Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Unakutana na jamaa mwili mkubwa ...sasa subiri liongee unaweza jua unaongea na kajala[emoji16][emoji16]
 
Duuh
 
Kwanini hamkutoa Taarifa kwa Mama WA Mtoto alielawitiwa? Huenda hawajui mtoto wao ameharibiwa😭
 
Aisee hii ni mbaya sana.

Kuharibu watoto wa kiume haifai.
 
Haya mambo yanachangiwa sana na malezi.

Ukichunguza sana mapunga yamelelewa na single mama.

Kuna siku wife ananitambulisha kupitia picha mpenzi wa mdogo wake wa kike,yaani mume mwenzangu,nikaitathmini picha kwa muda kisha nikaulia,huyu jamaa mzima kweli!!!wife akahamaki,kwanini unaniuliza hivyo??nikamjibu huyu kuna characters anazikosa kama mwanaume.nikaulizwa,wewe umejuaje.ah kishkaji nikapiga chini ile maneno,maana maswali yalikuwa mengi.

Sasa ukapita kama mwaka hivi,anakuja ananambia mkorinto nikwambie ndugu yangu,fulani si naskia anatafunwa[emoji1][emoji1],nikamwambia mimi nilijua toka siku ya kwanza,hamna mwanaume pale.kuuliza kumbe linakaa na mama yake na linadekezwa toka likiwa dogo.
 
Mmmhhh
 
Oi hizi maada hazifai hata kuzungumziwa mazee
 
Oi
Hzi mada sio za kuzijadili kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…