Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kataa ndoa
 
ipo namna wenye mamlaka husika inatakiwa wafanye jambo,nchi yetu hairusu ushoga lakini hakuna sehemu ambayo imekemea kuhusu ushoga,yaani hatusupport ushoga ila hatuukemei,,

Namna nyingine ni kama hawasupport ila hawakatazi,,
manaake hawasupport direct ila wanasupport indirect

 kwa wataliban huwezi kusikia huu ujinga
 
😰Dunia kwisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeni kwa kuteseka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushoga na usagaji ni ruksa.
Poleni kwa kuteseka. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawajui hilooo. Badala watumie akili wanatumia hisia, ndo wanapokwamaaaa.

Bongo bhanaaa lol
 
Kuna channel huko Twlegram.inaitwa VANILLA ni biashara kabisaa ya mashoga wa kibongo.

Nilijoin nikidhani ni promoter wa zao la vanilla. Nilikuta mavideo ya mashoga wa kibongp wakipakuliwa visamvu balaa. Ikasababisha niiondoe app yote ya tellegfam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muongo tyuuh, useme ni member mkuu wa kulee, khaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…