Mkuu ishu siyo kukataliwa. Watu wanakataa lkn wa kukataa unakuta ni wa kupakuliwa ama kusaganaKwa hiyo waishi kama kenge?
Kwamba upige chini wanao wote kisa kamalaysa sexless hakana mvuto.
Hizi hoja na akili unazitoa wapi?
Wacha watu waishi maisha yao, kukataliwa kupo na lazima ukubali.
Hata sijaelewa hoja yakoKuvunja unafki inatakiwa uonyesha mfano mkuu, vijana wa MMU wakufanye hamna..
Mwakani kataa ndoa watatutukana sanaNdo maana siungi mkono kampeni za kukataa ndoa inawezekana ni kikundi cha mashoga
Mi mwakani naoa
Sababu zao kubwa za kukataa ndoa ni kukwepa majukumu huo ni uvulana mwanaume ili uwe bora ni lazima uwajibikeMwakani kataa ndoa watatutukana sana
Upo sahihi sana mkuu, uwezi kwepa majukumu alafu uwe bora.Sababu zao kubwa za kukataa ndoa ni kukwepa majukumu huo ni uvulana mwanaume ili uwe bora ni lazima uwajibike
Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.
Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake, haonekani kama ni shoga, wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao.
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia, ukimuona unasema ni kidume, wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao.
Hapa ofisi ninayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili, nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu!
Sijui kama miaka michache kutakuwa na wanaume marijali wengi, itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8.
Hali ni mbaya sana hapa Dar, kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura, ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar. Hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume. Mungu nilindie kizazi changu uwiii, wanaume kwanini hivyo lakini?
Huu muandiko mbona ni jinsia yetu ya Adam?Mkuu ishu siyo kukataliwa. Watu wanakataa lkn wa kukataa unakuta ni wa kupakuliwa ama kusagana
Very sad aiseeKuna pepo limewafika. Unakuta mkaa kaweka mwili vizuri Gym lkn anapakuliwa.
Wadada kibao wanaopewa na waume wenye waume zao. Halafu wanavunja ndoa lkn haiwaitaji sababu ya msingi ya kuvunjika kwa ndoa kwamba ni ushoga
Sema mods wameunganisha uzi. Niliamdika uzi kuelezea jinsia zote mbili.Huu muandiko mbona ni jinsia yetu ya Adam?
Mada inahusu mwanamke kukataliwa?
Mkuu mbona hueleweki?
Unataka kusema?Kuna ile dhana ya kusema wanyama hawafanyi ushoga, leo imethibitishwa vinginevyo.
Video imewanasa simba dume wakipandana na kufanya kitendo kinachoashiria ushirika wa kingono baina yao (sexual bonding).
Wanasayansi wa Kitanganyika walichunguze hili swala, inakuwaje dume lipande dume! Mungu atawaangamiza hawa wanyama.
Mungu akikasirika atashusha moto uwaangamize simba wote msituni. Ni kinyume na maadili ya kisimba.
Tunaomba serikali itunge sheria kali kuwazua simba dume kufanya ushoga. Mungu atatuteketeza.
View: https://youtu.be/FnTHbh5K4Ow?si=pbwdu4lmLDg4xgWF
DalesaladeHao mashoga wataongezeka huko kwenu dasalama ila kwetu huku hakuna hio kitu!!!!
Naomba Pdf yake ya soft copySijui mnataka nmuarobaini gani wa hili tatizo. Kitabu cha NJIA PANDA YA USAWA WA KIJINSIA kilishatoa