Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar....
Ni kweli kabisa na mapenzi kinyume na maumbile imekuwa jambo la kawaida kabisa hasa hapa dar pamelaanika.

Kuna marafiki zangu wapo kwenye ma group whasap wanawake wanajiuza mchana kweupe tena wanatangaza bila woga wala hofu.

Wali ni add ktk magroup hayo ni uchafu mtupu huko telegram na whasap Mungu atunusuru. Saiv malaya hawajipangi Road wapo wasap na telegram wakitafuta wateja wao tena kwa bei ghali na watu wananunua. Kiukweli hapa dar pameharibika sana.
 
Jitahidi kuishi kwa kuheshimu wengine. Mimi napenda kuona JF ikiwa kama sehemu ya kuleta furaha, kuondoa stress, kujenga urafiki, nk. Huo nachukizwa sana mtu akiniletea utani wa kipuuzi na wa kidhalilishaji....
Acha basi kutumia italics naona hujui matumizi yake. Naomba uendelee usiogope watu wanasema nini. Tapika nyongo yote kijana lakini mimi huwa siumizwi na matusi hata chembe. Endelea
 
Itakuwa dar es laam maeneo ya kinondoni, Mbagala na viunga vyake

Pia na baadhi ya wanaume wa mikoani wakija dar wengine wanabadilika sana

Manzese tupo ma hardcore hatunaga ujinga huo
Haiwezekai majirani zenu Magomeni kuwe kumejaa mashoga halafu nyie Manzese mbaki salama, hakuna. Kama Nyerere alivyowahi kusea, bosi maji gha nyancha, wote ni wale wale.
 
Ushoga unachochewa sana na single parenting upande wa mama

Mfano dhahir ni mange kimambi jinsi anavyolea watoto wake....
Haya ni mawazo potofu kabisa. Ushoga siyo tabia ni jinsia mtu anazaliwa shoga, hajifunzi kuwa shoga hata aishi na mashoga, tena ulaya mashoga wanaoana na wanaruhusiwa ku adopt mtoto na analelewa na wazazi mashoga na anakuwa mtu wa kawaida kabisa siyo shoga.

Kama hamjasoma biolojia hata ya form 2, ni kwamba binadamu anazaliwa kwa maelekezo ya DNA ambazo zinabeba chromosomes x na y ambapo male wana xy na female wana xx, ambapo ikitokea confusion kwenye chromosomes basi tatizo litaweza kusababisha imbalances hata kwenye sexual hormones ambapo male wanatakiwa wawe na testosterone na female wanatakiwa wawe na estrogen na progesterone badala yake unakuta male ana testosterone na estrogen na progesterone au female ana estrogen, progesterone na testosterone.

Sasa ikitokea kwenye DNA mimba imetungwa na mtoto wa kiume ana hormones za estrogen na progesterone huyo ni mwanaume kwa umbile ila mihemuko yake yote na hisia zake ni za kike, na ikitokea mtoto wa kike kazaliwa na hormones za testosterone basi huyo ni umbile la kike ila mihemuko yake na hisia ni za kiume.

Kwahiyo ushoga siyo swala la tabia za kuiga wala malezi ni hormones za kuzaliwa nazo yaani hata upige ugalagaze huwezi kumbadili tabia shoga awe mwanaume kama wengine ni sawa na kumpaka rangi albino awe mweusi haiwezekani ni swala la kibailojia.
 
Kwanini bunhe lisitusheria kali ikiwa ni pamoja na kuwatoa macho au kuwashona mkund..u na waya
Haya ni mawazo potofu kabisa. Ushoga siyo tabia ni jinsia mtu anazaliwa shoga, hajifunzi kuwa shoga hata aishi na mashoga, tena ulaya mashoga wanaoana na wanaruhusiwa ku adopt mtoto na analelewa na wazazi mashoga na anakuwa mtu wa kawaida kabisa siyo shoga.

Kama hamjasoma biolojia hata ya form 2, ni kwamba binadamu anazaliwa kwa maelekezo ya DNA ambazo zinabeba chromosomes x na y ambapo male wana xy na female wana xx, ambapo ikitokea confusion kwenye chromosomes basi tatizo litaweza kusababisha imbalances hata kwenye sexual hormones ambapo male wanatakiwa wawe na testosterone na female wanatakiwa wawe na estrogen na progesterone badala yake unakuta male ana testosterone na estrogen na progesterone au female ana estrogen, progesterone na testosterone.

Sasa ikitokea kwenye DNA mimba imetungwa na mtoto wa kiume ana hormones za estrogen na progesterone huyo ni mwanaume kwa umbile ila mihemuko yake yote na hisia zake ni za kike , na ikitokea mtoto wa kike kazaliwa na hormones za testosterone basi huyo ni umbile la kike ila mihemuko yake na hisia ni za kiume.

Kwahiyo ushoga siyo swala la tabia za kuiga wala malezi ni hormones za kuzaliwa nazo yaani hata upige ugalagaze huwezi kumbadili tabia shoga awe mwanaume kama wengine ni sawa na kumpaka rangi albino awe mweusi haiwezekani ni swala la kibailojia.
 
Haya ni mawazo potofu kabisa. Ushoga siyo tabia ni jinsia mtu anazaliwa shoga, hajifunzi kuwa shoga hata aishi na mashoga, tena ulaya mashoga wanaoana na wanaruhusiwa ku adopt mtoto na analelewa na wazazi mashoga na anakuwa mtu wa kawaida kabisa siyo shoga...
Vipi kuhusu kiringo jibaba zima linayevitifua vitoto vidogo vya kiume.

Wee unazani hivyo vitoto vikikuwa kwa kuendelea kuzoeshwa huo mchezo mchafu matokeo yake ni nini? kama sio kutengeneza kina james delicious na mashoga mengine mengi.
 
vp kuhusu kiringo jibaba zima linayevitifua vitoto vidogo vya kiume.

Wee unazani hivyo vitoto vikikuwa kwa kuendelea kuzoeshwa huo mchezo mchafu matokeo yake ni nini? kama sio kutengeneza kina james delicious na mashoga mengine mengi.
Hao watoto wamebakwa hakuna justification yoyote ya kuwa mashoga hata mabinti wanabakwa ila siyo ndo watakuwa malaya.

Hata wale waliobakwa na mapadre ulaya wengi wameishi na msongo mkubwa wa mawazo hadi kufikia kujiua.

Kama mtu alibakwa utotoni akawa shoga basi ujue alianza kuonyesha dalili za mihemuko ya kikekike tangu utotoni hadi kupelekea mtu kumtamani kwaiyo huyo akiwa shoga ukubwani ni vile alikua shoga wa kuzaliwa siyo kwasababu ya kubakwa.
 
Duuh! Me nlisoma na shoga chuo flani, nikiwa bachelor yeye alikuwa diploma. Na alikwa na mtu wake class kwao, walikuwa wakiishi hostel za chuo hadi walipokamatwa wakifanyana. Walifukuzwa hostel za chuo wakaenda kupanga getto kitaa. Yule mliwaji ni mtoto wa kigogo mmoja pale Dar.

Pia maeneo ya jirani na hicho Chuo hao viumbe walikuwa wengi. Sijui wanatokea wapi. Huwa najiuliza sana, dar kuna tatizo gani, maana ni kero.
 
Aisee hizi stori nilikuwa nazionaga kama za kufikirika tu, ila nimefuata link moja hapo juu yani dah! hali ni mbaya sana hawa watu ni wengi mno .. na kwa asilimia kubwa huwezi kuwatambua kimuonekano ..
 
Back
Top Bottom