Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwa hiyo waishi kama kenge?
Kwamba upige chini wanao wote kisa kamalaysa sexless hakana mvuto.
Hizi hoja na akili unazitoa wapi?

Wacha watu waishi maisha yao, kukataliwa kupo na lazima ukubali.
Mkuu ishu siyo kukataliwa. Watu wanakataa lkn wa kukataa unakuta ni wa kupakuliwa ama kusagana
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.

Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake, haonekani kama ni shoga, wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao.

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia, ukimuona unasema ni kidume, wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao.

Hapa ofisi ninayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili, nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu!

Sijui kama miaka michache kutakuwa na wanaume marijali wengi, itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8.

Hali ni mbaya sana hapa Dar, kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura, ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar. Hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume. Mungu nilindie kizazi changu uwiii, wanaume kwanini hivyo lakini?

Ebu subiri sodoma na gomora unajua ulikua ni mwaka gan ??
1900Bc nasasa ni 2000 AD
so jumlisha hapo ni kama miaka 4000 hivi !
je wanaume wameisha?? hapana

Kifupi hata iweje marijali hawawezi isha na wala si kila mtu atakua ! we hao watu uliowaona hata asilimia 1% ya population ya tanzania hawajafika .

Watu wanabadilishana tu tabia kuna muda haya mambo yalikua ukanda wa urabuni , baadae urabuni wakastarabika yakahamia ulaya huko saizi wameshayaona si dili yamekuja Africa naoo yatatoka!!
So ni mzunguko na ni jambo la muda !!
 
Hali inatosha Kwa kweli..na kauli za papa ndo zinazid kutibua Hali ya hewa kabisaaa
 
Kuna pepo limewafika. Unakuta mkaa kaweka mwili vizuri Gym lkn anapakuliwa.

Wadada kibao wanaopewa na waume wenye waume zao. Halafu wanavunja ndoa lkn haiwaitaji sababu ya msingi ya kuvunjika kwa ndoa kwamba ni ushoga
Very sad aisee
 
Askofu wa jimbo katoliki la Geita Flavian Kasala amesema ni bora abariki jiwe utaenda kujengea nyumba kuliko kubariki wapenzi wa jinsia moja! kwani ni kinyume na maagano ya Mungu aliesema nendeni mkazaane.

Ameyasema hayo leo mjini Geita kwenye misa takatifu ya krismass, chanzo TBC ONLINE.
 
Kuna ile dhana ya kusema wanyama hawafanyi ushoga, leo imethibitishwa vinginevyo.

Video imewanasa simba dume wakipandana na kufanya kitendo kinachoashiria ushirika wa kingono baina yao (sexual bonding).

Wanasayansi wa Kitanganyika walichunguze hili swala, inakuwaje dume lipande dume! Mungu atawaangamiza hawa wanyama.

Mungu akikasirika atashusha moto uwaangamize simba wote msituni. Ni kinyume na maadili ya kisimba.

Tunaomba serikali itunge sheria kali kuwazua simba dume kufanya ushoga. Mungu atatuteketeza.


View: https://youtu.be/FnTHbh5K4Ow?si=pbwdu4lmLDg4xgWF
 
Kuna ile dhana ya kusema wanyama hawafanyi ushoga, leo imethibitishwa vinginevyo.

Video imewanasa simba dume wakipandana na kufanya kitendo kinachoashiria ushirika wa kingono baina yao (sexual bonding).

Wanasayansi wa Kitanganyika walichunguze hili swala, inakuwaje dume lipande dume! Mungu atawaangamiza hawa wanyama.

Mungu akikasirika atashusha moto uwaangamize simba wote msituni. Ni kinyume na maadili ya kisimba.

Tunaomba serikali itunge sheria kali kuwazua simba dume kufanya ushoga. Mungu atatuteketeza.


View: https://youtu.be/FnTHbh5K4Ow?si=pbwdu4lmLDg4xgWF

Unataka kusema?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kilichonisukuma kuandika munakasha huu ni huyu muimba taarabu anayeimba kuhusu mapinduzi matukufu ya serikali ya Zanzibar huku yeye na waimbaji wenzake wakiwa wamevaa mavazi ya CCM na nyuma yake (background) kuna picha za marais wa Zanzibar, kuanzia muasisi wa taifa hilo, Abeid Aman Karume hadi rais wa sasa, Dr Hussein Ali Mwinyi.


Muimbaji huyu anafanya haya huku CCM na serikali ya Mapinduzi (SMZ) wakiwa hawajawahi kukemea wala kupinga kitendo hiki. Hii tafsri yake ni nini? Ni kwamba serikali ya SMZ na CCM wanaunga mkono vitendo vya kishoga? Kama hawaungi mkono mbona sasa hawakemei kudhalilishwa kwa marais wake? Na inasikitisha video hii imeruhusiwa kuchezwa kwenye TV na redio za huko Zanzibar bila kupigwa marufuku. Maana yake nini?

Tukiacha hilo la shoga anayeimba kuisifia CCM na serikali yake ya mapinduzi, hebu mtazame huyu shoga maarufu kutoka Zanzibar anayetamba mitandaoni na maeneo ya Zanzibar mchana kweupe bila kukamatawa na kutiwa adabu.


Huyu bwana aispodhibitiwa, tutarajie vijana wengine kuiga uchoko wake na kujiingiza kwenye vitendo vya kishoga. Wazungu wanasema one fool makes many na waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta. Je, serikali kuwaacha hawa machoko kuzoeleka mitaani haioni kuwa watashawishi vijana wengine kuingia kwenye vitendo vya kishoga?

MAONI YANGU
Ikiwa SMZ wanaunga mkono ushoga, nashauri tugawane mbao mapema kabla uchoko huu haujasambaa hadi Tanganyika. Tuwaache wazanzibar waendelee na uchoko wao na sisi watanganyika tuendelee na ustaarabu wetu. Isiwe shida. Huu muungano wa mchongo sio ndoa ya kikiristo kwamba hauwezi kuvunjwa. Tusiumazane vichwa kwa mambo ya kijinga yanayoweza kuepukika.
 
Back
Top Bottom