Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwani na wewe unaliwa au unatarajia na wewe spika zako kuanza kutolewa mdundo!!!
 
Ninachokifahamu ni kuwa watu huyaona mambo kutokana na vile wanavyoyatazama.

Kwako wewe umeliona suala hili ni la kawaida ndio maana umelikumbatia na ukalitafutia justification ukaliita "kilema".
Lakini kama ungeliona ni jambo baya na lisilofaa basi ungelikemea na kulitafutia ufumbuzi.

Ndio maana hata hao vilema tunawatafutia namna ya kuwaweka sawa ili waendelee na shughuli zao kama watu wengine, kwa sababu tunajua kuwa hali walizonazo sio sahihi.

Ndio maana mlemavu wa miguu atapatiwa baiskeli ili aweze kwenda, mlemavu wa masikio atapatiwa vifaa maalumu walau aweze kusikia, bubu atafundishwa lugha ya ishara ili aweze kuwasiliana na wengine.

Ila hawa walemavu wako unataka wasisaidiwe kutokana na hiyo hali, na badala yake wakumbatiwe na kusapotiwa wabaki katika ulemavu wao.

Na hivi kati ya shoga na basha nani anakuwa kilema hapo?
Safi sana! hii ndiyo nondo sasa!
 
Kwakuwa Dunia hii iliumbwa na Mungu, shetani akaivamia baada ya kutokubali kukaa kuzimu iliko enzi yake,

Mungu hatokubali mapenzi ya shetani kutimiza Duniani.

Hivyo, juhudi zozote za Kuhalalisha na kutambua UKAHABA, USHOGA ,ufiraji, usagaji juu ya nchi, lazima tuwe na hakika kuwa Mungu hatoruhusu.

Lazima majanga yake juu ya nchi tusipokemea haramu hii kuenea.

As long as Wana wa Mungu tunaishi juu ya uso wa Dunia, vitendo hivyo vitaendelea kuwa haramu.
 
Ni malezi na mazoea mabaya! Kwa mfano huyo aliyezaliwa na ndugu wa kike usoefu wake ni wanawake na anakuwa kama dada zake! Psychology ina tiba! Akiwahiwa anapona kabisa.
Mazoea mabaya ukikuta mtu mwenye malezi ya kike kike sana anaanza kuchanganyika na wanaume wenye malezi ya kiume na kuonyesha huo ukike wake watahamasika wamjaribu.
Hivi yule mzungu anayewachukua mabauza na kuwavunja mshipa wa kiume ili wawe mahanithi na aendelee kuwaingilia tu unasemaje hapa!?? Mseveni ameshaprove hakuna maelezo ya kisayansi ya ushoga!
Achana na story za kuambiwa. Hivi ingekuwa wewe ndio umefanywa hiyo na huyo mzungu, ungechukua hatua gani, just be honest
 
Wanasayansi wenyewe wanathinitisha kuwa hakuna kitu kama hicho

Kuwa hakuna hisia yeyote inayokufanya uingiliwe au umuingilie mwenzako huko nyuma- naanisha kuwa hakuna nguvu yeyote inayokupelekea au kukulazimisha kuingiliwa huko nyuma hakuna kitu kama hicho yaani ukiingiliwa kinyume na maumbile ni wewe tu umetaka na sio kitendo cha hisia kukulazimisha

Kuwa huko nyuma M/Mungu hajapaweka Kwa ajili hiyo so ukifanya hivyo ni wewe mwenyewe tu hakuna nguvu yeyote inayolazimisha na kisayansi imethibitishwa ni wewe na matakwa yako tu

Kuwa anaweza akazaliwa mtoto wa kiume raini raini na haipelekei uraini raini wake kuingiliwa kinyume na maumbile kitendo hicho ni kuamua yeye mwenyewe tu au akazaliwa mtoto wa kike na ugumu ugumu kama wa mwanaume lakini kuzaliwa uko na ukomavu hakukupelekei kusagana na mwengine wewe utakuwa tu mwanamke na vyote vya kike unavyo na unahisia Kama mwanamke na una uwezo tu wa kuzaa ilee kuamua kusagana ni uthubutu wako tu wewe mwenyewe na kisayansi imethibitishwa kuwa ushoga na usagaji ni wewe tu mwenyewe

Ndio maana wanatumia nguvu nyingi sana kuueneza ushoga na usagani sio vitu automatically
 
Achana na story za kuambiwa. Hivi ingekuwa wewe ndio umefanywa hiyo na huyo mzungu, ungechukua hatua gani, just be honest
Kuhusu ukweli kuhusu haya! sina wasi wasi kuhusu kutokea! fanya utafiti kama uko hapa bongo!
 
Sidhani, wafiraji wakubwa ni hao wachamungu.
Narudia kusema,

Kama ilivyo Mbinguni hakuna vitendo hivyo vichafu,

Uwe na HAKIKA, hao watumishi wanaotenda vitendo hivyo ni mbwa mwitu waliovaa ngozi ya Kondoo.

Hao Si watumishi wa Mungu.

Kama Kuna mtumishi popote anayetongoza wake wa waumini, au Shehe anayeingilia watoto kinyume, jua HAKIKA huyo ni Pepo anayefanya KAZI ndani ya mtumishi huyo. Ni agent wa kuzimu.

Mungu ni mtakatifu,

Mtumishi wa Mungu Kweli Kweli, kamwe, hawezi kuinajisi madhabahu.
 
Huwezi kuelewa wewe una akili ndogo. Kwahiyo na wenye makengeza nao tuwapige mawe?
Hapo ni makengeza ila wanayatumia macho yao kwa kuona hiyo sio kinyume cha maumbile, umesikia akili kuna tupu.
Hata mi nshasoma na jamaa wana tabia za kike kuanzia kuongea, kutembea, mikono anavyoiweka gesture zote za kike.
Lakini hata siku moja sijawahi kusikia wanageuzwa hata siku moja. Hawa mashoga ni kujiendekeza tena mengi kujishebedua kike unaona kabisa yanaforce kuigiza. Usiteetee ujinga
 
Hapo ni makengeza ila wanayatumia macho ya kwa kuna hiyo sio kinyume cha maumbile, umesikia akili kuna tupu.
Hata mi nshasoma na jamaa wana tabia za kike kuanzia kuongea, kutembea, mikono anavyoiweka gesture zote za kike.
Lakini hata siku moja sijawahi kusikia wanageuzwa hata siku moja. Hawa mashoga ni kujiendekeza tena mengi kujishebedua kike unaona kabisa yanaforce kuigiza. Usiteetee ujinga
Sawa mm ni mjinga kwahiyo hao uliosom nao wenye hizo tabia nao wamejitengeneza?
 
Hapo ni makengeza ila wanayatumia macho ya kwa kuna hiyo sio kinyume cha maumbile, umesikia akili kuna tupu.
Hata mi nshasoma na jamaa wana tabia za kike kuanzia kuongea, kutembea, mikono anavyoiweka gesture zote za kike.
Lakini hata siku moja sijawahi kusikia wanageuzwa hata siku moja. Hawa mashoga ni kujiendekeza tena mengi kujishebedua kike unaona kabisa yanaforce kuigiza. Usiteetee ujinga
Shoga na mchawi, ni kulwa na Doto.
 
USHOGA ni ugonjwa wa akili
Na ufiraji je?
Wale watoto wadogo wanaoingiliwa na wanafunzi walio wazidi umri, walimu na watu wao wa karibu tunao waamini nao wana ugonjwa wa akili? Unaitwaje huo ugonjwa?
 
Mapenzi ya Jinsia moja kama hakuna ubakaji na wote waneridhia sioni shida iko wapi.
 
Back
Top Bottom