Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana


Dhambi ni dhambi mkuu,usijisifu kwa kula malaya wa kununua halafu unawadiss mashoga…you are on the same boat bro
 
Dhambi ni dhambi mkuu,usijisifu kwa kula malaya wa kununua halafu unawadiss mashoga…you are on the same boat bro

Or do you not know that wrongdoers will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived: Neither the sexually immoral nor idolaters nor adulterers nor men who have sex with men nor thieves nor the greedy nor drunkards nor slanderers nor swindlers will inherit the kingdom of God. And that is what some of you were. But you were washed, you were sanctified, you were justified in the name of the Lord Jesus Christ and by the Spirit of our God.
 
Yeah,huwa wanabadilika vizuri tu wakikolezwa
 
Loh! 😥
 
Dhambi ni dhambi mkuu,usijisifu kwa kula malaya wa kununua halafu unawadiss mashoga…you are on the same boat bro

Dhambi zingine zinasameheka lakini mafirauni hawataurithi uzika wa milele
Unakosoa uumbaji wa Mungu
 
Sasa wewe mpaka malalamiko na maelezo kibao ndiyo aanze kuvaa madela?
Ilitakiwa ile wakati unampelekea moto, mwenyewe anaanza kukuuliza bei za skirts na magauni.
 
Fukua mtaro wewe acha woga
 
Ni kweli lakini kwenye kuamua kubadilika jinsia ya kike ina uafadhali
Uafadhali wake uko wapi hiv unajua kwamba kuna uwezekano mkubwa sana mtoto wa shoga akiwa wakike anakuwa lesbian akiwa wakiume anakuwa choko. Yaan mtoto wakike akiwa tomboy babake alikuwa shoga wakiume akiwa punga mama yake alikuwa tomboy au lesbian
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…