Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwa kifupi wewe ni mpumbavu
Wewe ni Nini km Mimi ni Mpumbavu ? Vitabu binasema MUNGU ni Mwanaume hakuna kitabu kinasema kwamba MUNGU alikua Mwanamke, hakuna MUNGU anaefirwa, wanaohimiza ushoga ni kumkasirisha MUNGU elewa wewe kiazi
 
Ngoja niulize AI hii ni sehemu gani Nairobi, bila shaka ni hotel hii
 
Yeaman ushoga ni kumkasirisha MUNGU ashushe mvua ya Moto wa volcano kwa mashoga wote pale somewhere ndio maana wakakimbilia Upinde wa Mvua maana alisema akiona Upinde wa Mvua hatotoa adhabu kwa hio hua wanamkumbusha kua usishushe baba ulisema Upinde huu hutashusha garika baba Ila hakuna MUNGU anaefirwa, ushoga ni makasiriko kwa Muumba hao watu huko Israel na Marekani wanaofirwa wanamchukiza MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…