Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Yamejimilikisha hadi wapinga ushoga.Mashoga mnajimilikisha kila kiu. MMECHUKUA UPINDE WA MVUA TUMEWAACHIA, MMECHUKUA IPHONE TUMEWAACHIA.mwisho wa siku mtasema kula kiporo cha wali maharage na chai, ni ushoga.
Mtu unanunua bidhaa sio mikundu yao niongee kwa lugha ya kuelewekaWapo wengine wanajenga barabara nzuri sana sote tunapita humo, wengine wanatengeneza magari mazuri sana nasi tunayanunua, na wengine wanazalisha nguo still tunazivaa, hii vita ni ngumu ndugu zangu
hata huyu mzugu dini kapelekewa na pauloDini zililetwa na wazungu na tukazipokea kwa mikono miwili
Wa Afrika tulikuwa na mila na tamaduni zetu
Usitake kujificha kwenye kichaka cha dini Zilizoletwa na wazungu Afrika
Mababu zetu hawakuwa na dini ya mzungu, Walifanya mambo kwa tamaduni zao
Wewe umeshapokea dini ya mzungu, Afrika hakukuwa na hizo dini za mzungu
Kama baadhi ya wazee wetu walivyopigana dini zisiingie Afrika ndio sasa kuna kundi linapinga ushoga usiingie Afrika
Kumbuka dini zili ingia kwa kutoa misaada kama nguo Afrika
Unawezaje kuzuia ushoga wakati unakula misaada ya mashoga na una promote bidhaa zao kwa kununua
Bwashee!!
One theBEST MANAGER OF ALL TIME Steve JobAcha kuchafua watu na story zako za kijinga. Steve Jobs hakuwahi kuwa shoga na alikuwa na mke na watoto watatu, wa kiume akiitwa Reeds. Hebu leta uthibitisho hapa wa andiko alilojitangaza yeye Ni shoga..
Hii imethibitishwa kwa mujibu wa SAYANSI ZA SAIKOLOJIA kwamba wapinga ushoga wengi ni MASHOGA WANAOJIKATAA.eti wapinga ushoga ndio mashoga wenyewe yanadhani watu wataogopa kuyapinga
Hahahahaa BABA DILLISHKuukataa ushoga kusitutenge na maendeleo ya dunia
Huna kosa ila umeunga mkono wiziii bila kujua.
Hata kama haujui kuwa unaunga mkono lakini ndio umeshaunga mkonoo.
Haijalishiii. Kuunga mkono ni kuunga mkono, uwe unajua au haujuii lakini ndio umeunga mkonooo na matokeo yake ni halisii.
Kuwa wamiliki mashoga kuna uhusiano gani na bidhaa ? Hiyo mitabia yake mwenyeweBODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI NI MASHOGA. Unawezaje kusema kampuni sio ya mashoga?
The top authority of the company wanaunga mkono ushoga kwa DHATIIIII na wanashirikiii kwenye vitendo hivyoo kwa uwaziiiii.
Unahitaji miwani ganii kubainii kwamba APPLE ni LGBT Champions???
Na ingependeza kama wangeweka LOGO YA UPINDE kwenye zile simu ili wawabamize vizuri.
Na ukiwasha simu ukutane na madume yanabusiana na kulana denda kama ile mikono ya kwenye NOKIAA.
Mimiliki akiwa shoga kwa hiyo na simu yake ni shoga?
Una ushahidi kuwa kapata kupitia ujambazi?Unaweza ukamchukia jambazi halafu ukafurahia fedha alizopora kwa kuua?
Then ni kampuni ya muda mrefu sanaNimesema hivi: kama kuwa shoga ingekuwa ni sharti la kuajiriwa, hoja yako ingekuwa na mashiko.
Lakini kama hata mlokole anaweza kuajiriwa pale, basi ushoga ni tabia binafsi ya wafanyakazi
Mwisho: Naomba uthibitishe kuwa Bodi ya wakurugenzi wote ni mashoga; weka link hapa tusome?
Logo ya Apple ilikuwepo hata kabla ya ushoga hivyo usi ihusishe!
πππ ni mfano lkn kiuhalisia hauendani kabsaa na madaUnaweza ukamchukia jambazi halafu ukafurahia fedha alizopora kwa kuua?
Na mabegi ya upinde wa mvua yanajiuza yenyeweUna ushahidi kuwa kapata kupitia ujambazi?
Huyo wa Iphone ni bilionea mkubwa duniani biashara anayojulikana nayo kumpa huo ubilionea ni kuuza simu zake za Iphone sio kauuza makalio na wala makalio yake sio yanayotengeneza hizo simu
Kaangalie sababu ya utajiri wake
Hayo ya kusema shoga ni yake mwenyewe
Sheria ya biadhara inatenganisha kati ya biashara na mtu binafsi
Kuna hadi ule msemo wa kiswahili kuwa mimi nakujua sana wewe lakini biashara yangu haikujui.Biashara ya iphone haimujui bosi wake kama shoga inajiuza yenyewe.dunia nzima kama chema chajiuza
Kumbe IPhone zinapatikana kama msaada tu ama mie ndio sielewi?Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga
Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone
Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani
Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika
Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee
Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao
Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone
Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo
Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone
Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga
Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga