Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hakuna mada nyingine wazee za kudiscuss hadi huu ushoga?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Zanzibar inanuka Ushoga, imejaa Ushoga na inaongoza kwa Vitendo vya Ufiraji kwa Bara zima la Afrika.

Kisiwa cha Zanzibar nikisiwa kizuri sana ila kimenajisiwa na Mashoga.

Nina visa lukuki kuhusu Mashoga hapo Zanzibar nadhani ipo siku nitaandika hapa,ni Mungu tu alininusuru sikuweza kugegeda Shoga hapo kisiwani lakini hali ni mbaya sana! Yupo mmoja ambaye nimempiga Block na chati zake ninazo ambazo anitangazia dau nene.

Zanzibar imebarikiwa kuwa na mashoga wengi kuliko wanawake wazuri.

Wanaume hao hao wanaojifanya watu wa swala 5 ndiyo wafiraji wa hao mashoga.

Zanzibar hakuna dini ila kuna Sanaa ya dini.

Ninachukia Ushoga na Siupendi Ushoga hata kidogo.

Swali: Je, dini ya kiislamu bado haijafua dafu hapo kisiwani Zanzibar kwa kuukomesha Ushoga?
 
Mashoga wapo kila pahali humu duniani.

Ila hawapo mbinguni, hivyo ikiwa unaishi duniani wavumilie tu na mashoga hadi siku ile utakapotwaliwa kwenda mbinguni huko hutawaona tena mashoga.

Mashoga wameinajisi Zanzibar
 
UMUGHAKA wewe umefika wapi na wapi mpaka uhitimishe kwamba Zanzibar inaongoza Kwa ushoga barani Afrika?

Unajua watu wengi wa Kanda ya ziwa mfano UMUGHAKA ushamba ndio tatizo kiasi kwamba wakiona Jambo hata Kwa uchache hutaka kulikuza ili waonekane wajanja.

UMUGHAKA tofauti na kipaji cha kusimulia story hana lingine kichwani , ni mtupu kabisa
 
Chanzo utalii na wapo wamasai wanajiuza ...Kama ingekuwa hatari kiasi hicho basi lingekuwa jambo la taifa ...

Chukulia wale watalii wa kizungu walitaka kuvishana pete ile ishu ilivyopigwa marufuku...Mbona hata wazenji ukiwaambiq hivyo wanashangaa.
 
Kwa hiyo wale dada zao wazuri hivi wanawaacha hivi hivi wanakimbizana na wanaume wanzeao
 
Kiufupi chuki zinakusumbua na ushamba 😅😅waulize wanaoenda kila siku...Ila hautokuja kuanzisha uzi hapa kwamba kule israel , Argentina kuna mashoga lukuli tena wa kuoana kabisa
 

Nimekaa Zanzibar (Unguja) almost 1.5 Year

Nimekaa Zanzibar (Pemba) almost 7 months

Ninachokizungumza nakijua mkuu!

Usione nakuwa nawasimulia simulizi ukadhani hizo simulizi ndiyo mwisho wa maisha yangu,hizo simulizi ni nukta tu ya ambacho napaswa kusimulia hapa!
 
Kiufupi chuki zinakusumbua na ushamba 😅😅waulize wanaoenda kila siku...Ila hautokuja kuanzisha uzi hapa kwamba kule israel , Argentina kuna mashoga lukuli tena wa kuoana kabisa

ZANZIBAR INANUKA USHOGA KATAA AMA UKUBALI LAKINI UKWELI UTABAKI HIVYO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…