Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hawa wapo kundi gani!!?
Hormonal imbalance. Wengi wao wana angukia ktk [emoji2380][emoji2380] kisa kunyanyapaa na kutengwa na watu wa karibu / jamii.

Ila wachache wanaingia kwa matakwa yao kutokana na msukumo wa tatizo binafsi, wengine wanakua tyuuh normal.
 
Hormonal imbalance. Wengi wao wana angukia ktk [emoji2380][emoji2380] kisa kunyanyapaa na kutengwa na watu wa karibu / jamii.

Ila wachache wanaingia kwa matakwa yao kutokana na msukumo wa tatizo binafsi, wengine wanakua tyuuh normal.
Changanyikeni
 
Wale wa pale Kitambaa Cheupe karibu wote ni wa kuwalipa na kufukua mtaro.

Ila kuna mashoga wenye pesa zao na si rahisi kuwadhani wanaliwa kisamvu cha kopo. Wana familia zao, wenye vyeo vyao, wafanyabiashara na kuna wimbi la watoto kutoka familia bora hawa wanakulipa uwafukue mtaro. Mbezi Beach wako wengi sana

Halafu kuna mashoga maarufu kama hawa akina James Delicious wa type hii huwa wanaliwa na watu maarufu kama wafanyabiashara, wanasiasa, viongozi wa dini na wasanii
Niliingia blog moja inaitwa pamoko, nlichokiona wanaume tunazidi kuisha Mzee wa kupambania
 
Nakuona umeeza tena kuzulula [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina kibarua kizito! Mitaa ya huko uswahilini nipuyange na humu ndani kuna mitaa na chocho za hatari kama uzi huu ni zile chocho unazoenda kutokezea chooni au kibarazani kwa mtu! Sasa ngoja nirudi kulee nikaulize njia!
 
Nina kibarua kizito! Mitaa ya huko uswahilini nipuyange na humu ndani kuna mitaa na chocho za hatari kama uzi huu ni zile chocho unazoenda kutokezea chooni au kibarazani kwa mtu! Sasa ngoja nirudi kulee nikaulize njia!

[emoji23][emoji23][emoji23] na umepotea vibaya mzee
 
Ahaha chai na nini? [emoji23][emoji23][emoji23] kwaza
Nimebwia tu juice ya embe na parachichi na maandazi matatu naendelea zangu kupuyanga[emoji1782] 1100 chai imetoka hiyo[emoji116][emoji116][emoji116] soma hiko kitabu[emoji23]
JamiiForums79126171.jpg
 
Back
Top Bottom