Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Mshana jr ,,,Nimetafakari kujazia mwili na six packs vipi ujaziaji mwili na kufuga ndevu ndefu ndefu na nyingi mashavuni mahusiano yapo vipi
 
Spika yako ina faida kubwa sana kwa Taifa letu TZ la leo na kesho.

Nakuombea kwa Mungu akuokoe na hilo pepo ili;

Uwe huru kufikiri zaidi kesho kimikakati kwa ajili ya nchi yako.

Uwe nguvu kazi bora ya Taifa maana spika ikishapasuliwa huwezi kuwa mkakamavu kiuanaume.

Upate akili ya kiuongozi kutawala Mke na Watoto wako si kutawaliwa na Me mwenzio.
Hizi ndo hoja za kupinga ushogaa? Acheni muishie kukopaa kila siku, na masharti spika ipitiwe na bisi bisi ya nyamaaa.

Mtajua hamjui, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku Moja nipo keko natembea mtaani hapa na pale kuna jamaa akawa anakuja mbele yangu,tulipokua tunapishana akajigongesha begani kwangu,ile nageuka nasikia "Jamani Wee kaka" nikaona nisepe faster
Alikuwa baunsa au wakawaida??
 
cocastic Hivi unadhani unaweza kunizuia niache movement zangu za kuchukia na kupiga vita hii kitu kwa kunichafua kwa style hiyo?! 😡😡😡😡😡😡🤬🤬🤬🤬🤬🤬

Leo umeingia 18 zangu mwanaizaya wewe
 
AISEE! NIMEKASIRIKA MPAKA NATETEMEKA... KWELI MASHOGA HAYANAGA AKILI [emoji35][emoji35][emoji35][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
Akili zitoke wapi nakati tayari yana connection na majini mahaba yanayowaratibu akili kuutangaza ushetani?

Pole Mzee Baba, naamini Moderators watakufikiria kabla ya kukupiga ban, japo nao wanazingua sana kufuta futa madini yetu.
 
Hizi ndo hoja za kupinga ushogaa? Acheni muishie kukopaa kila siku, na masharti spika ipitiwe na bisi bisi ya nyamaaa.

Mtajua hamjui, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pthuuu...[emoji2961][emoji1784][emoji35]
JamiiForums212693510.jpg
 
Yaan wewe mjaa laana unataka kuharibu reputation yangu kwa kusingizia mimi nimekutaka wewe... Leo napigwa ban mwanaizaya wewe!

AHH! KUMALAMAMAKO! KILA UKIPUMUA[emoji35][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niwacheee ntakuumbuaa bureeee, na ile Dp yako ya telegram kwan mfupi, upo mbele ya galss, umeweka begi mgongoni, sio wee??

Mxxxieeeeew. Sitaki Ban now niwacheeeee
 
Ushoga hauzuiliki tena kujadiliwa. Ni jambo geni bovu na baya kabisa kwenye jamii za kiafrika. Ni utamaduni Uliojaa kinyaa
Uliojaa fedheha
Uliojaa aibu
Uliojaa dhihaka
Uliojaa kila aina ya upuuzi
Mijadala ni mingi mitandaoni ya kupinga na ya kukubaliana na huu ushenzi

Huwezi kuelewa fadhaa, athari na maumivu ya ushoga kama huna mtoto wa kiume ama huna ndugu aliyeangukia huko. Hakuna namna unaweza kulitetea hili na kusema ni kizalia, wala kusema ni tatizo la maumbile.. Ushoga ni tatizo la kutengezwa na halipaswi kupewa nafasi ndani ya jamii iliyostaarabika.

Watengeneza hili tatizo wana mipango kabambe kweli
Walilingiza kwa watu maarufu
Wakaliingiza kwa vijana
Wakaliingiza kwa wanamichezo
Wakaliingiza kwa wasanii
Wakaliingiza kwa watu wenye ushawishi kwenye jamii
Wanachuo vyuoni, wanafunzi shuleni, wafanyakazi makazini, vijiweni na hata bodaboda wote hawa hawajaachwa kwenye hili jambo baya kabisa

Kuna hili kundi lingine pendwa kwenye jamii. Wanaume wenye mazoezi ya mwili waliojazia maarufu kama mabaunsa. Vijana usiku na mchana wako kwenye vyumba vya mazoezi maarufu kama Gyms wakitengeneza miili ili wapendeze na kuvutia. Mambo ya six packs. Jamii iliyokuwa ikiwaamini sana kama wanaume ngangari kumbe sasa ni ngangaripoa! More men down!

Sasa hivi kuwa na mwili wa mazoezi uliojazia vizuri sio sifa tena bali ni kashfa. Kwa ripoti ile ya Mwakyembe na mwandishi wake wa habari za uchunguzi.. Vijana wafanya mazoezi ya mwili wamesagiwa kunguni pakubwa sana! Je, tuhuma zile ni za kweli? Je, ni nani kati yao anaweza kujitokeza hadharani na kupinga?


...na hili nalo mkaliangalie (in mama's voice)
 
Mbona hapa kati tumekuwa na mada nyingi sana kuhusu ushoga? Isijekuwa tunaueneza kwa njia ya kuupinga! Jambo la aibu kama hilo kuongelewa sana, inanishangaza!
 
Mshana huwa nakuheshimu sana ila leo umeingia chaka na umeandika makala inayopotosha jamii.

Kuhusisha mazoezi ya mwili na ushoga unakosea sana.

Hawa vijana wenye miili ilioumuka kwanza hata hawashindi qym kama unavyodhani. Nitakutoa tongotongo kuhusu hilo sababu mimi ni trainer wa haya mazoezi pamoja na yoga.

Kuna vitu kama dawa hv au poda ambazo huwa na mchanganyiko wa protein na homoni za kiume hawa vijana wanakunywa ili kukuza misuli, wakinywa hapo yeye atanyanyua chuma kdg tu ila mwili wake unajibu fasta na kuumuka wanavyotaka. Hawa wengi hawana nguvu na persistence kama mtu anavyoweza kudhan. Kwa mfani wengi utakuta wanalinda bars usiku na hawawezi chukua malindo nje ya bar au kumbi za starehe sababu wanajua uwezo wao ni mdg sana.

Lkn mwili wa binadam una balance mambo, kila binadamu ana kiasi fln cha homoni za kiume na za kike aidha awe mwanaume au mwanamke. Sasa hawa vijana wakijiongezea homon za kiume mwili unabalance mambo kwa kugenerate homoni za kike na hapo ndipo tatizo linapoanzia. Siku akishikwa tako tu atasisimuka na baadae maafa zaidi yanaweza kutokea.

Nitafungua uzi siku moja kuongelea hili swala in deep, lkn naomba uache kupotosha jamii, ni bora useme mabaunsa wanaitumia dawa ndio wana hatari ya kufikwa na ushoga kuliko kusema mazoezi ndo yatamfanya mtu kuwa hivyo
Boss una reserch kuwa protein inamfanya mtu kiwa shoga
 
cocastic Hivi unadhani unaweza kunizuia niache movement zangu za kuchukia na kupiga vita hii kitu kwa kunichafua kwa style hiyo?! [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]

Leo umeingia 18 zangu mwanaizaya wewe
Njoo na matusi mapyaaaa wee mzee, haya nshazoeaaa. Poleeeeeeeh
 
Back
Top Bottom