Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

kuna umuhimu serikali yetu ichukue hatua mapema, kizazi hiki kitaharibika kuliko hata vizazi vya ulaya. ujue wazungu huwa wanaharibika ila wanaharibikaga kisomi sana ila waafrika wakiamua kuharibika huwa wanaharibika mazima. Mungu linda kizazi hiki.
Mikopo mikopo mikopo mikopo mikopo mikopo mikopo mikopo mikopo mikopo

Njaa mbaya sana
 
Kama unamaanisha Meeda (Kitambaa Cheupe Sinza) pale kuna mashoga wengi

Wale wana wateja wao mamende kuna mwanangu yeye ndo michezo yake kashawala mashoga kadhaa pale

Mkistay sehemu pale Kitambaa Cheupe mnagonga mbili tatu lazima wajipitishe wanabinua vimatako vyao na pozi za kike
 

Nikigundua rafiki yangu anakula mashoga urafiki utaishia hapo!
 
Kuna malaya wa kike pale Kitambaa Cheupe Sinza ukiongea nao wanakupa connection za mashoga wa kila aina au anamleta pale ulipo

Au ukiongea na baadhi ya wahudumu wanakuletea shoga kazi inabaki kwako.

Kuna siku nikasema ngoja nijaribu nikaletewa shoga ukimcheki unaweza kusema huyu ni straight kumbe anafukuliwa mtaro ila ongea yake ya kidemu kabisa
 
Live live me nakopitaga sijawahi waona
Ila tiktok jamaniiii
Huwezi scroll video 5 usikutane na moja yao

Nikienda harusini magomeni nkakuta machoko kama wa5 yaani niliona kinyaa nkatamani kuondoka, tukaletewa ice cream kama kipashio mashoga ndo waletaji like shoga la kiarabu nkazuga naenda chooni sikupata baadae shoga angu niliyeenda nae akamuita mdada akaniletea

Inshort MUNGU ANISAMEHE ILA wale watu na Mimi hapanaa. Niko Tena kitchen party wakaja machoko walialikwa na Baadhi ya watu bi harusi akashika mic akasema Naomba machoko wote watoke ktk sherehe yangu sitaki laana tukasema afadhali wakatoka Kwa aibu wanatukaanaaa hao balaaa
 

Kilichoo endelea tusikuukize sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…