Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Help kubwa ni mashine tu.

Mimi nimewahi kuokoa tomboy na wasagaji 2 kwa kuwabadilisha na kua wanawake halisi.

Walikua wana behave kiume, baada ya heavy mashine walianza kuvaa kike na kuanza kuona aibu.

Help ya kwanza ni kumpiga miti, aanze kuzoea mashine. Mwanamke akiwa hana mwanaume kwa muda mrefu anaanza ku develop tabia za kiume, anaanza kujiamini na kujiona ni level sawa na wanaume. Njia pekee ni mashine inamfanya ajione anatakiwa kua submissive.
Sema sie waafrika kwa kukariri tuko vizuri
 
Wala usije dhani kwa kuwa ni Dokta wa MUHAS basi hajui, hapana, au huenda jibu lake halina uhusiano na Masuala ya Afya, ni issue ya Kijamii,

AU

Mwengine asikujibu kwa sababu hakuna mantiki ya kujibu. Suala la nini kifanyike ni kubwa kuliko namna naweza kukujibu, in short sielewi angle ya swali lako. So sitatoa jibu

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Yaan hili suala la hormonal imbalances, kila mtu anashindwa kutolea ufafanuzi, sio upande wa masuala ya Afya wala uhusiano wa kijamii.

Kiufupii ni wanakimbia kulizungumzia, mie hapo nime uliza swali rahisi kabisa na lina eleweka, eti unasema huwezi kujibu kwa kuwa hujui ni angle gan, bas nakupa ruksa jibu kwa angle yoyote ambayo wee unaona unaweza kujibu.

Nasubiri Jibu.
 
Nimeangalia sheria zote za nchi sijaona mahali popote panaposema kwamba usagaji ni kosa la jinai.

Hata ile sheria namba 16 kifungu namba 154 "inayosemekana" kuwa ni "sheria dhidi ya ushoga" haisemi chochote kuhusu usagaji.

Kwa kanuni za jinai, kitu chochote ambacho halkijazuiwa na sheria ni halali. Hivyo basi, ndio kusema kwamba usagaji ni ruksa nchini?

Kama tunapigana na mapenzi ya jinsia moja, kwanini tunawashambulia mashoga peke yao?

Je, si kila mtu ana haki ya usawa mbele ya sheria? kwa nini wengine wahukumiwe na wengine waachwe kwa "dhambi" ile ile? Je, huku si kukiuka ibara ya 12 (1) ya katiba ya nchi?

Je, kutunga sheria ya kuwashambulia watu fulani na kuwaacha wengine kwa kosa lile lile, si kinyume na ibara ya 13 (2) ya katiba ya nchi?

Kama usagaji ni ruksa, kwanini mashoga washambuliwe?

Kama sheria namba 16 inazuia makosa ya ufiraji, kwanini wanawake wanaofirwa hawakamatwi? kwanini mabasha wanaofira hawakamatwi?

Je, hii ni sheria mahususi ya kuwashambuliwa watu fulani pekee? Kwanini?

Kuna maelezo yoyote kwanini usagaji ni ruksa nchini?
Wanasheria na mawakili mkuje mtoe fafanuzi za kina huku. Watu wanataka wapate uelewa na ufahamu wa mambo.
 
Kutumia nguvu nyingi za kinafiki kupinga hii kitu haya ndo madhara yake.
Watachukuliwa na mataifa ya nje huku wakiendelea kupeperusha bendera ya Tanzania.
Tena ni unafiki haswaaa Dear.
 
Wazazi wanatumia pesa ndefu kusomesha vijana wao, wanawagaharamikia hadi kuwasomesha vyuo vya nje ili wawe nuru na mwangaza na mifano ya kuigwa katika jamii lkn matokeo yake ndo haya.
Kuna jirani yangu mzee mstaafu alikuwa maarufu sana enzi za mzee wa msoga pale magogoni presha haimuishi kwa sasa, kasomesha ulaya watoto wake wawili wa pekee(ke & me), matokeo yake watoto wamekuja likizo na wachumba wao yaani wa kike kaja na girlfriend wake, wa kiume kaja na boyfriend wake yaani jamaa anapelekewa moto. Imeenda huku na huku mama presha kakata moto.
Mzee kwa sasa hawataki watoto wale ila ndo hivyo tena kaasili mtoto mwingine, hana matumaini na uzao wake..., mzee kabaki kujilaumu tu kwamba bora angewazingatia kwenye malezi, alikuwa bize kuwatafutia tu akasahau kuwa walihitaji malezi yake.
Wazazi tuzingatieni sana malezi kwa watoto wetu, haya malezi ya kulelewa na walimu siyo malezi.
Aaaaah ila basi wacha nikae kimyaa tyuuh.
 
Siwezi kupromote huo upumbavu Mkuu,
Hiyo sehemu itakuwa ununio nilikuwa nasearch sehemu huko nikaona hiyo sehemu ndio nikaamua kuiserch yenyewe.
Mimi ni mconservative hayo maupumbavu siyafagilii kabisa
Umekamatwaa n uongo wakooo,.[emoji23][emoji23][emoji23]
Unafiki unawaumbuaa, lol
 
Leo nimeona nije niandike gazeti langu huku 😂 niongee ninachokiamini....

Nimejaribu sana kutafuta visababishi vya ushoga, kusema kweli sijavipata, maelezo hayapo. Nimefuatilia nchi zilizoendelea wanatumia basis gani kuteteea ushoga, wanadai kwamba 'watu wazima wana haki ya kufanya chochote kwenye usiri, ikiwa wamekubaliana'.... Lakini kuna kitu nimegundua.....

Mashoga wanajua kabisa kwamba wanachokifanya kinaweza kupelekea kutengwa na hata kuuawa, lakini wanakifanya. Na pia ushoga umekuepo kwa miaka mingi sana kabla hata ya sayansi na teknolojia.... Mimi naona kuna kitu bado hatukifahamu, na tukikifahamu tutapata uvumbuzi kwamba ushoga ni sahihi, au sio.... kwa sasa huu mjadala hauna mwisho....
 
Back
Top Bottom