Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

kuna umuhimu serikali yetu ichukue hatua mapema, kizazi hiki kitaharibika kuliko hata vizazi vya ulaya. ujue wazungu huwa wanaharibika ila wanaharibikaga kisomi sana ila waafrika wakiamua kuharibika huwa wanaharibika mazima. Mungu linda kizazi hiki.
😃😃😃😃 ichukue hatua gani mkuu??
Unajua anaye fund hiyo movement yao inayopelekea ongezeko kubwa kwa sasa?

Kuna namna unatakiwa kuacha mengine yapite.... serikali have nothing to do ili hili swala liishe 😃
 
Wangetokea akina Kifimbo cheza wa mambo haya na kuwamaliza hawa huenda tungeepuka zahama.
 
Live live me nakopitaga sijawahi waona
Ila tiktok jamaniiii
Huwezi scroll video 5 usikutane na moja yao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu mie.
 
kuna umuhimu serikali yetu ichukue hatua mapema, kizazi hiki kitaharibika kuliko hata vizazi vya ulaya. ujue wazungu huwa wanaharibika ila wanaharibikaga kisomi sana ila waafrika wakiamua kuharibika huwa wanaharibika mazima. Mungu linda kizazi hiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol
 
Nimepitia comments nyingi watu wengi kwanza hawana ufahamu na haya masuala na elimu yake kwa ujumla hivo nalo ni tatizo kwenye jamii
 
Nachekaaaa nusu nizimieee hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila watu jaman khaaaah.
 
Ukweli ndo huu sasa. Na mada ifungwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…