Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

MLETA MADA NAYE KASHAENDA KUSAGWA..... YAAANI NI SHEEEEEDAH HAYA MAMBO. YUPO HOI HAPO AMEJITAWANYA TU VIUNGO KWA KUCHOKA.
30k kwa wiki mzee baba?🤔

Binafsi lesbians don't bother me kiasi hicho, tatizo ni me anayeamua kujigeuza na kuinamishwa.🚮


Tunaasubiria iyo story

Ma lesbian nawaonaga kama watu wawili wenye mapengo wanaoumana

SAa 3 sio mbali

Sawa twasubili story.

Kwanini hizi mambo mnazipa airtime sana!?

Yaani jf imekuwa uwanja wa haya mambo sasa inaanza kuchosha..

Usiponitag futa uzi huu please


Mimi pia maana hao solutions zao ni simple na wanaacha kimbembe hao wengine

Umbea tu.

Watu wameingia mtegoni
 
Hivi sasa yapata saa tano kasoro nane usiku.....
Rafiki yangu ambae ni Mwalimu Mkuu(madam) Moshi Manispaa ni msagaji,kaniambia list ya rafiki zake aliowasaga ,

Naleta kisa kamili saa 3 kamili usiku....
 
Binafsi lesbians don't bother me kiasi hicho, tatizo ni me anayeamua kujigeuza na kuinamishwa.🚮
Wabongo mna unafki sana ndio maana mnaingizwa kijinga kwenye matendo ya ushoga..., kwahio mnajifanya kujitoa akili kwamba wasagaji hawana madhara kuliko mashoga..?
Ni sawa muislam aseme kunywa mchuzi wa ngurue sio haram ila haram ni kula nyama ya ngurue...
Nasemaje wasagaji wafiraji na wafirwaji wote wanafanya ushetani hawafai kuishi stahiki yao ni kuuwawa...
 
Sasa si ungesubiri hiyo saa 3..kimbele mbela cha nini?
 
Back
Top Bottom