Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

wazoefu wanatumia dido(sijui ndo wanaita strap) sasa anavoivaa kuna dudu jingine linaingia kwenye k yake, kwa hyo wakat anakushughulikia outomatikali anajishughulikia ya yeye, ila weni wanapenda kuzama sana chumvini kabla ya yote.
Mmmmh jaman jaman 🙌🏾🙌🏾
 
Sana, ukianza huo mchezo utakuwa hutaki wanaume.

Sehemu zenu za hisia zipo kwenye kisimi na maeneo ya juu juu tu. Na ndipo rezibiani wanaposuguana kwa kugusanisha visimi vyao.

Sisi wanaume tunaingizaga ndani bure tu, hapanaga ishu kule.
Kwa hivyo walokeketwa huo mchezo hauwafai
 
Hakuna kitu, uongo uongo na unafiki. Muulize mtu mwenye hasira kali ni lini alishawahi kamata shoga akalipeleka polisi halafu akakamatwa yeye. Uhalisia ni kwamba, hapa kwetu watu hawapigani na ushoga kwa vitendo zaidi ya maneno. Pere pere mingiiiii.

Mkuu bora kujikita kwenye kuhakikisha mkeo haolewi ukifa. Hili la ushoga unajidanganya.
Aiseeee hiyo haya ya Mwisho?!!!😀😃😄😁😆
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Hata humu tunaye mmoja! Amemfuata dada wa watu pm, akamuomba amtafutie eti mtu wa kumtekenya! Inawezekana ikawa kweli aisee!

Na hizo chips yai mnazoshindia huko Dar, ndiyo zinawaongezea matatizo zaidi. Poleni sana. Huku Vijijini tuliko, kuna unafuu sana.
Hivi chips zinamfanyaje mtu awe bwabwa , Elimu tafadhali
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.

Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake, haonekani kama ni shoga, wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao.

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia, ukimuona unasema ni kidume, wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao.

Hapa ofisi ninayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili, nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu!

Sijui kama miaka michache kutakuwa na wanaume marijali wengi, itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8.

Hali ni mbaya sana hapa Dar, kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura, ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar. Hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume. Mungu nilindie kizazi changu uwiii, wanaume kwanini hivyo lakini?
Na utawala huu Utakuwa mlango mkubwa Sana wa ushoga. Utawala wa kuombaomba
Ni hatari Sana. Subiri haya mahindi na maharage yenye virutunisho yaingie Kwenye miili vizuri Mtalia na Kusaga meno
 
Itakuwa Dar es Salaam maeneo ya Kinondoni, Mbagala na viunga vyake

Pia na baadhi ya wanaume wa mikoani wakija Dar wengine wanabadilika sana

Manzese tupo ma hardcore hatunaga ujinga huo
Mbagala iondoe hapo.
Mashoga wapo Sinza, Mwananyamala, Magomeni na Kinondoni.
Mbagala na mashoga wapi na wapi?
 
Hapanaga ishu!!? Mimi nna wanawake wawili kila weekend lazima wanitafute nikawadekishe room huu utafiti karudie
Kuwadekisha room ndio kufanyaje?

Na unajuaje kwamba huwa wanakutafuta kwa sababu wanafurahia tendo na si sababu zingine?
 
Kuwadekisha room ndio kufanyaje?

Na unajuaje kwamba huwa wanakutafuta kwa sababu wanafurahia tendo na si sababu zingine?
Maneno na vitendo vinashahabiana mkuu mmoja bado ni binti wa chuo mwaka wapili huyu karibu ana mtu wake kabisa yeye mwingine ana ajira yake sasa sijui wao huwa wanaona nini special maana wanawake nao sio wakuwaamini sana wanayoongea japo huyo wa chuo ukimuuita lazima muanike godoro na yeye ndo anasemaga hapo tu ndo panafanya anicheki kila mara
 
Back
Top Bottom