Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Marekani Imekuwa Bangusilo!
Sijui mbuzi wanaofirana Vingunguti nao kawafundisha Marekani??[emoji101][emoji101]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Duuh unafananisha binadamu na mbuzi?!!![emoji1787][emoji1787]

Haya... hao mbuzi wanaofanyana hayo huwa tunawachinja na kuwafanya KITOWEO.....

Je tuanze kuwachinja mashoga na kuwafanya VITOWEO katika vyakula vyetu!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ttizo mkija huku Dar mnajisahu mnataka kupewa raha mnaishia kuoolewa
 
Kwani nao mbuzi baadhi wanaofirana na wengine waadilifu!
Huoni Mlingano??

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Wadau nawasalimu.Kutokana na Tatizo la USHOGA ULAWITI MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE na KUSAGANA kushamiri kwa Kiasi kikubwa ni Wakati sahihi sasa kwa SERIKALI TAASISI mbalimbali kulivalia njuga na Kuanza KUTOA ELIMU kwa UMMA kupitia Vyombo mbalimbali vya HABARI pamoja na MAHUBIRI kwenye NYUMBA za IBADA kama ilivyokuwa wakati wa JANGA la COVID-19 na Magonjwa Mengine.
Vile vile ELIMU hiiitolewe MASHULENI kwani Watoto wetu Wanahadaiwa kirahisi sana .TATIZO hili sio la KULIPUUZA kwani LITAKUJA LIGHARIMU TAIFA kadiri linavyoongezeka na litasambaa kwa Watu wengi hasa VIJANA na WATOTO wetu.PIA Ombi kwa WAZAZI na WALEZI wote TUWE KARIBU na WATOTO wetu ili Tujue MIENENDO yao na TUWE tunawapa ELIMU ya MADHARA ya HILI JANGA.Ni imani yangu SERIKALI ITABANDIKA MABANGO na VEPERUSHI katika MAENEO Mbalimbali ya NCHI.
 
Kwani ushoga una madhara gani? Kwa shoga mwenyewe.

Natumahi wewe ni mwanaume, hisia weka pembeni jibu hilo swali
 
KUna watu humu ukisoma comments zao unabaki kujiuliza na huyu ni wa kundi hilo ama vipi

INSTAGRAM @dollrubii_decors
 
Unaweza nifaniyia conection? Kweli mm naishia kuona kwa picha tu kama wanajiona wapo sawa si wajitokezee ili tujue tunapinga nini inawezekana sio mbaaya kivile wajitokeze niwaone hata 1 inatosha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Naskia na huko Zanzibar imekuwa baada ya nyumba Kuna shoga1, baada ya nyumba shoga ni kweli????
Hizo hadithi za zamani, hivi sasa ni tabu sana kuonana msenge Zanzibar, sisemi kama hawapo, lakini sio kama Kinondoni Daresalam

Nasikia Arusha nako mashoga nje nje
 
Hizo hadithi za zamani, hivi sasa ni tabu sana kuonana msenge Zanzibar, sisemi kama hawapo, lakini sio kama Kinondoni Daresalam

Nasikia Arusha nako mashoga nje nje
Arusha sijawahi kuona wala kusikia, watu wa Arusha hawana swaga za kurembea sana...ila nilisikia kwa hapa Dar kuwa kuna idadi kubwa sana ya wachagga hasa vijana wasomi wa chuo na watu wana kazi zao wamo katika hii sekta.

Je, mmesikia hilo?
 
Mapenzi ni matamu kama mume na mke wakishiriki .

Ila mke na mke wakishiriki ni mbaya sana au Mume na mume ,

Nilianzishwagwa shule nikiwa 13 form 1 so wale wakubwa walikuwa wnajitengaga nikaja kuumwa so walionipenda walinishauri nikalale kwao hadi nipone , aisee kumbe wao waNasagana na ndio nikaanza kujua Hilo jina eti Kuna baba na mama eti mie mtoto nikawashangaa , mtu kabisa anavitendea kazi vya kufanya maovu na msichana mwenzake na yupo serious.

Namwingine anatoa mlio wakufurahia kabisa . Hawana haya kesho yake nikarudi chumbani kwangu nisije geukwa na huyu anayejiita baba , Cha aibu yule dada anajiita mama alikuja pata mwanaume yule anayejiita mume alilia kabisa mbwa yule eti umeniacha wakapigana kabisa ngumu wakatoana damu ila yule dada akapata mwingine wakaendelea kusagana nikahamishwa shule .


Kisa ilikuwa sio nzuri kimaadili basi bahana maisha yakawa hayo.
Mengineyo ni kuwa kutoa hii roho ya shetani sio rahisi ila jitahidini.

Kwamaana wengine ni maisha wamechagua ili waonekane ni matajiri wanachukuliwa maisha Yao na ushirikina ili wafaidi maisha. Mtu anakubali kuwa shoga analiwa au anakula , mwingine anasagana yeye ndio mume au mke anasagwa ili ramani zimnyokee plz elewa jambo , Kwa Sasa utafurahia ila Kwa mbele hii ni mbaya itakuja kukutokea puwani, ishi Mungu anavyotaka hata asilimia 20 kuwa na mahusiano ya jinsia tofauti mpo huku wengi badilikeni muda upo.


Mungu hupokea wote hajali upoje anajali umerudi kwake .

MCHANA MWEMA KWAKO UTAKAYE RUDI KWA BWANA
huyu mwenzenu inavyosemekana kauwawa geita Kisa hakijulikani.
 
Samahani, nilikuwa naomba ufungue PM mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…