Aisee, sikuwa nimemstukia aiseeKwani siku zote hujui slogan ya Tekashi?
Nywele zake hujagundua rangi?
BTW: pamoja na uwack wake kwenye mziki na kushindwa kutoa ngoma zenye kuigusa jamii ila amekuwa ni mtu wakujitolea sana kwa masikini.
Huyu ni msanii ambaye namuweka rank za juu kwenye swala zima la kujitolea, kina Jay Z wanamiliki hela nyingi lakini kujitolea kama anavyofanya huyu dogo sijawaona
es un gran problema camaradaEso es porque escuchas lo que no quieres ver, ¿es eso un problema?
Nashukuru sana nipatie hicho anachotumia bosi wa chadema nisukutue fasta.JIPONGEZE MKUU KWA MOJAWAPO HAPA CHINI
View attachment 2591705
Wame contradict na Bible, kwa ufundi wa hali ya juu sana, washenzi sana hawa watu.Wanatumia upinde ili ikitokea mungu anataka kuwaangamiza, anakuta alama za agano alilolitoa mwenyewe, hivyo watakua wanakwepa kuangamizwa
Wako everywhere, kwenye pub na night club zile taa za usiku kuleta mandhari nzuri sasa hivi viwandani zinatoka rainbow colors.Wame contradict na Bible, kwa ufundi wa hali ya juu sana, washenzi sana hawa watu.
Na imamu lazima apate kigugumizi kufuta, hatari sanaWako everywhere, kwenye pub na night club zile taa za usiku kuleta mandhari nzuri sasa hivi viwandani zinatoka rainbow colors.
Mtu aliyekamata uchumi wa dunia huwezi kushindana naye.
Mtaani kwangu kuna msikiti umepewa msaada wa kujengewa nursery school na madrasa, ile michoro iliyopo ni rainbow colors, naona waumini wanamshinikiza imam wao afute sijui itakuwaje.
Hivi Mungu aki amua ku angamiza watu ana wekewa vikwazo?Wanatumia upinde ili ikitokea mungu anataka kuwaangamiza, anakuta alama za agano alilolitoa mwenyewe, hivyo watakua wanakwepa kuangamizwa
Binadamu si chochote, hatuna uwezo wowote wa kuzuia Shari na hasira za mungu, bali wapo wanaomlazomisha apandishe hasira zake!, nami nawalaani, hasira za mungu ziwe juu yao, ukichunguza kwa umakini wazungu ndio mashetani halisi.Hivi Mungu aki amua ku angamiza watu ana wekewa vikwazo?
Na je, Njia ya kuwa angamiza ni mvua ya gharika tu?
Kwamba binadamu anaweza kumzuia Mungu asimfanye kitu licha ya uovu anao tenda??
¿Por qué gran problema mi amigo?es un gran problema camarada
Hehehehe ze kala iz zea tu stey [emoji2380] how beautiful [emoji7]UPINDE SIO ALAMA YA USHOGA AMA NEMBO YA USHOGA UPINDE NI AGANO LA MUNGU / IKIWAPENDEZA MABEBERU WABUNI ALAMA NYINGINE YA UPUUZI WAO.
Mwanzo 9:12
Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano nifanyalo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, kwa vizazi vyote hata milele.
Mwanzo 9:13
Mimi nauweka upinde wangu winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi.
Mwanzo 9:14
Hata itakuwa nikitanda mawingu juu ya nchi, upinde utaonekana winguni,
Mwanzo 9:15
nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili.
Mwanzo 9:16
Basi huo upinde utakuwa winguni; nami nitauangalia nipate kulikumbuka agano la milele lililoko kati ya Mungu na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili kilichoko katika nchi.
Mwanzo 9:17
Mungu akamwambia Nuhu, Hii ndiyo ishara ya agano nililoliweka kati yangu na wote wenye mwili walioko katika nchi.
Kwa hiyo ukiona paja la mwanaume mwenzio unadisa? [emoji15]Pia Huu ushenzi umekuja na hulka ya vijana wengi kupenda kuvaa VIJIKAPUTULA, vijikaputula na kuonyesha tupaja twao [emoji48][emoji48] kila pahala, I hate this too!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili povuu.Ww Dr.mariposa: mbona sikuelew kabsa
Ww upo salama kweli?[emoji86]
Af kwenye ishu ya mashoga eb serikal itoe go ahed kuwa kila mtu awe mlinzi wa mwenzie kam ilivo kwenye madawa ya kulevya af watoe namba special kama zile za police,pccb na fire unapo shitukia mchongo piga simu af kabla atuja piga simu ss tumfinye vzur. Mbona hiyo hbar itaisha soon.....pumbavu mashoga
Boraa wee umesemaaa,Kwani siku zote hujui slogan ya Tekashi?
Nywele zake hujagundua rangi?
BTW: pamoja na uwack wake kwenye mziki na kushindwa kutoa ngoma zenye kuigusa jamii ila amekuwa ni mtu wakujitolea sana kwa masikini.
Huyu ni msanii ambaye namuweka rank za juu kwenye swala zima la kujitolea, kina Jay Z wanamiliki hela nyingi lakini kujitolea kama anavyofanya huyu dogo sijawaona