Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ushoga upo tangu enzi za Sodoma na gomola. sasa ww unafactor zipi za kuongezeka miaka michache ijayo
Wanafiki hawa mkuu, wazee wa kuwanyooshea wenzao vidole! Unaweza kuta mwenyewe anapenda hayo mambo kaja hapa kutest mitambo
 
Wanaume hatuwezi kuishs mkuu hizo mambo zilikuepo enzi na enzi.

Sema tu sasa hivi ni kama watu hawaogopi kuyafanya hadharani na hata wakigundulika hawaoni jau kwasababu wengi wanajua hayo mambo yapo. Mfano ni huyu kiumbe wa jf, anaefata watu PM.

Usiogope kuzaa mtoto wa kiume mkuu, kitu wanachokosea kinamama wengi ni ile ana mtoto wa kiume maybe wa miaka 8 au 9 na anamchukua kwenda kupiga umbea na mashoga zake.
Mtoto wa kiume kushinda na wanawake mda mrefu hua inawaathiri sana, mwache akacheze na wakiume wanzie aige tabia za kiume na sio zako wewe mama yake. Na kikubwa zaidi tumuombe Mungu.

Hii ni moja ya facts na hatari sana katika kuzalisha mashoga,wazazi kujisahau mtoto wa kiume anaunganishwa na dada zake halafu wanazungushwa beach na mama

Au Mtoto wa kiume kutembea na mama yake muda Mwingi hasa anapoenda kwa Mashoga zake kusogoa

Inshort mtoto wa kiume akianza tu kujitambua anatakiwa kuandamana na Baba yake issue Inakuja siku hizi watoto wengi wanazaliwa out of wedlock’s au wanalelewa na single mamas kwahiyo ana kosa kwa namba moja au nyingine malezi muhimu ya Baba !

Kingine ni ule upendo wa mama zetu kwa watoto anashindwa kukubali at age of 5 huyu mtoto wa kiume ameshakuwa anahitaji kuanza kupata miongozo ya uanaume!wai wako busy kuwapamba na kuwavalisha na kuzunguka nao kwenye masaluni
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
GIZA LINATAWALA - WATANZANIA TUTUBUNI DHAMBI KWA AJILI YA TAIFA. LA SIVYO TUNAAGAMIA
 
Hata mimi pia ni baba na ni mzazi. Kama mtu anakutukana tu from nowhere, dawa yake ndiyo hii. Na hapa nilipo, nipo standby namsubiria.

Akinijibu tu, mimi na deal na baba yake! Wala sita deal na yeye. Mpaka pale akili yake itakapo rudi kuwa normal.
Acha upuuzi wengine huwa ni matusi proof dogo
 
Hii ni moja ya facts na hatari sana katika kuzalisha mashoga,wazazi kujisahau mtoto wa kiume anaunganishwa na dada zake halafu wanazungushwa beach na mama
Au Mtoto wa kiume kutembea na mama yake muda Mwingi hasa anapoenda kwa Mashoga zake kusogoa
Inshort mtoto wa kiume akianza tu kujitambua anatakiwa kuandamana na Baba yake issue Inakuja siku hizi watoto wengi wanazaliwa out of wedlock’s au wanalelewa na single mamas kwahiyo ana kosa kwa namba moja au nyingine malezi muhimu ya Baba !
Kingine ni ule upendo wa mama zetu kwa watoto anashindwa kukubali at age of 5 huyu mtoto wa kiume ameshakuwa anahitaji kuanza kupata miongozo ya uanaume!wai wako busy kuwapamba na kuwavalisha na kuzunguka nao kwenye masaluni
Ndo ivo mkuu, unajua mtoto anaiga iga sana. Sasa kama wa kiume ataiga kwa yule anaendana nae sasa unakuta bahati mbaya hakuna wa kufanana nae inabidi acopy hivyohivyo avionavyo.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Nakuuliza tu, kwa akili yako jinsi inavyokutuma, hao mashoga wawili wangehamishiwa Dodoma kikazi na ukawafuma huko, ungesema na Dodoma hakutakuwa na wanaume miaka ijayo? Nauliza tu..
 
Madogo hao Achana nao! Nimewazoea wanatukana keyboard
Jitahidi kuishi kwa kuheshimu wengine. Mimi napenda kuona JF ikiwa kama sehemu ya kuleta furaha, kuondoa stress, kujenga urafiki, nk. Huo nachukizwa sana mtu akiniletea utani wa kipuuzi na wa kidhalilishaji.

Nimechangia mada, from nowhere unaanza kuni attack! Mimi siyo dhaifu hata kidogo. Na ushukuru tu kuna wadau wangu humu tunaheshimiana. Hivyo hawafurahishwi kuona najibizana na vi country bumkins!

Kinyume na hapo huu uzi ungechafuka. Maana mimi ni kati ya wale watu wanaopiga kwenye kidonda.
 
Ushoga unachochewa sana na single parenting upande wa mama

Yaan unamtreat mtoto wa kiume kama unavoush wew mama..mtoto wa kiume anaona chup za mama..makeup za mama...stori za mama na rafik zake..kias kwamba mtoto anakua amezungukwa na ulimwengu wa kike mwanzo mwishk maisha yake yote ya utoto na ujana kias kwamba haon jipya kwa wanawake yeye anaona kama wanaume wenzao tu

Hii inasababisha hata mwil kutotengeneza testosterone vya kutosha kias cha kufanya mwil uwe na mlengo wa kike automaticaly

Funzo hilo zingatien
 
Back
Top Bottom