Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Natumia simu za Samsung zina bei sawa na iPhone, pia zina app za Google na Microsoft WhatsApp Facebook kote huko wapo mashoga, je niache kutumia sababu ya ushoga hapana tukisema tu boycott kila kilichotengezwa na shoga tutarudi kuishi zama za mawe, muhimu tujitahidi tutengeneze vya kwetu kisha ndio haya mambo yatawezekana
 
NA NYIE KINA MAMA WALEENI VEMA WATOTO KIUME, SIO KUWALEA KIMAMA MAMA, NYIE NDO MNA MUDA MWINGI SANA NAO NYUMBANI

Baba unayejitambua hawezi toa comment kama yako!! Kwa koment hii na wewe ni mtumiaji
Baba anayejitambua anahakikisha familia yake imekaa kwenye mstari kuanzia mke hadi watoto
 
Kumbe mnapenda MALI ZA MASHOGA?
 
mzabzab staki maneno na wewe
Watoto wanaharibika, wanaume wanakwisha...... acheni buana
 
Hiki kizazi cha kiume kifutwe tu, ndio kinatuletea majanga tele, kuanzia;
Sodoma na Gomora ni Wanaume,
Gharika ya Nuhu ni Wanaume,
Kumsulubu Yesu ni Wanaume,
Vita na Ukatili ni Wanaume,
Ubakaji na Ulawiti ni Wanaume,
Wizi na Ujambazi ni Wanaume,
Wanyama mwituni hawapo salama sababu ya Wanaume,
Viumbe vya Baharini havipo salama sababu ya Wanaume,
Mother Nature analia kwa kuharibiwa na Wanaume,

Hata Mungu alianza kumuumba Mwanaume lakini akaona hatoshi, aliona uharibifu wake akaamua amletee Mwanamke walau aweze kumuongoza na kumtuliza lakini wapiiiiii,

Wanaume Wafeeeeeeeeeeeeeeee [emoji849]
 
Steve jobs hakuwa shoga. Shoga ni Tim Cook
 

Wasife wala kizazi chao Kisifutwe, ila wabadilike
Kikifutwa tutazalisha janga lingine
 
Hatari sana mkuu, umeongea ukweli.

Sema nini ukisema tuzigomee bidhaa zao kisa mwanzilishi wake ni punga inakuwa haileti maana labda tu hizo bidhaa zingekuwa na uhusiano na huo ujinga hapo sawa.
 
[emoji28] Wauwawee
 
Ndio point ilipo sasa,
Ukikataa Ushoga na ukatae kutumia vitu vilivyotengenezwa na Mashoga hata hizo nguo wabunifu wakubwa ni mashoga [emoji2296]


Jamani Culture Me anakosa mada zake hizi 🥲
Alaaniwe aliyesababisha akapigwa ban[emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…