Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

duh!!!aise kama yaliyomo humu kwenye link hii inayoitwa PAMOKO ni ya kweli, basi wanaume hakuna ni wameisha.

Wanaume tuliopo kwa sasa ni wachache mno hakika tunahesabika. Wengine wameamua kujikana wakaona heri wawe wanawake na wawe wanaliwa. Aiseee!!!!

Alafu ni vijana wadogo sana 18-25 ndo wanaoongoza. Huo ndo upande wa pili wa Tanzania tusioujua.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]

Kwa hiyo nini kifanyike sasa mkuu
 
Hao watoto wamebakwa hakuna justification yoyote ya kuwa mashoga hata mabinti wanabakwa ila siyo ndo watakuwa malaya.
Hata wale waliobakwa na mapadre ulaya wengi wameishi na msongo mkubwa wa mawazo hadi kufikia kujiua.
Kama mtu alibakwa utotoni akawa shoga basi ujue alianza kuonyesha dalili za mihemuko ya kikekike tangu utotoni hadi kupelekea mtu kumtamani kwaiyo huyo akiwa shoga ukubwani ni vile alikua shoga wa kuzaliwa siyo kwasababu ya kubakwa.
Acha ujinga, mtoto siku zote akili yake inakuwa haija komaa na ndio maana kuna wengine unaweza ukamlaghai hata kwa pipi, PS au hata movies. So kuna washenzi wanatumia nafasi hii ya udhaifu wa ukomavu mdogo wa akili za mtoto kuwalaghai na kuwaingilia.

Mimi kuna jamaa yangu nimekuwa nae tokea mtoto, miaka minne iliyopita nikaambiwa jamaa analiwa na aliye muaanza alimshawishi kwa hizi movie za Mkandala kipindi tukiwa watoto,yeye alikuwa anaingia bure.Halafu yule jamaa aliye mfanyia hivyo kahamia Chanika na kazi yake ilikuwa hiyo hiyo ya kuonyesha movies, kama ndio tabia yake hivi mpaka sasa atakuwa kaharibu wangapi?

Juzi tu kama sikosei Iringa, jamaa mmiliki wa PS kawalawiti watoto zaidi 10,hivi hawa nao walionyesha dalili? Ndio wapo walio ingia kwa tamaa zao, ila majority wamelubuniwa wakati wakiwa watoto sababu akili zao hazi kupevuka na wengine wazazi walishindwa kutimiza wajibu wao.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu tabia za kishoga zinaanzia utotoni. Naomba wazazi wawe makini na watoto wao, hasa kuhakikisha kuwa vitu wanavyotazama kwenye mitandao ni vile vyenye maadaili tu. Mungu atuhurumie waja wake.
 
Acha ujinga, mtoto siku zote akili yake inakuwa haija komaa na ndio maana kuna wengine unaweza ukamlaghai hata kwa pipi, PS au hata movies. So kuna washenzi wanatumia nafasi hii ya udhaifu wa ukomavu mdogo wa akili za mtoto kuwalaghai na kuwaingilia.

Mimi kuna jamaa yangu nimekuwa nae tokea mtoto, miaka minne iliyopita nikaambiwa jamaa analiwa na aliye muaanza alimshawishi kwa hizi movie za Mkandala kipindi tukiwa watoto,yeye alikuwa anaingia bure.Halafu yule jamaa aliye mfanyia hivyo kahamia Chanika na kazi yake ilikuwa hiyo hiyo ya kuonyesha, kama ndio tabia yake hivi mpaka sasa atakuwa kaharibu wangapi?

Juzi tu kama sikosei Iringa, jamaa mmiliki wa PS kawalawiti watoto zaidi 10,hivi hawa nao walionyesha dalili? Ndio wapo walio ingia kwa tamaa zao, ila majority wamelubuniwa wakati wakiwa watoto sababu akili zao hazi kupevuka na wengine wazazi walishindwa kutimiza wajibu wao.
Upo sahihi nakuunga mkono 100%, tabia za kishoga huanzia utotoni hasa pale watu wazima wanapowarubuni watoto na kuwaingiza kwenye vitendo vya kishoga.
 
Wanafadhiliwa na watu wazito ndo maan wanazidi kuwa wengi na pia tamaa kwa mfano Sinza kulikuwa na jamaa huyo jina lake kitu kama dan hv yule jamaa alikuwa na Tabia ya kuwashawishi vijana kama wanataka vitu fulan anawasaidia kumbe alikuwa anawalawit nae analawitiwa na pia Sinza hyohyo mitaa ya kwa mwaibula kuna kigogo aliwapangishia mjengo mashoga...

Pia baadhi ya wanawake wanawapa kichwa maan wao ndo kampani yao wanajazana masaluni ya kike kupiga umbea na wanawasifia pia ndo makuwadi wao...

NB; kwa wilaya KINONDONI huko hawajifichi ni waziwaz tofaut na wilaya zingine MUNGU atusaidie kwa kwl asa ss tunaokaribia kuitwa baba
 
Hao watoto wamebakwa hakuna justification yoyote ya kuwa mashoga hata mabinti wanabakwa ila siyo ndo watakuwa malaya.
Hata wale waliobakwa na mapadre ulaya wengi wameishi na msongo mkubwa wa mawazo hadi kufikia kujiua.
Kama mtu alibakwa utotoni akawa shoga basi ujue alianza kuonyesha dalili za mihemuko ya kikekike tangu utotoni hadi kupelekea mtu kumtamani kwaiyo huyo akiwa shoga ukubwani ni vile alikua shoga wa kuzaliwa siyo kwasababu ya kubakwa.
Haya ni mawazo potofu kabisa. Ushoga siyo tabia ni jinsia mtu anazaliwa shoga, hajifunzi kuwa shoga hata aishi na mashoga, tena ulaya mashoga wanaoana na wanaruhusiwa ku adopt mtoto na analelewa na wazazi mashoga na anakuwa mtu wa kawaida kabisa siyo shoga.

Kama hamjasoma biolojia hata ya form 2, ni kwamba binadamu anazaliwa kwa maelekezo ya DNA ambazo zinabeba chromosomes x na y ambapo male wana xy na female wana xx, ambapo ikitokea confusion kwenye chromosomes basi tatizo litaweza kusababisha imbalances hata kwenye sexual hormones ambapo male wanatakiwa wawe na testosterone na female wanatakiwa wawe na estrogen na progesterone badala yake unakuta male ana testosterone na estrogen na progesterone au female ana estrogen, progesterone na testosterone.

Sasa ikitokea kwenye DNA mimba imetungwa na mtoto wa kiume ana hormones za estrogen na progesterone huyo ni mwanaume kwa umbile ila mihemuko yake yote na hisia zake ni za kike , na ikitokea mtoto wa kike kazaliwa na hormones za testosterone basi huyo ni umbile la kike ila mihemuko yake na hisia ni za kiume.

Kwahiyo ushoga siyo swala la tabia za kuiga wala malezi ni hormones za kuzaliwa nazo yaani hata upige ugalagaze huwezi kumbadili tabia shoga awe mwanaume kama wengine ni sawa na kumpaka rangi albino awe mweusi haiwezekani ni swala la kibailojia.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Naskia na huko Zanzibar imekua baada ya nyumba Kuna shoga1,baada ya nyumba shoga nikweli????
Si kweli....

Mashoga wapo kama ilivyo tanga ..na dar..

Ila sehemu yoyote mjini huwa kuna mengi lakini kwenye viunga ...ni moja ya watu na nadhari mno...

Staha ipo sana tena.. ...

Jamii tulivu mno...
 
Si kweli....

Mashoga wapo kama ilivyo tanga ..na dar..

Ila sehemu yoyote mjini huwa kuna mengi lakini kwenye viunga ...ni moja ya watu na nadhari mno...

Staha ipo sana tena.. ...

Jamii tulivu mno...
Alafu hii tabiaya kukaa kujadili mashoga kama vile wao siyo watu acheni kuishi zama za kale, sikuhizi kila mtu ana haki za kuishi maisha yake anavyopenda yeye.

Nyie mkienda ulaya au china mkaambiwa nyie Weusi siyo watu ni nyani muuwawe mtafurahi? Mbina mnapenda kunyanyasa wenzenu wakati nyie pia hampendi kunyanyaswa?

Kuna wazungu wanaamini mtu mweusi siyo binadamu kabisa anafaa auwawe. Yaani watu tuko katika zama za kupambana na unyanyasaji wa haki za muafrika na binadamu wote kwa ujumla kuna matakataka yapo humu yanajadali kama mashoga wauwawe au siyo watu.

Hebu acheni mawazo mgando, mimi naweza nisikubaliane na style ya maisha ya mtu mwingine lakini ninaelewa haki za kila binadamu kuishi kwa jinsi mungu alivyomuumba. Awe shoga awe straight siyo nafasi yangu kumpangia mtu style ya maisha yake. Acha mungu awe hakimu wa kila mtu mwisho wa maisha yake.
 
Ni kinyaaa aiseee. Why mwanaume umgeuze mwanaume mwenzio. Hata wamama mnaokubali kufanyiwa Anal sexual jiangalieni laana hiyo itatafuna vizazi vyenu
Wao wanaita mchicha mwiba au kuku mtamu kuna radha adimu wanaipata pengine
 
Ni kweli kabisa na mapenzi kinyume na maumbile imekuwa jambo la kawaida kabisa hasa hapa dar pamelaanika.
Kuna marafiki zangu wapo kwenye ma group whasap wanawake wanajiuza mchana kweupe tena wanatangaza bila woga wala hofu.

Wali ni add ktk magroup hayo ni uchafu mtupu huko telegram na whasap Mungu atunusuru. Saiv malaya hawajipangi Road wapo wasap na telegram wakitafuta wateja wao tena kwa bei ghali na watu wananunua. Kiukweli hapa dar pameharibika sana
Nipe no ua group
 
Back
Top Bottom