Jf ni kama safina linaingia Kila kitu , l mengi humu jf yanaandikwa aliyeleta hapa hajakosea pia,sio kua watu hawazuii huko mitaani Kuna wazazi wanaua watoto wao kimya kimya wakijua kama ni mashoga,wazungu wanapreach huo ushoga but deep down they are hurting mfano wale watoto Kylie na Kendal walilia sana baada ya baba Yao kuamua kubadili jinsia ila hawakua na namna
Kuna yule mzungu aliuliwaga na baba Ake miaka ya nyuma Kwa kua alikua gay
Hivi vitu in short vinashaangaza kiukweli how comes mwanaume kabisaa anamuingilia mwanaume mwenzake?!!!hiyo ni shida ya afya ya akili
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app