaanza kuibiwa wapenzi na wanaume ase nikikuta shoga na bwana wangu wote nawakata mbupu
Kwa relationships type hiyo wengi mnachukuliwa ili mlinde reputation za wanaume zenu in the society but hawawapendi hataa. Girl ukijipata kwa situation hiyo chill because waeza kuta wewe ndio umeingilia mapenzi ya watu. Naongea out of experience usiponizingatia shauri yako
 
Hii kali
 
Museven atakuja kupigwa chuma kama Gaddaf mana maraisi wote wenye kiburi wanafyekelewa mbali dadadek,
 
Umejua kunichekesha, kwa hiyo kwenda polisi akawa mke wa Afande, kwenda Kanisani akawa mke wa Pastor halafu hao wote wakisimama mbele ya jamii wanajifanya kufurukutwa nafsi kupinga ushoga huku wanakulana gizani,

Heko kwa Mozambique,Heko kwa DRC, Heko kwa Ivory Coast, Heko kwa South Africa,

Unafki Noooo
 
Lakini why mwanaume mwezie mimi mwanaume akichepuka siwazi na mimi nachepuka na mwanaume ambaye kamzidi kila kitu ila hapo kwa magay hapana
 
Tulijua tunamsaidia kumbe ndo tunampoteza kabisa, wote tuliwakabizi wakawa mabasha zake
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Museven atakuja kupigwa chuma kama Gaddaf mana maraisi wote wenye kiburi wanafyekelewa mbali dadadek,
Ndugu unajua tulio wengi tunaliangalia hili kwa juujuu sana. Si mda dunia itaimba wimbo mmoja.
Hivi km tunao makanisa kibao na manabii,mitume,wachungaj na maaskof wengi tu,hujiuliz why not hawajashupalia kulipinga kwa nguvu zao zote!!!!?? Coz they know clearly what's coming.
Wanaliongelea kijanja saanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Lakini why mwanaume mwezie mimi mwanaume akichepuka siwazi na mimi nachepuka na mwanaume ambaye kamzidi kila kitu ila hapo kwa magay hapana
Kwa sababu anapenda wanaume wenzie and you can't change that. I'm telling you this because I am a man who have dated two married men na wote walioa kwa presha za umri na familia, not out of love. So Pray harder yasikukute dear
 
Yana mwisho wake! Endeleeni kuangamiza vizazi na vizazi lakini kuna siku itatungwa sheria kali ndiyo mtakuja kujuta!

Hivi unapata raha gani kuchezea kisimi cha mwanamke mwenzako??

Hivi unapata wapi nguvu zakutafuna mwanaume mwenzako?? Imagine kainama mbuzi kagoma, hayo makende yake ndiyo unakua unashika shika?? Laana kabisa
 
Kwa sababu anapenda wanaume wenzie and you can't change that. I'm telling you this because I am a man who have dated two married men na wote walioa kwa presha za umri na familia, not out of love. Pray harder yasikukute dear
Jamani wanaume wenyewe mpo wachache tunakimbizana na ninyi
 
Kwaza tuache hayo mambo mimi sitak ata kuyasikia
Kweli kabisa. Ila likikupata usinunue kesi kwa kumdhuru. Achana nae na utapata asie na mambo hayo. Bado wapo wengi tu. Majority hawana mambo hayo.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…