Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Duuh..kwahiyo unatinduliwa tope..aisee.

#MaendeleoHayanaChama
Hapo mm yaan nachoka ila bora huyu aliokili kuliko wale wanaoleta unafki wakuhadaa watu ama kweli kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo hapa ndipo nimeanza kuwaelewa wahenga.
 
Hizi nyuzi huwa mnazipenda sana.

~Mambo yao waachie wenyewe usijiumize kichwa~
 
Kama una rafiki basi na wewe kwishine. Lakin pia hata kama una ndoa na una mgonga mkeo nyuma. Wewe ni sehemu ya mashoga kwenye ile dhambi. Tafakar chukua hatua.
 
Izi mada now zimekuwa nyingi NGO'S ndio zimewapa hii kazi ya kuongelea aya mambo ili sisi tuwaone watu wa kawaida kama UN wenyewe awatambui mapenzi ya jinsia moja kama ni haki ya binadamu sisi ni nani mnataka tuwatambue.. kwanini msiwaambie donors wenu wakawapeleka uko ulaya mkaishi nao ili mtuachie nchi yetu.. ushoga ni ugonjwa wa akili na upunguani ningekuwa kiongozi kwenye nchi hii mngekimbia hii nchi ..
 
Ushoga ulikuwepo tangu zamani ila kwa hapa kwetu naona kuna watu mmepewa kazi ya marketing.
 
Maxence Melo unaruhusuje hizi nyuzi zenye kuashiria kuhamasisha ushoga kila siku humu JF. Mbona jukwaa letu pendwa linapoteza sifa yake? Nasikitika sana kwa kweli[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom