Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwani na wewe unaliwa au unatarajia na wewe spika zako kuanza kutolewa mdundo!!!
 
Safi sana! hii ndiyo nondo sasa!
 
Kwakuwa Dunia hii iliumbwa na Mungu, shetani akaivamia baada ya kutokubali kukaa kuzimu iliko enzi yake,

Mungu hatokubali mapenzi ya shetani kutimiza Duniani.

Hivyo, juhudi zozote za Kuhalalisha na kutambua UKAHABA, USHOGA ,ufiraji, usagaji juu ya nchi, lazima tuwe na hakika kuwa Mungu hatoruhusu.

Lazima majanga yake juu ya nchi tusipokemea haramu hii kuenea.

As long as Wana wa Mungu tunaishi juu ya uso wa Dunia, vitendo hivyo vitaendelea kuwa haramu.
 
Achana na story za kuambiwa. Hivi ingekuwa wewe ndio umefanywa hiyo na huyo mzungu, ungechukua hatua gani, just be honest
 
Wanasayansi wenyewe wanathinitisha kuwa hakuna kitu kama hicho

Kuwa hakuna hisia yeyote inayokufanya uingiliwe au umuingilie mwenzako huko nyuma- naanisha kuwa hakuna nguvu yeyote inayokupelekea au kukulazimisha kuingiliwa huko nyuma hakuna kitu kama hicho yaani ukiingiliwa kinyume na maumbile ni wewe tu umetaka na sio kitendo cha hisia kukulazimisha

Kuwa huko nyuma M/Mungu hajapaweka Kwa ajili hiyo so ukifanya hivyo ni wewe mwenyewe tu hakuna nguvu yeyote inayolazimisha na kisayansi imethibitishwa ni wewe na matakwa yako tu

Kuwa anaweza akazaliwa mtoto wa kiume raini raini na haipelekei uraini raini wake kuingiliwa kinyume na maumbile kitendo hicho ni kuamua yeye mwenyewe tu au akazaliwa mtoto wa kike na ugumu ugumu kama wa mwanaume lakini kuzaliwa uko na ukomavu hakukupelekei kusagana na mwengine wewe utakuwa tu mwanamke na vyote vya kike unavyo na unahisia Kama mwanamke na una uwezo tu wa kuzaa ilee kuamua kusagana ni uthubutu wako tu wewe mwenyewe na kisayansi imethibitishwa kuwa ushoga na usagaji ni wewe tu mwenyewe

Ndio maana wanatumia nguvu nyingi sana kuueneza ushoga na usagani sio vitu automatically
 
Achana na story za kuambiwa. Hivi ingekuwa wewe ndio umefanywa hiyo na huyo mzungu, ungechukua hatua gani, just be honest
Kuhusu ukweli kuhusu haya! sina wasi wasi kuhusu kutokea! fanya utafiti kama uko hapa bongo!
 
Sidhani, wafiraji wakubwa ni hao wachamungu.
Narudia kusema,

Kama ilivyo Mbinguni hakuna vitendo hivyo vichafu,

Uwe na HAKIKA, hao watumishi wanaotenda vitendo hivyo ni mbwa mwitu waliovaa ngozi ya Kondoo.

Hao Si watumishi wa Mungu.

Kama Kuna mtumishi popote anayetongoza wake wa waumini, au Shehe anayeingilia watoto kinyume, jua HAKIKA huyo ni Pepo anayefanya KAZI ndani ya mtumishi huyo. Ni agent wa kuzimu.

Mungu ni mtakatifu,

Mtumishi wa Mungu Kweli Kweli, kamwe, hawezi kuinajisi madhabahu.
 
Huwezi kuelewa wewe una akili ndogo. Kwahiyo na wenye makengeza nao tuwapige mawe?
Hapo ni makengeza ila wanayatumia macho yao kwa kuona hiyo sio kinyume cha maumbile, umesikia akili kuna tupu.
Hata mi nshasoma na jamaa wana tabia za kike kuanzia kuongea, kutembea, mikono anavyoiweka gesture zote za kike.
Lakini hata siku moja sijawahi kusikia wanageuzwa hata siku moja. Hawa mashoga ni kujiendekeza tena mengi kujishebedua kike unaona kabisa yanaforce kuigiza. Usiteetee ujinga
 
Sawa mm ni mjinga kwahiyo hao uliosom nao wenye hizo tabia nao wamejitengeneza?
 
Shoga na mchawi, ni kulwa na Doto.
 
USHOGA ni ugonjwa wa akili
Na ufiraji je?
Wale watoto wadogo wanaoingiliwa na wanafunzi walio wazidi umri, walimu na watu wao wa karibu tunao waamini nao wana ugonjwa wa akili? Unaitwaje huo ugonjwa?
 
Mapenzi ya Jinsia moja kama hakuna ubakaji na wote waneridhia sioni shida iko wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…