Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Ni tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema sie waafrika kwa kukariri tuko vizuriHelp kubwa ni mashine tu.
Mimi nimewahi kuokoa tomboy na wasagaji 2 kwa kuwabadilisha na kua wanawake halisi.
Walikua wana behave kiume, baada ya heavy mashine walianza kuvaa kike na kuanza kuona aibu.
Help ya kwanza ni kumpiga miti, aanze kuzoea mashine. Mwanamke akiwa hana mwanaume kwa muda mrefu anaanza ku develop tabia za kiume, anaanza kujiamini na kujiona ni level sawa na wanaume. Njia pekee ni mashine inamfanya ajione anatakiwa kua submissive.
Kwahyo huyo nae ni muhusika wa hivyo??Si Kama sheria Ngowi
Yaan hili suala la hormonal imbalances, kila mtu anashindwa kutolea ufafanuzi, sio upande wa masuala ya Afya wala uhusiano wa kijamii.Wala usije dhani kwa kuwa ni Dokta wa MUHAS basi hajui, hapana, au huenda jibu lake halina uhusiano na Masuala ya Afya, ni issue ya Kijamii,
AU
Mwengine asikujibu kwa sababu hakuna mantiki ya kujibu. Suala la nini kifanyike ni kubwa kuliko namna naweza kukujibu, in short sielewi angle ya swali lako. So sitatoa jibu
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Wanasheria na mawakili mkuje mtoe fafanuzi za kina huku. Watu wanataka wapate uelewa na ufahamu wa mambo.Nimeangalia sheria zote za nchi sijaona mahali popote panaposema kwamba usagaji ni kosa la jinai.
Hata ile sheria namba 16 kifungu namba 154 "inayosemekana" kuwa ni "sheria dhidi ya ushoga" haisemi chochote kuhusu usagaji.
Kwa kanuni za jinai, kitu chochote ambacho halkijazuiwa na sheria ni halali. Hivyo basi, ndio kusema kwamba usagaji ni ruksa nchini?
Kama tunapigana na mapenzi ya jinsia moja, kwanini tunawashambulia mashoga peke yao?
Je, si kila mtu ana haki ya usawa mbele ya sheria? kwa nini wengine wahukumiwe na wengine waachwe kwa "dhambi" ile ile? Je, huku si kukiuka ibara ya 12 (1) ya katiba ya nchi?
Je, kutunga sheria ya kuwashambulia watu fulani na kuwaacha wengine kwa kosa lile lile, si kinyume na ibara ya 13 (2) ya katiba ya nchi?
Kama usagaji ni ruksa, kwanini mashoga washambuliwe?
Kama sheria namba 16 inazuia makosa ya ufiraji, kwanini wanawake wanaofirwa hawakamatwi? kwanini mabasha wanaofira hawakamatwi?
Je, hii ni sheria mahususi ya kuwashambuliwa watu fulani pekee? Kwanini?
Kuna maelezo yoyote kwanini usagaji ni ruksa nchini?
Tena ni unafiki haswaaa Dear.Kutumia nguvu nyingi za kinafiki kupinga hii kitu haya ndo madhara yake.
Watachukuliwa na mataifa ya nje huku wakiendelea kupeperusha bendera ya Tanzania.
Ongeza sautiii Mr, wasikie hadi viziwii.Kila mtu alinde mk..... ndu wake bhana mengine tunachoshana tu
Tuwalinde watoto wetu baasi
Aaaaah ila basi wacha nikae kimyaa tyuuh.Wazazi wanatumia pesa ndefu kusomesha vijana wao, wanawagaharamikia hadi kuwasomesha vyuo vya nje ili wawe nuru na mwangaza na mifano ya kuigwa katika jamii lkn matokeo yake ndo haya.
Kuna jirani yangu mzee mstaafu alikuwa maarufu sana enzi za mzee wa msoga pale magogoni presha haimuishi kwa sasa, kasomesha ulaya watoto wake wawili wa pekee(ke & me), matokeo yake watoto wamekuja likizo na wachumba wao yaani wa kike kaja na girlfriend wake, wa kiume kaja na boyfriend wake yaani jamaa anapelekewa moto. Imeenda huku na huku mama presha kakata moto.
Mzee kwa sasa hawataki watoto wale ila ndo hivyo tena kaasili mtoto mwingine, hana matumaini na uzao wake..., mzee kabaki kujilaumu tu kwamba bora angewazingatia kwenye malezi, alikuwa bize kuwatafutia tu akasahau kuwa walihitaji malezi yake.
Wazazi tuzingatieni sana malezi kwa watoto wetu, haya malezi ya kulelewa na walimu siyo malezi.
Kabisaaaa Mr, kila mtu acheze na side yake.Dunia ni kubwa, we play part yako hao achana nao
Umekamatwaa n uongo wakooo,.[emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi kupromote huo upumbavu Mkuu,
Hiyo sehemu itakuwa ununio nilikuwa nasearch sehemu huko nikaona hiyo sehemu ndio nikaamua kuiserch yenyewe.
Mimi ni mconservative hayo maupumbavu siyafagilii kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umempatia haswaaaa.Acha ngonjera wewe, Google search hapo inasomeka “Ununio” ama “Mashoga”?
Yaani pointi yangu ni kuwa unaweza ukawa mwanamitindo na bado ukawa na muonekano wa kiume, mfano ndio Sheria NgowiKwahyo huyo nae ni muhusika wa hivyo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umempatia haswaaaa.
Kwan unadhan mashoga wote wana mionekano ya kike? Mbna % kubwa wako kiume zaidi.Yaani pointi yangu ni kuwa unaweza ukawa mwanamitindo na bado ukawa na muonekano wa kiume, mfano ndio Sheria Ngowi
Yaan umempatiaa kabisaa, hadi kakimbia.[emoji1787] anafikiri sisi ni Fools
I mean huyo jamaa sijui Noel ambaye mahakama imetoa amri apimwe, angekuwa anajiweka kiume wala asingesumbuliwa, hata kama angekuwa shogaKwan unadhan mashoga wote wana mionekano ya kike? Mbna % kubwa wako kiume zaidi.
Kuhusu wana mitindo kila mtu inategemea ana design mtindo wa nguo zipi au za jinsia ipi.
Kwani mtu kuwa kike ndo kuwa Shoga?? Je waliozaliwa na hormonal imbalances afu sio mashoga nao je??I mean huyo jamaa sijui Noel ambaye mahakama imetoa amri apimwe, angekuwa anajiweka kiume wala asingesumbuliwa, hata kama angekuwa shoga