Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Thats critical
 
Kwa maongezi haya. Nawasiwasi na wewe
 
Pamojana kwamba umejianika lakini tambuakaba ushoga ni laana
 
Moderator ninatoa OMBI kuwa mada kama hizi zinapoletwa huku FUTENI hata kabla hazijasomwa kwasababu kujadili hivi vitu ni njia ya kupromote hata kama mada imeletwa kwa dizain ya kupondea

Kwanini mnaruhusu mada za USHOGA na ushenzi mwingine kuwepo jamvini?
 
Ulifanyia wapi uafoti?
Sample size?
Lengo la study ni nn?
Type of ur study
Ume generelize mno japo hayo mambo yapo kweli lakini 100 kwa 80 is still questionable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…