Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Sijawah hata kufunguaWewe kama hupendi huwa unafungua za nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawah hata kufunguaWewe kama hupendi huwa unafungua za nini?
Hapa upo wapi?Sijawah hata kufungua
Hapa si kwako dogo au nimeingia wapi tena?? 😂Hapa upo wapi?
Bas sikua nimemalizia hiyo title nikawa nafikiri ni uzi wa maombi kuliombea tu taifaUnajitoa akili? Huu uzi unaitwa
'Tuzidi kuombea Taifa letu ushoga na usagaji ni tatizo kubwa'
Uongo bhana!!Bas sikua nimemalizia hiyo title nikawa nafikiri ni uzi wa maombi kuliombea tu taifa
Kwel kabisaaUongo bhana!!
Sasa hizo dini zote ulizozitaja ushoga na usagaji vimetoka hukoWasalaam ndugu zangu.
Katika pitapita Whatsapp groups nimekutana na group la wasagaji na mashoga .Jamani Mungu ndio soluhisho kwetu kama ndugu yangu ni muislam au wewe ni mkristo kazana kusali na kuweka familia zetu jilani na Mungu.
Shetani amesambaza hii roho mpaka mikoani uko.
We jamaa ni halali kuwahi siti ya mbeleHayo magroups yamekuja vp kwenye wasap yako?
Wanasagana wao, wewe tatizo lako nini?
Mnamuonea tu
Wewe hata hujui tofauti ya maslahi na maslai, jifunze Kiswahili kwanza kabla ya kujifaragua kuparamia mambo usiyoyajua.Eheeee acha kiranga tunazungumza kwa maslai ya taifa sio mtu binafs
Yule kijana alivyopendeza vile alifaa kua kwenye maadili mema.
Ni ngumu kuacha sababu unaamini hilo ni jambo sahihiWarumi 7:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Sitendi lile jema nipendalo bali lile ovu nisilopenda, ndilo nitendalo.
20 Basi kama ninafanya lile nisilopenda kufanya, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
21 Kwa hiyo imekuwa kama ni sheria: kila ninapotaka kufanya jambo jema, jambo ovu hujitokeza.
Niombee rafiki yangu kuna wakati natulia ila akina Balqior BICHWA KOMWE mzabzab wanaleta mada za mizagamuano ninapotaka kufanya jambo jema jambo ovu hujitokeza
Mkuu labda ule ugonjwa wa covid 19 ulinitoa ufahamu, magonjwa makubwa sio poa.Hata mm niliwaza kama unavyowaza ww ila utajua tu
Kama nchi ina viongozi wakubwa wanajulikana kwa ushiriki wao katika mapenzi ya jinsia moja unategemea nini hapoWasalaam ndugu zangu.
Katika pitapita Whatsapp groups nimekutana na group la wasagaji na mashoga .Jamani Mungu ndio soluhisho kwetu kama ndugu yangu ni muislam au wewe ni mkristo kazana kusali na kuweka familia zetu jilani na Mungu.
Shetani amesambaza hii roho mpaka mikoani uko.