Mashoga wapo kila pahali humu duniani.Ninachukia Ushoga na Siupendi Ushoga hata kidogo!
Mashoga wapo kila pahali humu duniani.
Ila hawapo mbinguni, hivyo ikiwa unaishi duniani wavumilie tu na mashoga hadi siku ile utakapotwaliwa kwenda mbinguni huko hutawaona tena mashoga.
UMUGHAKA wewe umefika wapi na wapi mpaka uhitimishe kwamba Zanzibar inaongoza Kwa ushoga barani Afrika?
Unajua watu wengi wa Kanda ya ziwa mfano UMUGHAKA ushamba ndio tatizo kiasi kwamba wakiona Jambo hata Kwa uchache hutaka kulikuza ili waonekane wajanja.
UMUGHAKA tofauti na kipaji cha kusimulia story hana lingine kichwani , ni mtupu kabisa
Kiufupi chuki zinakusumbua na ushamba 😅😅waulize wanaoenda kila siku...Ila hautokuja kuanzisha uzi hapa kwamba kule israel , Argentina kuna mashoga lukuli tena wa kuoana kabisa
Kutumia I'd fake jf imekuwa sababu ya watu wa hovyo kujiropokea Tu ili kupata likes hum au kuwa trendingKiufupi chuki zinakusumbua na ushamba 😅😅waulize wanaoenda kila siku...Ila hautokuja kuanzisha uzi hapa kwamba kule israel , Argentina kuna mashoga lukuli tena wa kuoana kabisa
Aiseee kumbe basi hali ni mbaya sana
Very True!Kwa sasa Zanzibar ni Sodoma ya Tanzania!