Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kazi kwao wanaojidanganya kuwa wataiona pepo wakati nafsi zao zinawasuta.
Mie nafsi yangu inaniambia kabisa mzabzab wee ni motoni moja kwa moja maana jtendayo ni kinyume na maagizo ya muumba wako.
Ndugu yangu niwie radhi kama nitakuwa naingilia uhuru wako lakini sisi kama wanadamu hatuna budi kukumbushana kwani kukosea ni sehemu ya maumbile yetu.......

Usijinenee maneno hayo kwani ni maneno mazito sana......
 
WWa
Salaam,

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105

Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali

Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.

Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU

Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU

Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.

Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Watu wanapinga ushoga maana ni shambulio la moja kwa moja kwa taasisi ya familia Chief. Ushoga ukionekana ni jambo la kawaida ni kutangaza mwanzo wa mwisho wa binadamu
 
Mimi naamini dhambi sio zote sio Sasa ktk gravity na consequently effect. Pia punishment zake hazilingani. This both logically and faithwise
Unaamini kumbe,miye nikajua una reference ya kubackup Imani yako
 
Mimi ni mkristo sifanyi ushoga Wala uzinifu maana yote hayo ni uchafu mbele za MUNGU wangu, nimeoa Nina ndoa na familia. Kwa mujibu wa Imani yangu napaswa kuhubiri na kufundisha yalivyo matakwa ya MUNGU ambayo ni watu wa namna zote (wakiwemo wazinifu na hata hao mashoga) waachwe njia zao mbaya na waishi kulingana na mapenzi ya MUNGU
Umeishatwambia wewe sio mzinzi. Twambie sasa katika mahusiano yako na Mungu huwa unafanya toba kwa ajili ya dhambi zako
 
WWa

Watu wanapinga ushoga maana ni shambulio la moja kwa moja kwa taasisi ya familia Chief. Ushoga ukionekana ni jambo la kawaida ni kutangaza mwanzo wa mwisho wa binadamu
Watoaji mimba je!!?
 
Nyie mnaokata rufaa tunaomba mtuambatishie na maandiko mtakayotumia kuurgue mbele ya Mungu kupinga shoga na mzinzi na mwasherati kupigwa kiberiti tanuru moja
Hebu wait.... hivi mwanaume anavoitaka haki ya kufirw* anakua na wazo pia la kuendeleza kizazi? Namaaisha anawaza kuzaa? Kuitwa baba?
 
Dhambi ni uasi, ila unachokifanya wewe ni laana hata kizazi chako chote kitabeba hiyo laana.
Uzinzi umumekatazwa. Lakini sex imeruhisiwa kwa vigezo Fulani.

Homosexuality hairuhusiwi under any circumstance.

Uzinzi ni dhambi yes. Yet within the natural order.

Homosexuality ni deviation ya natural order. Sema hawa wanajitoa ufahamu.
 
Ni Kwa mujibu wa maandiko niliyoorodhesha kwenye hoja yangu hapo hususan 1korintho 6:9,10 najua wazinifu hampendi kuyasikia haya ila ndio ukweli wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo kwa vile wewe umeleta mada hii wewe ni shoga unajitetea?
 
Naam na hiyo ni Kwa mujibu wa maandiko matakatifu ila Kwa mitazamo ya kibinadamu mambo ni tofauti
Yes kwa hiyo mtu anapopinga ushoga aelezee mtazamo wake sio maandiko.... Utashangaa kuona mtu mzinzi mkubwa ana mchepuko kila kona ya mtaa ila yuko busy kuquote maandiko kukemea ushoga
 
Back
Top Bottom