Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwani siku zote hujui slogan ya Tekashi?
Nywele zake hujagundua rangi?
BTW: pamoja na uwack wake kwenye mziki na kushindwa kutoa ngoma zenye kuigusa jamii ila amekuwa ni mtu wakujitolea sana kwa masikini.
Huyu ni msanii ambaye namuweka rank za juu kwenye swala zima la kujitolea, kina Jay Z wanamiliki hela nyingi lakini kujitolea kama anavyofanya huyu dogo sijawaona
Nywele zake hujagundua rangi?
BTW: pamoja na uwack wake kwenye mziki na kushindwa kutoa ngoma zenye kuigusa jamii ila amekuwa ni mtu wakujitolea sana kwa masikini.
Huyu ni msanii ambaye namuweka rank za juu kwenye swala zima la kujitolea, kina Jay Z wanamiliki hela nyingi lakini kujitolea kama anavyofanya huyu dogo sijawaona