Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Unaoa wanawake wengi kujiepusha na balaa moja kumbe unakaribisha balaa lingine! Unakuja kugundua wake zako wanasagana
 
Jf moderators embu pigeni ban maneno kama ushoga , shoga , kinyume na maimbile , mapenzinya jinsia moja , kama mlivyofanya kwenye neno k.uma ili kufuta. Mambo haya humu jukwaaani maana yanatoa kinyaaa kabsa ,
 

Kauli zako zinajipinga,
 
Jf moderators embu pigeni ban maneno kama ushoga , shoga , kinyume na maimbile , mapenzinya jinsia moja , kama mlivyofanya kwenye neno k.uma ili kufuta. Mambo haya humu jukwaaani maana yanatoa kinyaaa kabsa ,
njoo nikutombe bro
 
Vita shindwa walahi!
Kila kitu kina paramiwa mwanzo baadae vina ishia, kwani ngono ndio maisha?
Mwenye Enzi Mungu ni mkuu sana walahi
Hata hili lita pita!
 
We usituchanganye kuna wanaume wamezaliwa na tatizo la homoni,unataka nani awafanye au wanunue dildo....
Wew kama huwezi kausha wenzio tunawakanda vizuri na wanafurahi..
Yea ni kweli hilo linakua ni tatizo la hormone. Lakin pia hua ni tatizo la akili. Kiuhalisia inatakiwa tuvutiwe na jinsia tofauti na sisi na mwenye afya nzur ili tuweze kuzaliana nae. Ila kuna baadh ya watu wamezaliwa na hio ttzo kwahy wanavutiwa na watu wa jinsia yao. Wengine imewatokea tu baada ya kukua, either changamoto ktk ukuaji nk...

Alafu unajua kwamba ukiwa unakula mwanaume mwenzio na ww technically unakua ni shoga? [emoji23] anaekula ni basha anaeliwa ni msenge ila kwa pamoja nyie ni mashoga. Ko kama unakula wanaume.... dah I got bad news for you. Ila good news ni kwamba binadamu hatutakiwi kukuhukumu, anaekuhukumu ndio anamakosa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmefanya Siri mtakavokuja kuvikumbuka kusema hivyo vitendo jamii itakua imechoka
 
Si kweli, hii starehe ilikuwepo toka kitambo ila kwa kujificha lakini kwa sasa wenyewe wapenda raha ya kukunwa wanadai wanakwenda na wakati kama ndugu zao Ulaya.
 

ukitafakari sana unakosa majibu.

viongozi wa Dini walipaswa kusimama kukemea hili lakini wapo kimya. Je wanaunga mkono hii satanism ideology?

wenye Imani wasichoke kumuomba Mungu yale ya Sodoma na Gomora yatuepuke. Hata hivyo maandiko yanasema the worst is yet to come.
 

Kama moto wasodoma na gomora ulishindwa kumaliza hao mapunga unadhani nini kitawamaliza?ishi nao tu na maisha ya endelee mana dhambi sio ushoga tu,mbona dhambi nyingi unaishi nazo tu.
 
Kama moto wasodoma na gomora ulishindwa kumaliza hao mapunga unadhani nini kitawamaliza?ishi nao tu na maisha ya endelee mana dhambi sio ushoga tu,mbona dhambi nyingi unaishi nazo tu.
ushogo sio physical, it's spiritual (kiroho zaidi)

Maandiko (Bible) yanasema the worst is yet to come. Kwamba hizi siku za mwisho (Nabucchadneza metal man dream, book of Daniel) Machukizo bado yapo hatua za awali, machukizo zaidi yaja...Mungu atuamini, atupe subra na uvumilivu tushuhudie ukuu wake na namna atakavyoadhibu Dunia kama Loti alivyoona Sodoma na Gomora ikiteketea.


Lord have mercy on us all.
 
Si kwamba wapo kimya na wao pia wanamtandao wa upinde sasa unategemea nini?
 
mna watoto wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…