Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Heri ya sikukuu ya Idd El Fitr wandugu[emoji120][emoji120][emoji7][emoji7]

Baada ya kufuturu chakula changu siku yangu ya leo tulioanza kufunga SIKU 6,nikiwa hapa kijiwe changu cha kahawa hapa kwa Mtogole nimewiwa kuupandisha huu uzi hapa.

Si kila Mmarekani anaunga mkono UDHEHA-USHOGA-NDOA ZA JINSIA MOJA.

Si kila Jimbo nchini marekani linaunga mkono NDOA ZA JINSIA MOJA.

MISSISSIPPI

Rejea yangu ianzie hapa.....

NI KWANINI wengi wa wakazi wa JIMBO LA MISSISSIPPI hawaungi mkono ZIITWAZO HAKI ZA BINAADAMU ZA MUKTADHA WA UDHEHA-USHOGA-NDOA ZA JINSIA MOJA?!!!!

Jibu utalipata mwenyewe mwishoni mwa uzi huu......

HISTORIA YA MISSISSIPPI

Mnamo mwaka 1930 lilikuwa ni Jimbo ambalo wakazi wake (37.8%) kati ya wakazi wote walikuwa ni WAMAREKANI WEUSI(African Americans).Wengi wa hao weusi ni kizazi cha waafrika waliochukuliwa utumwani kutoka barani hapa.

Kufikia mwanzo wa karne ya 20.Wamarekani weusi(African Americans) wapatao 400,000 walihamia majimbo mengine ya kaskazini ,magharibi na kati- Magharibi,kutafuta maisha bora zaidi(GREEN PASTURE) kipindi hicho cha "GREAT MIGRATION".

Isisahaulike kuwa Mississippi ndilo jimbo lenye kusuasua na kushika mkia KIELIMU ,KIUCHUMI, KIMAENDELEO na KIKIPATO kati ya majimbo yote 50 (Jimbo la 51-wilaya ya Columbia).

[emoji117] Hii leo limepelekea kupunguza idadi ya wamarekani weusi kutoka 37.8% kuwa 36.4%.
Weupe(White Americans-Non Hispanic) wakiongoza kwa idadi 55.4%),Weupe (Hispanic) 3.6% ,Waasia "Asians" 1.5%,Wahindi wekundu"native americans 1.6%) .

Mississippi linabaki kuwa JIMBO ambalo wakazi wake wengi WANAPINGA UDHEHA-USHOGA-NDOA ZA JINSIA MOJA(Public opinion of same sex marriage).

DINI NA WANADINI

Mississippi inaongoza kwa wakazi wengi kuweka mbele imani za kidini na kuuona mchango mkubwa wa imani za kidini katika maisha ya mwanadamu.
85% ya wakazi wote hutanguliza dini.
Kijumla taifa zima la marekani 65% ndio wanaoona dini ina umuhimu kwa wanaadamu.

TAFITI YA KARIBUNI YA CHUO KIKUU CHA QUINNIPIAC.

68% ya wamarekani wote WANAUNGA MKONO UDHEHA-USHOGA-NDOA ZA JINSIA MOJA na 22% wakizipinga.Hili likiwa ni tofauti na tafiti za mwishoni mwa miaka ya 80 ambako wengi wa wamarekani walikuwa WANAPINGA MAHUSIANO hayo.

[emoji117]Tanbihi

Ndani ya miaka 30 wamarekani wamebadilika sana(hapa tuzikumbuke nasaha za mpendwa rais wetu mama SSH juu umuhimu mkubwa wa kuyalinda maadili ya vizazi vyetu).

Leo hii 76% ya vijana wa marekani (miaka 18-34) ndio wanaaongoza kutaka haki za MAHUSIANO ya JINSIA MOJA na wachache 7% ya vijana ndio wanaozipinga.

MISSISSIPPI ni jimbo linalotegemea uchumi kupitia KILIMO(pamba,viazi vitamu) na MAZAO YA MISITU.

TAFAKURI JADIDI

Je sisi waafrika(watanzania) tunaoendelea(chumi dhaifu kama ya wanamississipi wanaopinga ushoga) "tuanze kuunga mkono UDHEHA-USHOGA-NDOA ZA JINSIA MOJA kinyume kabisa na TAMADUNI ZETU NA IMANI ZETU ZA KIDINI ambazo tunaziweka mbele na kuzithamini kama wanavyozithamini wakazi wa huko Mississippi Marekani ?!!!!


Karibuni "Gahwa"na Al Kasus hapa maskani pangu kwa Mtogole Tandale[emoji120][emoji1666]


Alamsik binnour [emoji109][emoji109]


Mkunazi Njiwa,
Muuza Kahawa
Tandale.

#SiempreJMT[emoji120]
#SiempreTanzania
#SiempreSSH
#MamaaHuyoooKaja[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Huu mwandiko ni wa ID ninayoifahamu kabisa ambayo michango yake ilipotea kitambo.
 
Huu mwandiko ni wa ID ninayoifahamu kabisa ambayo michango yake ilipotea kitambo.
Mkuu mimi ni mpya kabisa humu ndani....

Ndio kwanzaaa nimenunua smartphone ya kwanza maishani baada ya punde hivi kijiwe cha kahawa kunichanganyia hapa Tandale [emoji23]
 
Sio kweli umepotosha, kwa taarifa Yako tu blacks marekani hupigia kura democrats ambao ndio hupigania masuala kama kutoa mimba, ndoa za jinsia Moja, haki sawa kwa wanawake na wanaume n.k.

So kama hao Mississippi wangekua wanapinga ushoga basi sitegemei wangekua wanaipigia kura democrats Kila Leo.
 
[emoji1787][emoji1787]Mkuu unafanya "generalization"?!!

Nawe unataka kuniaminisha kuwa hakuna "blacks" wanaounga mkono na kuipigia kura Republican ?!!!

Hapo juu nimekuwekea matokeo ya TAFITI...nilitegemea nawe uniwekee matokeo ya TAFITI....

Labda ungeisoma tena "between lines"....

#SiempreJMT[emoji120]
 
UTAFITI WA PEW CENTER Hawa ni credible zaidi katika tafiti Marekani.
Trends in party affiliation among black voters have been largely stable over recent years. Overall, 87% of black voters identify with the Democratic Party or lean Democratic, compared with just 7% who identify as Republican or lean Republican.
 
Kwamtogole[emoji848]
 
Hili tatizo ni pana sana ni vile nyumba nyingi zina siri nyingi... Ishini katika Yesu.. acheni mambo ya mavi..🤣
Your browser is not able to display this video.
 
بسم الله الرحمن الرحيم




⛔️🏳‍🌈LGBTQ NI HARAMU🏳‍🌈⛔️

Kirefu cha herufi hizo ni kama ifuatavyo:

L - LESBIAN: MSAGAJI.

G - GAY: SHOGA.

B - BISEXUAL: MTU MWENYE KUVUTIWA NA WATU WA JINSIA ZOTE MBILI.

T - TRANSGENDER: MTU ALIYEBADILISHA JINSIA YAKE.

Q - QUEER/QUESTIONING: KIJANA ANAYECHIPUKIA KATIKA USHOGA AU VITENDO VYA USAGAJI NA MFANO WAKE.

Jumuiya hii ya watu hawa ilianza kutumia kifupisho hicho katika miaka ya tisini (1990s) mpaka hivi leo wanaendelea na harakati zao hizo ovu kabisa Allaah atusalimishe nao sisi na vizazi vyetu, Aamiin.


Na ili kuwatambua bendera yao ni hiyo iliyotengenezwa kwa rangi za upinde wa mvua (rainbow/crazy colours - 🏳‍🌈), hivyo kila mmoja wetu achukue tahadhari kutokana na kuvaa mavazi au kutumia bidhaa kama makava ya simu au viatu na kadhaalika ambavyo vina alama hiyo ya upinde wa mvua kwani hiyo ni ishara wanayotumia watu hawa waovu Allaah awongoze au awaangamize.


Baada ya utangulizi huo mfupi tuliahidi katika wakati wa mchana kuwa tutaleta silsila/mtiririko wa hadithi zenye kubainisha hukmu na kukemea jambo la liwatwi (ushoga) na hapa chini tutaanza na hadithi ya kwanza;-

✍️✍️✍️✍️✍️

(١)عَنْ عِكْرِمَةَ عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسلم: «من وَجَدْتُمُوهُ يَعْمَلُ عَمَلَ قَوْمِ لُوطٍ فَاقْتُلُوا الْفَاعِلَ وَالْمَفْعُول بِهِ» . رَوَاهُ التِّرْمِذِيّ وَابْن مَاجَه وحسنه الألباني.

(1)Kutoka kwa 'Ikrimah kutoka kwa ibn 'Abbaas Allaah awaridhie amesema: Amesema mtume swala na salaam za Allaah ziwe juu yake: "Yeyote yule ambaye mtamkuta/mtampata akifanya tendo la watu Luutwi (liwati) basi muuweni mfanyaji na mwenye kufanyiwa tendo hilo."

📚Ameipokea imaam Tirmidhiy na ibn Maajah na ameihasanisha imaam Al-albaaniy.


🖊MAS-ALA YALIYOPO NDANI YA HADITHI: Ni kwamba mwenye kumuingilia kinyume na maumbile mwenzake na mwenye kuingiliwa wakikutwa basi hukumu yao ni kuuwawa.

Na hilo litafanywa na dola husika baada ya kupatikana ushahidi na vidhibiti vyote kuchambuliwa vema basi dola itachukua jukumu la kuwaua wawili hao na si kila mmoja ajichukulie sheria mkononi kwa sababu utapatikana uharibifu zaidi katika jamii kuliko manufaa ambayo yanalengwa kupatikana.

Na Allaah ndiye mjuzi zaidi.


✍🏻Imekusanywa na kufanyiwa tarjama na ndugu yenu: Abuu Yaasir/Abuu Swaabir Miraji bin Yuusuf Assukumiy حفظه الله ورعاه.
 
Hapo sasa.
 
Tuamini Quran Karim au Hadith Hadith[emoji56][emoji134]
[emoji116][emoji116]
وَٱلَّٰتِى يَأْتِينَ ٱلْفَٰحِشَةَ مِن نِّسَآئِكُمْ فَٱسْتَشْهِدُواْ عَلَيْهِنَّ أَرْبَعَةًۭ مِّنكُمْ ۖ فَإِن شَهِدُواْ فَأَمْسِكُوهُنَّ فِى ٱلْبُيُوتِ حَتَّىٰ يَتَوَفَّىٰهُنَّ ٱلْمَوْتُ أَوْ يَجْعَلَ ٱللَّهُ لَهُنَّ سَبِيلًۭا ﴿١٥﴾
Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka wafishwe na mauti au Mwenyezi Mungu awatolee njia nyengine.

Kwa Wanaume Hukumu yao hii hapa!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

[ AN-NISAAI - 16 ]
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe ni weweeee??? Karibu tenaa
 
Marekani Imekuwa Bangusilo!
Sijui mbuzi wanaofirana Vingunguti nao kawafundisha Marekani??[emoji101][emoji101]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…