Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Wanaume tutunze hivi vitendea kazi, ule usemi kuwa tutapewa wengi uko mbioni kutimia.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee nimeingia kwenye hii link nimechoka khaaaaa
Mkuu Futa hii post tafadhaliNimeufumania mtandao wao
Wanafiki hawa mkuu, wazee wa kuwanyooshea wenzao vidole! Unaweza kuta mwenyewe anapenda hayo mambo kaja hapa kutest mitamboUshoga upo tangu enzi za Sodoma na gomola. sasa ww unafactor zipi za kuongezeka miaka michache ijayo
Wanaume hatuwezi kuishs mkuu hizo mambo zilikuepo enzi na enzi.
Sema tu sasa hivi ni kama watu hawaogopi kuyafanya hadharani na hata wakigundulika hawaoni jau kwasababu wengi wanajua hayo mambo yapo. Mfano ni huyu kiumbe wa jf, anaefata watu PM.
Usiogope kuzaa mtoto wa kiume mkuu, kitu wanachokosea kinamama wengi ni ile ana mtoto wa kiume maybe wa miaka 8 au 9 na anamchukua kwenda kupiga umbea na mashoga zake.
Mtoto wa kiume kushinda na wanawake mda mrefu hua inawaathiri sana, mwache akacheze na wakiume wanzie aige tabia za kiume na sio zako wewe mama yake. Na kikubwa zaidi tumuombe Mungu.
GIZA LINATAWALA - WATANZANIA TUTUBUNI DHAMBI KWA AJILI YA TAIFA. LA SIVYO TUNAAGAMIAMiaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao
Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu
Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8
Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Acha upuuzi wengine huwa ni matusi proof dogoHata mimi pia ni baba na ni mzazi. Kama mtu anakutukana tu from nowhere, dawa yake ndiyo hii. Na hapa nilipo, nipo standby namsubiria.
Akinijibu tu, mimi na deal na baba yake! Wala sita deal na yeye. Mpaka pale akili yake itakapo rudi kuwa normal.
Madogo hao Achana nao! Nimewazoea wanatukana keyboardAaaah achana nae bwana, atajifunza zaidi kama utampotezea kuliko ukijibizana nae.
Ndo ivo mkuu, unajua mtoto anaiga iga sana. Sasa kama wa kiume ataiga kwa yule anaendana nae sasa unakuta bahati mbaya hakuna wa kufanana nae inabidi acopy hivyohivyo avionavyo.Hii ni moja ya facts na hatari sana katika kuzalisha mashoga,wazazi kujisahau mtoto wa kiume anaunganishwa na dada zake halafu wanazungushwa beach na mama
Au Mtoto wa kiume kutembea na mama yake muda Mwingi hasa anapoenda kwa Mashoga zake kusogoa
Inshort mtoto wa kiume akianza tu kujitambua anatakiwa kuandamana na Baba yake issue Inakuja siku hizi watoto wengi wanazaliwa out of wedlock’s au wanalelewa na single mamas kwahiyo ana kosa kwa namba moja au nyingine malezi muhimu ya Baba !
Kingine ni ule upendo wa mama zetu kwa watoto anashindwa kukubali at age of 5 huyu mtoto wa kiume ameshakuwa anahitaji kuanza kupata miongozo ya uanaume!wai wako busy kuwapamba na kuwavalisha na kuzunguka nao kwenye masaluni
Nakuuliza tu, kwa akili yako jinsi inavyokutuma, hao mashoga wawili wangehamishiwa Dodoma kikazi na ukawafuma huko, ungesema na Dodoma hakutakuwa na wanaume miaka ijayo? Nauliza tu..Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao
Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu
Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8
Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Mashoga wanakulana wenyewe kwa wenyewe. Ukila shoga wewe ni shoga pia.
Haina shida... We kama wapo walete tu.Mashoga wanakulana wenyewe kwa wenyewe. Ukila shoga wewe ni shoga pia.
Jitahidi kuishi kwa kuheshimu wengine. Mimi napenda kuona JF ikiwa kama sehemu ya kuleta furaha, kuondoa stress, kujenga urafiki, nk. Huo nachukizwa sana mtu akiniletea utani wa kipuuzi na wa kidhalilishaji.Madogo hao Achana nao! Nimewazoea wanatukana keyboard
Hahaha lahaula Wala kuwata ...dah huu uzi upo wapi sijauona kabisaLipumbafu flanView attachment 1892455
Mod walipita naoHahaha lahaula Wala kuwata ...dah huu uzi upo wapi sijauona kabisa
Na mwamba alibadili id niniMod walipita nao
Abadili wapi ana stress balaaNa mwamba alibadili id nini