Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kuwataja majina yao,
lakini tunakoelekea ni kuangamiza jamii kwa upumbavu wa hawa tunaowaita wasanii,
kwanzia mavazi yao shereje zao, juzi nilikia naangalia uzinduzi wa EP ya mboso nilisikitika sana, mwanaume kavaa pensi nakatika nyuma ya kiuno cha mwanaume mwenzie na watu wanashangilia,
huu ni upumbavu, hata kama nchi ina uhuru lakini uhuru uwe na mipaka yake, sisi sio wazungu ijulikane hivyo na ibaki hivyi hivyo!
Taifa linaingizwa kwenye Laana kubwa! mashoga wote na wenye indication za ushonga weka jera uko wakatusaidie kulima,
Baraza la sanaa mko wapi kutwa kuchwa viashiria vya ushoga vinaongezeka kupitia hawa wasanii wenu?
WaTanzania kwanza mmelaaniwaSitaki kuwataja majina yao,
lakini tunakoelekea ni kuangamiza jamii kwa upumbavu wa hawa tunaowaita wasanii,
kwanzia mavazi yao shereje zao, juzi nilikia naangalia uzinduzi wa EP ya mboso nilisikitika sana, mwanaume kavaa pensi nakatika nyuma ya kiuno cha mwanaume mwenzie na watu wanashangilia,
huu ni upumbavu, hata kama nchi ina uhuru lakini uhuru uwe na mipaka yake, sisi sio wazungu ijulikane hivyo na ibaki hivyi hivyo!
Taifa linaingizwa kwenye Laana kubwa! mashoga wote na wenye indication za ushonga weka jera uko wakatusaidie kulima,
Baraza la sanaa mko wapi kutwa kuchwa viashiria vya ushoga vinaongezeka kupitia hawa wasanii wenu?
Haaaa haaaaaaWaTanzania kwanza mmelaaniwa
Hizi singeli ndo Academy kabisa Yaani uchoko una nadiwa waziwazimwanaume kavaa pensi nakatika nyuma ya kiuno cha mwanaume mwenzie na watu wanashangilia,
Ni chakula kitamboNilishawahi kuweka andiko la kukemea vitendo vya mbosso kuhamasisha/ ku promote ushoga kuna watu walinisakama sana. Anyway siku tukistuka nchi itakua pabaya sana
So sadWengi wanapotea
Ova