Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Na nyienyie wanawake hutengeneza urafiki mkubwa na hao mashoga... mnawakaribisha mpaka makwenu kuwapa kampani, mnapika na kupakua... jinsia zote zinastahili kulaumiwa hapa.


Ila hawa dawa yao ni kuua tu kama Jamaica wanavyofanya 🤔
Kama yule James Delicious wanawake ndo wanaongoza kwa kumpa umaarufu hasa hawa celebrities wa kike
 
Huwa sipendelei sana kwenda sehemu ambazo wenyewe Watoto wa mjini huita kina-happen ile mbaya. Mimi hupendelea kutoka na kwenda sehemu tulivu. Maana sehemu hizo za kunapo-happen huwa ni shida tu na watu kujifanya tunajuana sana.

Weekend hii sababu ya mualiko wa rafiki yangu nikawa sina jinsi nikaenda ile pub moja pale sinza mori njia ya kutokea kwa kakobe ambayo ndio ina-happen sana kwa sasa(sitaitaja jina).

Kilichoshangaza zaidi kuwepo kwa vijana wengi Mashoga, niseme ukweli kwenda kwangu kote sehemu za starehe sikuwahi kuona idadi kubwa ile ya vijana Hawa Kama niliyoiona weekend hii. Na Cha ajabu kabisa hata mavazi yao wengi wamevaa ya kike kike.

Hawa vijana hawana hofu kabisa, ni wengi sana na muda mwingi hujipitisha pitisha kwa kubinua makalio mbele ya wanaume. Na mwingine niliona akienda kumkatikia mwenzie, wakawa wanabambiana. Wamejiremba na wengine wamepaka make-up.

Ni kina nani huwatongoza hawa na Kulala nao? Mbona sio kawaida? Huu wingi umetoka wapi? Mwenye hii bar sijui pub sijui lounge anakubali vipi hii sehemu kufurika hawa watu?
Asante kwa tangazo Mkuu
 
Ila hawa dawa yao ni kuua tu kama Jamaica wanavyofanya
Zamani walikua wanawaua, wamama (mama zao) walipoanza kuwalilia watoto wao kwanini mnaua watoto wetu? ndio yakaja Mambo ya Haki za Binadamu, kwa hio watetezi wao namba moja ni mama zao waliowazaa hawataki watoto wao waliowaweka kwenye matumbo yao wauawe maana hawakuomba kuzaa mashoga nani alaumiwe Mungu?

Ni sawa na kumlaumu mtoto ambae amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa kua kwanini amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa?
 
Zamani walikua wanawaua, wamama (mama zao) walipoanza kuwalilia watoto wao kwanini mnaua watoto wetu? ndio yakaja Mambo ya Haki za Binadamu, kwa hio watetezi wao namba moja ni mama zao waliowazaa hawataki watoto wao waliowaweka kwenye matumbo yao wauawe maana hawakuomba kuzaa mashoga nani alaumiwe Mungu?

Ni sawa na kumlaumu mtoto ambae amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa kua kwanini amezaliwa bila kua na njia ya haja kubwa?

Kwahio ata ungekuwa ww mama ungekubali mwanao auliwe hili nalo mlitazame kwa upande mwingine ushoga hakuna ane jua kiini chake au chanzo chake ata sodoma hakujua chanzo kwahio ni vyema kila mtu abaki kwenye miiko yake unamuua umemuumba wewe
 
Umetoa code zote Kisha unasema hutaji eneo. Lakini kubwa zaidi ni kuwa usingepost humu ungekua umefanya jambo la maana Sana lakini Kwa Uzi huu unawapa promo hao vijana na wanachokifanya.
Unadhani kama asingeandika ndiyo mashoga wangepungua? Hell, NO! Nchi ina mashoga wengi sana na ni unafiki tu wa watu kujifanya hawaoni lakini kila sehemu ni mashoga. Wiki iliyopita kuna jirani yangu aliniambia alfajiri alikwenda chooni akakuta mpangaji mwenzake amemwinamisha kijana mmoja anayeishi naye.

Sisi tulikuwa tunadhani ni washikaji tu wanaishi wote kumbe ni mtu na mke wake. Na siku si nyingi nilipita maeneo ya Mikocheni nikakuta vijana wawili wanapigana vibaya sana kuuliza kumbe ni ''wake'' wa mzungu mmoja mmoja wanaishi naye.
 
Back
Top Bottom